Kuna taarifa zinatinga mezani kwetu zinadai kuwa kuna mchezo mchafu kafanyiwa mpambanaji Dr. Slaa kwa kuwekewa vinasa sauti chini ya godoro lake na tayari polisi wanaelekea chumbani kwake na watu...
Ni kiongozi makini sana. Ana upeo mkubwa sana wa kufikiri na kutenda. Anathubutu na anawapenda watu wake. Majuzi akiwa katika kijiji cha Lolkisale Monduli Lowassa alisema yeye akiwa mbunge...
Ni mawazo tu ambayo nime fikiria. Vitu ambavyo vinge tokea Tanzania inge kuwa nchi tofauti na ilivyo sasa (iwe kwa uzuri au ubaya).
Inge kuwa vipi.....
1.Kama Nyerere ange baki kuwa raisi wa...
* Calls for amendments to U.S. legislation
*Minister terms the law unfair
DAR ES SALAAM, March 3 (Reuters) - A Tanzania business group has opposed a new U.S. law labeling all gold produced...
mh. Samwel Sitta Mb, Waziri wa Afrika mashariki amekitaka chama chake cha mapinduzi kuchukua hatua za haraka na muhumu za kujirekebisha, hatua ambazo zitaweza kukijengea chama chake picha nzuri...
Hivi kwa nini Watanzania wanaochukia rasilimali za taifa kuibwa na mafisadi tusichukue hatua dhidi ya mafisadi, angalau wale wanaojulikana. Tunaweza kuanza kwa kususia bidhaa na huduma za...
Tunapolazimishwa kuwasha mitambo ya DOWANS tunaambiwa umeme uliopo hautoshi kwakuwa mabwawa yamekauka!
Hata hivyo majuzi nilipita maeneo mbalimbali nikielekea DSM. katika mikoa ya mbeya, iringa...
habari zilizoripotiwa na gazeti la habari leo ni kuwa mmoja wa wanafamilia ya Nyerere ametoa tamko la kuikana chadema na kusema kwamba chama hicho kisitumie jina na kaburi la hayati Nyerere...
12th March 2011
THE Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) will on Monday float tenders for hiring 260 mega watts (MW) emergency power plants as it seeks to address the ongoing power blues...
Addis Ababa, 11th March 2011
PRESIDENT Jakaya Kikwete returned home a contented man on Friday after the African Union (AU) panel he was part of had its recommendations approved by the AU Peace...
HATIMAYE aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Segerea (CHADEMA), Fred Mpendazoe, amelipa sh milioni 15 katika Idara ya Fedha ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam ikiwa ni dhamana ya kesi yake ya...
Mh.Waziri mkuu Mizengo Pinda akihitimisha ziara yake mkoa wa Kagera leo ametoa agizo kwa wakuu wa mikoa kuangalia athari za majengo na nyumba zitakazobomolewa kutokana na kujengwa kwenye hifadhi...
President Jakaya Kikwete has invited Japanese and Turkish businessmen to inject more investments in Tanzania in various economic sectors especially power generation, agriculture, fisheries...
BBC News - Japan quake: Huge explosion at Fukushima nuclear plant
Huge blast at Japan nuclear power plant
A massive explosion has struck a Japanese nuclear power plant after Friday's...
WAFANYAKAZI wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) wameitaka Serikali kuilipa Kampuni Dowans deni lake la zaidi ya Sh bilioni 95 kwa madai kuwa, ndiyo iliyoshiriki mchakato wa mkataba huo bila...
» See all analysis and opinion
Africa water | burundi | DRC | Egypt | Ethiopia | kenya | Nile | Sudan | tanzania | Uganda
The giggles started when the seventh journalist in a row said that...
Kutokana na hali ya matokeo mpaka sasa ya UBUNGE nadiriki kutamka kuwa Dr. Slaa anastahili kuitwa SHUJAA wa KARNE HII YA 21.
Amechangia sana kwa ushindi wa majimbo ya ubunge ambayo CHADEMA...
Kwa miongo miwili na nusu sasa, nchi yetu imekuwa ikitekeleza kile kinachoelezewa kuwa ni mabadiriko makubwa ya uchumi (structural adjustment), chini ya usimamizi wa mashirika ya fedha duniani...
Mimi huchangazwa na Wtanganyika ukisema kuhusu kero za Muungano na kasoro za Muungano hujaa juu na kubadilicha topic na kusema tutawahamicha wzanzibar waloko Tanganyika na hatuto wauzia vidunguu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.