Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakuu naomba mwenye naba ya spika wa bunge, mhe. Anna Makinda, na ya waziri Membe, tafadhali anisaidie, nina shidanao muhimu sana leo hii.sitazitumia kinyume cha sheria. asanteni
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu wana JF, Kutokana na maandano CHADEMA ya wiki iliyopita ktk mikoa ya kanda ya ziwa kuonekana kivutio kwa wananchi wengi,serikali/ccm na baadhi ya wananchi wameamua kuutafsiri baadhi ya hoja...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nadhani ni muda muafaka kuacha kulalamika na kushambulia kwa vitisho, bali hoja ijibiwe kwa hoja. Naamini ccm,cuf na CHADEMA hawataleta vioja. Hatutaki siasa za visasi na kuviziana, bali...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Juzi ijumaa ni meshangazwa na wanaccm kwa ulitoke msiba wa mmoja wa wanachama ambaye hana cheo chochote ktk chama lakini cha ajabu alizikwa kwa kutumia BENDERA ya chama. je chama kimechoka hivyo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kwa kuwa viongozi wa nchi hii hawapenzi kuambiwa madhaifu,kwa mtizamo wangu wanataka kusifiwa . Kwa jinsi hiyo kwenye maandamano yajayo viongozi wa chadema wasisitize yafuatayo;- 1. Wananchi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Dr Slaa anasema chama chochote cha upinzani kazi yake sio kukipigia makofi serikali iliyoko madarakani bali ni kuikosoa pindi inapoenda mrama kwa hiyo tangu miaka 50 ya uhuru haijatokea chama...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Yaani nimechoka sana kuwaona JK na Pinda, unajua nikiwaona kwenye TV nabadiri channel. Kwenye magazeti nasoma kwa shida nikiwaona najisikia vibaya. nisaidieni nifanyaje? ebu kama Mungu atawasaidia...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Asema imeshindwa kudhibiti matumizi mabaya ya rasilimali Asema Chadema kinapaswa kupongezwa kwa kusema ukweli Amkosoa Tendwa kwa kauli zinazoonyesha anatumiwa na CCM Operesheni Sangara kuingia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dar es Salaam. Hardly a week after local mining officials had disputed the US government’s claim that Tanzania was a source of “conflict minerals,” a huge amount of smuggled gold is reported to...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
We need to know if the Union was legit; If the Union was to benefit either part or was just a world political aspects? I mean then Capitalism and Communism fight!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
By The Citizen Reporter Dar es Salaam. What an embarrassment! Part of President Jakaya Kikwete’s recent televised address to the nation about Kiwira Coal Power Limited (KCPL) was based on...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
My Take: sasa sijui serikali hii imekaaje. Picha inayopatikana ni kwamba hufanya sensa kila miaka kumi kuwaridhisha wafadhili wanaotoa misaada. Mwaka jana Kapuya aliliambia Bunge serikali ilikuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Source: The East African:  - Comment |Relax, JK, you aren Just as there are many ways to skin a cat, there are many ways to make a speech. One was shown some two weeks ago when Muammar...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
simaanishi kuwapuuza wanawake,lakini asili ndivyo ilivyo. CDM wameuwasha moto kwa hoja safi za kisiasa na zenye mashiko kijamii na kiuchumi,anaamka mtu toka kunakojulikana anatoa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesikitishwa na taarifa niliyoisikia kwenye taarifa ya magazeti ya leo kuwa waziri Mkuu Pinda amesitisha zoezi lililokuwa linaendelea nchi nzima la kuwaondoa wavamizi wa barabara zetu. Kwa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kuna umuhimu wa ripoti za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ? maana kila report inaonyesha wizi kwenye kila sector lakini sijawahi sikia watu wakishugulikiwa.....labda zita...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimekuwa najaribu observe baadhi ya matukio yanayo kihusu CHADEMA kama chama; ukianza na tukio la Mh. Zito kuwa kinyume na wabunge wenzake baada ya hotuba ya JK kufungua Bunge, kisha baadhi ya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna uwezekano mkubwa vuguguvu la MAPINDUZI linaloendelea katika nchi za kiarabu kuibukia nchini tanzania. Sijui kama kwa tanzania litafanikiwa au la. Wachuguzi wa mambo ya siasa wanafikiri kuwa...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Baada ya CHADEMA kumaliza ziara ya harakati za kuwaamsha wananchi kutoka kwenye lindi kali la usingizi juu ya masuala mbalimbali ikiwamo DOWANS,MABOMU YA GONGO LA MBOTO,UGUMU WA MAISHA na MFUMUKO...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hilo ndio lilikuwa wazo langu la kwanza kisha nikarudi na jibu la kupanga safu kamili ya makada wanaotegemewa kuliokoa jahazi hilo,ndipo nilipoanza kuwataja rasmi na mikoba yao watakabidhiwa baada...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom