Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Madam Clare Short, Plenary Chairman; Mr Peter Eigen, Chairman of EITI; Excellencies Heads of State and Government present here today; Distinguished Participants; Ladies and Gentlemen; Good...
0 Reactions
119 Replies
12K Views
Mwenye hii kampuni ni nani exactly? Something is not right about these guys why? Tell what's wrong with this picture: http://www.planepictures.net/netshow.php?id=826481
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mataifa mengi duniani yameendelea kutokana na siasa za kiushindani. Panapokosekana ushindani basi mengi hudumaa na aliyekabidhiwa majukumu huwa hana msukumo wa kujituma kwa vile hakuna khofu ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
amewaalika wandishi wa habari tripoli hotel.baada ya kufika na walinzi kibao hakuongea neno.kageuza fasta..ana kiwewe..!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
na Ahmed Makongo, Kahama WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige, ameonekana kutikiswa na maandamano yaliyofanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Shinyanga hivi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Washikaji wapi makamba mbona asikiki? au kamuachia mwanae januari makamba aropoke kwa niaba yake. wana jf naomba mtujuze alipo huyu popo bawa.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi wana JF kule Libya ni maandamano au waasi?maana kama ni maandamano wanapata wapi silaha?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Musoma ni Tanzania?mbona tulio waajiri kutulinda na mali zetu wanatuua?JK NA SAID MWEMA vipi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
..Waziri Maige amekaririwa akitoa matamshi ya vitisho kwamba yuko tayari kwa lolote akitetea wachimbaji wadogo wadogo dhidi ya mwekezaji. ..Mbunge wa Nzega, Mh.Kigwangalah naye ameandaa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
China Iran USA Na wa Bongo,!!
0 Reactions
0 Replies
840 Views
Nimemsikiliza Waziri Membe akihojiwa ITV na katika mahojiano hayo nimesikia maneno niliyoyasikia kwa waziri wa Mambo ya Nje wa Misri baada ya mapinduzi ya Tunisia. Akijibu hoja ya Katibu Mkuu wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni ukweli usiopingika kuwa ccm pamoja na kuwa chama tawala walikosea sana kumweka makamba kuwa mtendaji mkuu wa chama. Yani ukimlinganisha na Dk Slaa ni kama sisimizi na tembo.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tumeona na kusikia kuwa kumekuwa na maandamano makubwa na yenye kutia simanzi kila mara unapoongalia zile picha kwa jinsi mwananchi anavyoonekana akiwa amechoka na kukata tamaa.Baada ya hapo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ninaangalia taarifa ya habari kupitia Channel Ten na naona CCM Dar wakitoa tamko la kulalamikia kupanda kwa bei ya vyakula. Hawa ni wenye serikali ambao wangeweza kuelezena ndani kwa ndani...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Hii hapa chini ni ya 2009 Nakumbushia kwamba leo hii bado tupo gizani. Yale ya Babu wa Loliondo yametawala as if tumeacha mambo ya msingi tukashabikia ya kijinga kwelikweli. Anyway, hebu someni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Poll Poll
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Viongozi wengi wa bara la Afrika ni wahuni na waroho wa madaraka ambao wanatumia kila aina ya udhalimu ili wabaki madarakani kwa gharama ya umasikini wa wananchi.Hamna shaka kuwa watu wengi barani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Siku za hivi karibuni baada ya maandamano ya CDM chama tawala kupitia viongozi wake mbalimbali akiwemo rais wa nchi wametoa kauli ambazo zinaonesha wazi kuwa ni chama cha ubabaishaji kinachotumia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna kitu kimoja naona kinakosekana katika huu mjadala wa DOWANS. Kamati ya Mwakyembe ilishasema kuwa mkataba na DOWANS ni feki. Sasa hii kamati ya nishati inavyokutana kujadili jinsi ya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Napenda kuuliza mbona hawa wazee(Makame and Kiravo) wako kimya sana sasa hivi? Au wanaona aibu kwa kuipa CCM ushindi wa kitandani? Hata kutupa post-election feedback and plans forward? Last...
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Back
Top Bottom