Ndugu wapendwa wanajamii hili neno la uchochezi hasa linalotumiwa na chama tawala kipindi mambo yanapokuwa magumu nini tafsiri yake au ni kuwatisha wananchi pindi wanapoona serikali yao...
Nimewajibika kuwaandikia enyi mjuao kiswahili, ya kwamba si mtu, kundi la watu, taasisi binafsi au za serikali, nchi, wala bara lolote linalomiliki "UFAHAMU" niwakumbushe, wanasayansi wa awali...
Leo halmashuri imevunja mkataba wa kukusanya ushuru katika soko la kilombero, kati yake na kampuni ya piga deal, ni baada ya malumbano na shinikizo kubwa kutoka kwa diwani wa kata ya levolosi kwa...
To be honest with myself napata tabu sana kuona tija kwa wide community (obviously kwa watawala labda zinalipa sana) katika hotuba za JK ambazo huzitoa mwishoni wa mwezi kwa taifa pale inapobidi...
Kuna taarifa kwamba Rais Kikwete ameacha kishindo ndani ya serikali kabla hajaondoka. Nalala usiku mwema kwa walio na usiku wengine hata sijui nisemeje, ila tukiamka tuttafuaatili, sitopokea simu...
Ndugu zanguni wakristo,
Katika kudumisha umoja na mshikamano katika jamii. Najua hiki ni kipindi adhimu na kitakatifu naomba kuchukua fursa hii kuwatakieni Kwaresma njema.
MAOFISA wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakibeba jeneza lenye mwili wa Meja Jenerali Mstaafu, Jumanne Mwakitosi, wakati wa mazishi yaliyofanyika leo, kwenye makaburi ya Kisutu, Dar es...
As former ministers cling government quarters
The government is losing millions of shillings in accommodation bills for newly appointed ministers and their deputies.
The problem is compounded by...
Tanzanian authorities enabled the CIA to subject a Dar-based trader to abuse in a secret detention centre in Djibouti and at black sites in other countries, human rights attorneys are charging...
HATIMAYE Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imekubali ombi la aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Segerea, Fred Mpendazoe (CHADEMA), la kutaka mahakama imruhusu aweke sh milioni 15 mahakamani kama...
Who can Muammar Kadhafi still count upon as his regime collapses around him? Ministers, military chiefs and dignitaries have all abandoned him in recent days. But, for the moment a least, his...
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ameishauri Serikali kutotumia vyombo vya dola kuzima moto wa vyama vya upinzani kutokana na kauli zao kuhusiana na utendaji wa Serikali...
Ndugu mtukufu raisi wa Jamuhuri ya Tanganyika,
Kampeni za kukuondoa madarakani zilifanyika mwishoni mwa mwaka jana, lakini haikuwezekana na tulikubali kuwa tumeshindwa sasa hofu yako nini...
Retired doctor paid her 10 pound a month, fed her just two slices of bread a day`
Mwanahamisi Mruke
A retired doctor is facing charges of trafficking a Tanzanian woman into the UK...
Baada ya siku 100 na ushee madarakani, Kikwete amesalimu amri, analalama ni kweli maisha magumu na haonyeshi ufumbuzi wa kuyatatua isipokuwa kuegemeza utetezi kwa waliomtangulia.
Wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.