Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nimekuwa nikijiuliza kwamba, kufuatia Dr. Slaa kutopiga kampeni zake za Urais visiwani Zanzibar wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu octoba mwaka jana; Je ni nini mtazamo wa Chadema kuhusu Muungano...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Fr. Baptiste Mapunda - 2011-03-09 03:19 -- Mwananchi -> comments. Serikali ya CCM ijiulize kwa nini Chadema waandamane na kuwashawishi wananchi? Hili swali ni kubwa sana, si kwa suala la...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hii Kauli ya Kakobe kuwa ili tatizo la Umeme liishe TZ ni lazima Waziri wa nishati aende kanisani kwa Kakobe kutubu na hakutakuwa na shida ya Umeme tena imekaaje? Aidha Kakobe huyu kamshambulia...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Natoa ushauri muhimu kwa chama cha chadema kujenga hoja nzuri kwa watanzania kutatua tatizo la mgao wa umeme kwa vile wameonyesha kutokuwa na ubinafsi. Tunataka vitendo si maneno tu na huu ni...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Sitta: Dola isitumike dhidi ya Chadema Send to a friend Tuesday, 08 March 2011 21:58 0diggsdigg Sheilla Sezzy, Mwanza WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta ameishauri Serikali...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimesikitishwa na na maneno aliyoyasema Pinda tena jana kwenye ziara yake huko chato. Nashawishika kuamini kwamba maneno yale alitumwa na Kikwete pamoja na swahiba wake Lowasa. Na nadhani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Natafuta BarCode na BarCode Reader Tafadhari ni PM ,nazihitaji haraka sana kwa ajiri ya Fixed Asset management
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Quote kutoka mwananchi: "Mimi binafsi nashangaa kiongozi ambaye ni mbunge ni mfanyabiashara mkubwa mwenye biashara kubwa sana anapata wapi muda wa kufanyabiashara hiyo kama siyo kutumia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Akiwa amewaahidi kukutana nao, alichoweza ni kufika hotelini walipo waandishi wa habari, kulikuwa na waandishi wa habari kama mia hivi, kuona hivyo akawaacha solemba bila kuongea nao hata neno...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
AL magrahi alilipua ndege, ikauwa watu. PAN Am Flight 103. December 21, 1988. wengi wao mayahudi. muuwaji alikuwa mlibya. waskoch wakamuachia kwa kisingizio cha compassionate grounds. ati alikuwa...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
nataka wazalendo tuijenge nchi yetu tunaotakia mema, watanzania wengi wamekuwa wakitaka mpaka tanzania ife ndo wajenge. Naomba wazalendo tujenge nchi kwa kutoa ushauri unaojenga nchi kwa huduma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WAKATI leo ni kilele cha siku ya wanawake duniani, baadhi ya wanawake wameonekana kuwa ni mfano wa kuigwa. Wanawake waliobainishwa kwa mfano ni pamoja Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Mimi namuomba MUNGU Nisife ili niione kwa macho yangu ccm ikifa kifo cha mende. Siku hiyo itakuwa SIKUKUU kwangu. Naipangia bajeti kwamba siku hiyo nipate Kidari cha kitimoto rosti kachumbali...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari za leo wachambuzi wenzangu, mi napenda kuwauliza swali moja jepesi, hivi wewe unadhani upinzani wa kweli kwa taifa letu kongwe kiumri na changa kimaendeleo ulikuwepo enzi za mwalimu/...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Katika newz za chanel ten saa 1 usiku namsikia lowasa anasema wananch wakihukumu chama chao kwa kutekeleza ahadi zao vizuri na siyo siasa za chuki.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Rais (simtambui) wa Tz: Luteni Kanali Jakaya Mrisho Kikwete Katibu wa CCM(Uenezi): Kapteni John Chiligati Katibu wa CCM: Luteni Yusuph Makamba Wakuu wa Mikoa na Wilaya (Wengi wao): Maluteni...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wasiwasi na tetesi zilizagaa Visiwani Zanzibar wiki iliopita kuhusu hali ya kiafya ya makamo wa kwanza wa rais wa visiwani humo, Maalim Seif Shariff Hamad, baada ya kujulikana alilazwa hospitalini...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Rais anataka kutimiza utabiri wa kishirikina wa mlinzi wake wa majini, Sheikh Yahya? Anatafuta kukutana na Chadema. Bila kupambana na ufisadi kwanza huko si kutapatapa? Hiyo ni danganya toto kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
A doctor from Israel says, "in Israel the medicine is so advanced that we cut off a man's kidney, we put it in another man and in 6 weeks he is looking for work". The German doctor comments...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nilidhani nchi ingekuwa na viongozi wawajibikaji kwani Mgao wa Umeme sasa imekuwa ni Janga kubwa la Kitaifa,lakini viongozi wetu ndio kwanza wanapoteza muda mwingi nje ya nchi,mfano Kikwete na...
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Back
Top Bottom