Siku hizi nikifuatilia habari na propagandas za ccm sioni kama ccm wanania nzuri na Tanzania. Kila leo wanarusha maneno ya kuchochea na kulaumu Chadema, wakati wao wapo serikali kwa miaka hamsini...
Kati ya vitu vinavyotia kichefuchefu mbele ya wananchi ni unafiki unaofanywa na viongozi wa CCM kusema kuwa vyama vya upinzani vinatumia lugha chafu na ya uchochezi vinapowaelimisha wananchi...
Mh. Lameck Airo amejitokeza na kusema asipo chaguliwa 2015 kuwa mbuge wa Rorya, anaondoka na samani zote za ofisi. Hizi ni pamoja na meza,viti,kabati, nk.
My side hivi hawa wabunge wa ccm huwa...
Naomba kufahamishwa kuhusu mpambanaji Wilfred Muganyizi Lwakatare,Mkurugenzi Oganaizesheni ya Intelensia ya CDM, make nimekuwa simuoni katika harakati za hivi karibuni.
All unemployed youths in the country will, from the coming financial year, be registered and trained on entrepreneurship skills and assisted with tools to employ themselves, the government has...
Wengi wetu huenda tukawa na kumbukumbu za kutosha juu ya mafuriko yaliyotokea mkoani Kilosa mkoani Morogoro. Jitihada zilifanyika za kutosha kukusanya rasilimali na jeshi likahaamia huko...
Huu ni ushauri tu na maoni yangu... Kwa kuwa kuna maoni mazuri mengi yatokanayo na mijadala ya mtandao wa JF jukwaa la siasa ikiwemo majibu sahihi ya vijembe mbalimbali vinavyopigwa kila leo na...
Ni hivi leo tu kumerushwa habari kwenye televisions na radios kuhusu mlipuko kwenye kwenye sehemu ya kuzalisha umeme(JAPAN),pamoja na maafa mengine yaliyo wakumba,lakini kilichonifuraisha ni jinsi...
Part 1
Media manipulation ni njia mojawapo inayotumika katika Public Relations ambapo wanasiasa wamekuwa wakitengeneza picha au mantiki ambazo zinazolinda maslahi yao na vyama vyao.
Mbinu...
Akizungumza na NIPASHE jana jioni kuhusu madai ya kufungwa kwa mgodi, Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, alisema suala hilo ni la kisheria na anachofanya Dk. Kigwangalla (Mbunge wa...
Fri Mar 11, 2011 8:01am GMT
DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzania's economy will grow at a slower rate than previously expected this year, weighed down by a power crisis and rising prices...
Ukiwasikia mawaziri wa JK wanavyotoka kila mtu na statementi yake unaona kabisa ndani ya serikali M/kiti wa baraza la mawaziri si tu kazi imemshinda bali amepoteza udhibiti wa baraza lake na...
Akihutubia mamia ya wakazi wa kata za uyole, amemshangaa rais kwa kutomwita mmiliki wa dowans, amesema rais, alisema hamjui mmiliki sasa kajileta mwenyewe kwa nini asimwite ikulu na kumkamata...
ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, amesema haoni tatizo katika maandamano yanayofanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
Ni lini,Matatizo haya, kero hizi, usumbufu huu utaisha?:-
1.Ufisadi na rushwa sugu!
2.Ukosefu wa ajira na fursa finyu za kujiajiri!
3.Mgao sugu wa umeme!
4.Katiba
5.Mikataba hewa,feki na yenye...
Uko Marekani na wewe ni Mtanzania
Unao uwezo wa kurudi nyumbani au kutengeneza voters registration program ndogo katika jimbo lako na ukaifadhili wewe na marafiki wachache.(Keep in mind idadi ya...
Waziri wa Jakaya Kikwete, Sophia Simba, akiongea kwenye TBC leo asubuhi amesema kuwa viongozi wa CHADEMA wanapewa pesa nyingi kutoka nje ili kufanya maandamano kwa lengo la kuifanya nchi...
Jamaa yangu wa karibu alie Arusha ananiambia kwamba viongozi wengi wa CCM na serikali wameshafika kwa babu wa Loliondo kupata matibabu. Naambiwa hata mkwere na baadhi ya mawaziri wake...
Kuna taarifa kuwa watumishi walioajiri katika ofisi za halmashauri ya jiji la mwanza wamekuwa katika wakati mgumu tangu chadema waanze kuiongoza halmashauri hiyo ambayo ni miongoni mwa halmashauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.