Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
habari, Katika hali ya kustuka au kusasambuka basi Sophia Simba yupo katika wakati mgumu kimaisha hivi sasa... Akiwa anapiga simu kwa kila mtu na kuanza kuweweseka baada ya CHADEMA kumpiga biti...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Home World News Middle East Europe Canada Australia Asia America Wikileaks Travel Events African Safaris African Maps African Greetings Africa Countries Sports Soccer Other Sports...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Muheshimiwa waziri wa mali asili na utalii ndugu Ezekiel Maige huu ni ushauri wangu na maoni yangu toka moyoni mwangu, Kutokana na kupewa sekta hii nyeti nchini kwetu nachukua nafasi hii...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimebahatika kufika jijini Dar,ila cha ajabu hata kama unaenda sehemu ya karibu utachukua Muda mrefu sana.Kama hakutakua na jitihada za makusudi baada ya miaka 5 Dar hakutapitika kabisa.Kumetokea...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
14 March 2011 BARAZA la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shinyanga Mjini, limemshukia Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibroad Slaa kwa madai kuwa anaudanganya umma wa Watanzania. Pia...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Sijui hawa mawaziri wanasumbuliwa na nini? Ninavyojua, serikali hata iwe ya kifisadi namna gani, mawaziri huendelea kuwajibika kwa pamoja hata kama wanatofautiana vyama. Leo hii unawasikia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
CCM ’ijivue gamba’ mapema Imeandikwa na Joseph Kulangwa; Tarehe: 14th March 2011...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu wa Wilaya....... Wakuu wa Wilaya Bi Ernest Kahindi wa Biharamulo(kushoto) na Angelina Mabula wa Muleba wakituma ujumbe wa siku kwenye uwanja wa ndege wa Bukoba wakati wakisubiri Kuagana...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
hii itaepusha kuwa na Rais mwenye njaa anayeigeuza Ikulu yetu kuwa pango la walanguzi wa kihindi na kiarabu. vinginevyo chadema tutachukua nchi soon. nawasilisha.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nawashangaa hawa uvccm wanaotaka kuandamana kuunga mkono hotuba ya rais. Kwani rais aliongea lipi la maana. Ina maana hawa ccm wanaishi maisha mazuri, hawana maisha magumu kama wananchi wengine...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Baada ya kupata habari kuwa KVT watakuwa na maandamano kuanzia Mnazi mmoja na kuishia Manzese Bharesa, nilijaribu kuongea na baadhi ya machinga pale Manzese hasa kwenye soko maarufu la Big Brother...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi jana kaitembelea mkahawa maarufu jijini Dar.Wenzangu sikuamini yale niliyoyaona. Hapa Kwetu kuna wenzetu wanaolipa Dola Mia Tatu Hamsini usiku moja katika jumba cha Kulala....Maskini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Angalizo: maelezo hapa chini yanawahusu wanaofanya vitendo hivyo. ingependeza kwa wana JF wanapojadili mambo ya kisiasa hasa katika hiki kipindi nchi inakabiliwa na changamoto nyingi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CHADEMA walipofungua mkutano wao wa kampeni za uchaguzi 2010 pale Jangwani, walitamka kinaga ubaga kuwa wakwapuaji wakubwa wa pesa za Taifa ili kupitia "Benki yetu ya kati" ni Jakaya Kikwete...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ukiwa Mzanzibar unapata umeme bila mgao, Ukiwa Mzanzibar unaweza kumiliki shamba Micheweni (Zanzibar) na jingine ukamiliki Dakawa (Morogoro), Ukiwa Mzanzibar unaweza kupiga kura kumchagua Diwani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
The Afro-Shirazi Party members at the Communist Youth Congress in Russia in 1957 Posted Monday, March 14 2011 Over bottles of Tusker beer and too many cigarettes (he smokes L&Ms, which he...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hodi hapa Jamvini? Naomba kuungana nanyi ktk harakati hizi za ujenzi wa taifa letu. Natanguliza shukurani na kuahidi ushirikiano. LincolinMtza
0 Reactions
2 Replies
999 Views
Mpaka ninakwenda mitamboni, nimegundua kuwa Babu wa loliondo ndani ya kama mwezi tu, amekuwa na msaada mkubwa kwa watanzania kuliko Kikwete katika miaka yake takribani 6 ya uraisi. Yaani mkwere...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Waziri wa Vijana na michezo wa Rwanda alijiuzuru kwa sababu ya kashfa za ngono! Tanzania Viongozi wameota mapembe!! Bonyeza hapa kwa taarifa zaidi. Rwanda photo scandal Minister resigns |...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Monday, 14 March 2011 20:10 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema mapendekezo ya ufumbuzi wa mgogoro wa wawekezaji wa ranchi za Misenyi na wananchi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom