DR Lwaitama alijibu mapigo yaliyotolewa na Rais, na viongozi wa chama cha mapinduzi, alisema mambo yafuatayo;
CDM wana haki ya kutafuta na kuongeza wanachama kwa kuzunguka mikoani, haki hiyo ni...
Nimejaribu kufuatilia katika mikutano yote ya chadema hadi kuitwa wahaini, kumbe ni Dowans, Epa,kagoda,Richmond na kuwatetea wana angalau hali ya maisha ibadilike lakini ndo imekuwa balaa kwa...
KATIK HALI INAYOONYE PINDA NI CHAMBO WA WA KUTUNA WAKUKULI NI WANYONGE NI KAULI ZAKE NA MATENDO YAKE KAMA KULIA MBELE YA KAMERA
KIUNDANI PINDA ANAMPIGA STOP MAGUFURI SIO KWA SABABU YA NYUMBA ZA...
Monday, 07 March 2011 20:55 0diggsdigg
Anthony Kayanda, Kigoma
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Kigoma Mjini, kimetoa tamko kali dhidi ya Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa...
Madarasa mawili wasomea chumba kimoja
Saturday, 05 March 2011
Wanafunzi wa darasa la pili na tatu wa shule ya Msingi Magwalasi katika Kata ya Rujewa, wilayani Mbarali, mkoani Mbeya wakiwa...
Ukiangalia kwenye chart hii hapa chini utagundua kuwa Tanzania inaongoza kwa bei ya mafuta ukilinganisha na nchi zingine zenye bandari:
Tanzania $1.23/l
Kenya $1.16/l
Mozambique $0.92/l
Malawi...
kila wizara imesimika generator standby. tena makubwa tu
Yale magenerator ya BOT inasemekana yanatosha kusambza umeme mkoa wa dodoma na singida kwa pamoja.
Hata Pale ikulu pia inawezekana...
Au yale yalitabiriwa ya kuvuliwa ukatibu mkuu wa genge yalishatimia kimyakimya?
maana sasa kila mtu ni msemaji wa chama: mara sophia simba, mara pinda, mara chiligata, mara kilango, mara wasira...
Mojawapo ya maamuzi ya baraza la siasa ni kuwa kuwepo na serikali ya umoja wa kitaifa Tanzania bara ili kumaliza malumbano yaliyopo. Binafsi naona kwanza hakuna malumbano ila kilichopo vyama vya...
I really don't think Kikwete is listening to Tanzanians. What I experience since stolen elections and protest erupted, Kikwete is living in another planet. Kikwete isn't listening to anyone except...
Katika kutafuta huku na huko, juu ya sifa za kiongozi bora, nikafanikiwa kupata hizi:-
1.Honesty- Uaminifu
2. Responsibility- Uajibikaji
3.Confidence- Kujiamini
4. Enthusiasm- shauku kubwa...
''Chadema wanahubiri mauaji''
''Kumdhalilisha Rais wa nchi''.
''kutaka kuingiza nchi ktk mauaji''
''Chadema ifutwe''
Video kwa hisani ya Dedichijr wa Youtube.
[/B]"PCCB seizes multibillion illicit sugar
The Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) has impounded a consignment of contraband sugar worth Sh3.7 billion which an importer had...
Ndugu wana JF ni wiki ya Tatu sasa tangu wabunge wetu waingiziwe kwenye akaunti zao kiasi cha Milioni 90,nimetaja wabunge hawa vijana watuambie hivi wanajisikiaje kupata kiasi hicho wakati wakijua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.