Mrema aungwe mkono kukomesha halmashauri zilizokubuhu ubadhirifu
Na Mhariri (Nipashe)
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali inayoongozwa na Mwenyekiti wake, Augustine Mrema(mbunge wa...
Ndg wanachama wenzangu mimi kwa upeo wangu mdogo sijaona kama ni jambo la busara sana kumkashfu kashfu mheshimiwa rais na kumpa majina ya kejeli kama mkwere n.k.Jambo hili halipendezi kimaadili...
Chama cha demokrasia na maendeleo chadema kimesema kitamshita waziri wa maendeleo ya jamii sophia simba kutokana na waziri huyo kudai kwamba CDM wanafadhiliwa na baadhi ya balozi ili kuleta...
WANANCHI wametakiwa kutobabaishwa na kauli zinazotolewa na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutokana na chama hicho kutokuwa na nguvu ya umma, na badala yake wajikite zaidi...
Napendekeza mishahara na marupurupu ya wabunge viangaliwe upya kwani vinatengeneza tofauti kubwa kati ya wabunge na wananchi wanaowakilishwa. Usibishe. Tunawaona wabunge wanavyotesa mitaani...
Uingereza kuna waziri wa elimu alilazimishwa kujiuzuru baada ya kugundulika kuwa watoto wake wote walikuwa wanasoma shule za binafsi huku yeye akiliambia taifa kuwa hali ya elimu kwenye shule za...
Tundu Lissu aibuka kidedea katika kesi iliyokua inamkabiri juu ya kuwekewa pingamizi ya uhalali wake kuwepo mjengoni kama Mbunge kutokana na ushindi alioupata kwenye uchaguzi wa Oktoba 31, 2010...
Hali hii ina sikitisha hamna utaratibu maalumu wa kuongea na wananchi, mada ni moja lakini kila waziri anaropoka anachofikiri ni sahihi. mfano waziri Membe kazungumza lake kuhusu Chama fulani...
Kutokana na babu wa Loliondo kuwa mashuhuri katika dawa aliyoiota,nimeanza kuamini kuwa miti shamba hutibu. Ktk mkoa wa kagera,wilaya ya Muleba karibu na Rubya kuna mzee mmoja ambaye baada ya...
Safari hii CCM wamenasa pabaya, wanajaribu bila mafanikio kuziba sauti zinazowaonyesha rangi zao halisi. Mwanzoni tuliambiwa CHADEMA ni chama cha Wachaga, wakashangaa kuona inaungwa mkono zaidi...
Spika wa Bunge, Anne Makinda
Spika wa Bunge, Anne Makinda, ametabiri kuwa mkutano ujao wa Bunge utakuwa moto kuliko uliopita na ameapa kwamba hatakipendelea Chama cha Mapinduzi (CCM) kwani...
Kama ikiwa huyo Mzee wa Umasaaini huko Lolindo ni Mganga wa EL na kuwa kila atakaye kunywa hayo maji yake 2015 huta mwambia lolote juu ya EL, basi tumeliwa tena tuhesabu 2025.
Napata mashaka...
Serikali leo inaanza mchakato wa kubadilisha Sheria ya Manunuzi ya Umma, ili kuruhusu mazingira ya kununua bidhaa au mitambo iliyotumika, Mwananchi limebaini.
Yale yale ya neno 'Rasmi'...
Siku iliyofuatia mkutano wa hadhara wa waziri mkuu hapa Bukoba mjini, nyumba nyingi maalum hapa mjini, ziliwekwa alama ya "X" kuashiria ya kwamba nyumba hizo zitavunjwa kwakuwa ziko kwenye hifadhi...
Wana JF toka maandamano ya CDM yaanze kumekuwepo na vipindi maalum kwenye TV hapa kwetu wakiwahoji viongozi mbalimbali wa CCM na serikari kuhusu maandamano na wameutumia muda huo zaidi...
Serikali leo inaanza mchakato wa kubadilisha sheria ya ununuyi ya umma,ili kuruhusu mazingira ya kununua bidhaa au mitambo iliotumika . Kwa sheria ya 2004, serikali hairuhusiwi kununua bidhaa...
Chadema yawashukia Membe, Simba Monday, 14 March 2011
Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika
Chadema...
kuna mbinu mpya ya kuchakachua habari inayotumika na sisiem na serikali ya yake kuwateka wasomaji na watafutaji wa habari
wanachofanya ni kuchanga habari furani zitakazo kuvutia lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.