Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Dr. WSlaa na Mh. F. Mbowe, nimefuatilia kwa karibu mbinu mnazo tumia ili kukipa umaarufu CDM, likiwapo hili mnalofanya kwa wakati huu. Tatizo ninaloona na wale waliosoma theory of games, wanaona...
0 Reactions
60 Replies
5K Views
Mara kwa mara tumekuwa tukisikia kauli kutoka kwa baadhi ya watu na asasi mbali mbali hapa nchini zinazo ashiria kwamba ni wao tu wenye hati miliki ya jina la 'Nyerere." Itakumbukwa wakati wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Unrest in the Middle East has led a spike in crude oil prices as anxiety over the rising cost of food spans the globe. Worldwide, food prices are soaring past record highs -- the U.N.'s Food...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Waziri wa Ujenzi Dr. Magufuli katia X nyumba zote zilizoko kwenye hifadhi ya barabara na kaagiza Tanroads wavunje bila kuangalia makunyanzi kupisha ujenzi wa barabara. Waziri mkuu akiwa kwenye...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama mtu ambaye hajui umaskini wa watu wake zaidi ya 75% unatokana na nini ameweza kuongoza tena kwa vipindi viwili basi nchi hii inaweza kuongozwa na mtu yeyote hata Sophia Simba na mambo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Rostam Rostam Rostam Aziz ni jina au wimbo ambao umezoeleka masikioni mwa Watanzania wengi.Matatizo yetu,ufisadi utalisikia jina RA.Huyu mtu ni nani?Nimejaribu kufuatilia mtirliliko wa matukio...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WHY AFRICA IS 25 YEARS BEHIND THE DEVELOPED WORLD? AFRICAN LEADERS Abdoulaye Wade ( Senegal )- age 83 Hosni Mubarak ( Egypt ) - age 82 Robert Mugabe ( Zimbabwe ) - age 86...
0 Reactions
1 Replies
993 Views
Hii amri ya kutaka mitambo ya umeme yote iwashwe mara moja,inatolewa na UVSISIEM kwa nani ? Na huo mkwala wanaoutoa kwa mawaziri wakuu wastaafu kuaacha kuikosoa serikali wametumwa na nani ? Hii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy Read more: John F. Kennedy Quotes -...
0 Reactions
0 Replies
759 Views
Hizi pikipiki zinaletwa kuja kuharibu Mimba za wake zetu kwa kama unampenda mke wako ni bora ukakodi gari impeleke Hosptali kuliko kupanda hizo pikpiki zitaharibu mimba za wake zetu. Zifanyiwe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tanzania kuna lundo la vyama vya siasa lakini maongezi makubwa na mijadala mbalimbali inahusu CDM na CCM vyama vingine viwapi?? wapi UDP,PPT-MAENDELEO,TLP,DP,SAU etc?? kwanini Tendwa asianze...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu so far wabunge wamejitahidi kuwa karibu na wananchi, kufuatilia yanayojiri nk... Ila mbunge wa kigamboni kwakweli ameiangusha kabisa CCM, bado yupo usingizini :hand:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana nilikuwa natazama taarifa ya habari TBC1 saa mbili usiku,moja ya habari zilizonivutia ni mgogoro wa ardhi wilaya ya Babati.Palikuwa na kikao kilichowashirikisha wananchi na mawaziri wa tano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The Chairman of the African Union Commission (AU) Jean Ping welcomes to Addis Ababa President Jakaya Mrisho Kikwete shortly after he arrived at Bole International airport for a special summit on...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Jana tarehe 9/3/2011 Waziri wa Afya alizindua Pikipiki za tairi tatu kwa ajili ya kusafirisha wanawake wajawazito kupata huduma katika maeneo mengi ya Tanzania (Kwa mujibu wa Tanzania Daima la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nathubutu kusema hivi. Ati anasema "mtoto wa kike akimaliza darasa la 12 japo hatofaulu kupata nafasi ya kwenda kidato cha 5 angalau atakuwa amepata uwezo wa kuchagua mwanamume". hii ni akili...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Jana jioni kulikuwa na mjadala uliokuwa unaendeshwa na BBC Swahili, miongoni mwa wachangiaji alikuwa ni Waziri wa Wanawake, Jinsia na Watoto Mh Sophia Simba... Nilishangaa kwa jinsi alivyokuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mh. Kigwangalla amekishauri chama chake kijibu hoja za Chadema ili kurudisha imani kwa wananchi, kwani inachofanya CDM ni propaganda za kisiasa na si kweli. Amedai CCM imefanya mengi mazuri, ila...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Viongozi Maslahi Wasio Na Historia Wanaiua CCM: Sumaye Asisitiza kauli zake ni taratibu hazihitaji vikao Sitta ataka CCM isishangae kukosolewa na wapinzani CHAMA Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom