Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwa vile dalilizote zinaonesha kuwa serikali ina lengo la kuwakamata Chadema kwa uhaini, ni vizuri wafanye mkutano mkubwa Dar es Salaam, wahamasishe peoples power ili pindi tu akikamatwa kiongozi...
0 Reactions
94 Replies
7K Views
baba daktari mrema akisema hutekeleza Wabunge kuwaweka 'kiti moto' watendaji halmashauri Daniel Mjema, Same KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) leo inaanza ziara ya kikazi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hali ya Usalama Nchini Ndugu Zangu; Hayo si matatizo ya kumalizika ndani ya siku tisa. Mzee Nyerere aliongoza kwa miaka 23 na hakuyamaliza matatizo ya maendeleo ya nchi hii. Na wale wa umri...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
I am a lady from the Netherlands and a fourth-year student of The Hague University. I work as an intern for the Netherlands Institute for Multiparty Democracy (NIMD). My assignment is to do...
0 Reactions
1 Replies
832 Views
YARABI toba! Eti bado yupo anayeamini kabisa kwamba maisha bora kwa kila Mtanzania yatakuja kama mlivyoahidiwa kabla ya kura zenu? Nasema kama yupo poleni sana. Wote si mmemsikia Mkuu wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Baada ya mikutano na maandamano ya CHADEMA, kuwafikishia ujumbe mbalimbali kuhusiana na matatizo yanayowakabili walalahoi yanayosababishwa na utawala wa mbovu CCM.Tumeshuhudia chama tawala na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WAFANYABIASHARA katika soko la Mabibo, Big Brother, jijini Dar es Salaam, waliovunjiwa mabanda ya biashara ili kupisha upanuzi wa barabara ya magari yaendayo kasi, wametoa wiki mbili kwa Serikali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I have been thinking of some leadership problems in Africa. There are couple of problems we have but one of them is lack of understanding that being a leader in that sense means you are a musician...
0 Reactions
0 Replies
690 Views
Serikali ya China imeamua kushugulikia ufisadi na kudhibiti mfumuko wa bei kama njia ya kuhakikisha amani. Serikali ya Kikwetwe ikifuata njia hii haitasumbuliwa na maandamano ya CHADEMA BBC...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nafikiri kuna watu wenye chuki tu na Lowasa, nimelazimika kusema hivi kwani nimeona kuna watu wanamwangalia Lowasa kama malaika ambaye hakupaswa kukosea. Nafikiri huu ni wivu tu maana tumeshuhudia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani...
0 Reactions
64 Replies
6K Views
Kutokana na Maandamano yanayoendelea sasa inaonekana dhahiri ya kwamba Chadema wanamvuto.Ni chama kinachopendwa na wanachi.Nov 2010 uchaguzi ulifanyika.Kuna malalamiko mengi kuwa CCM wamechakakua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kikwete na Serikali yake watueleze ukubwa wa tatizo Mbagala,kwani mahitaji ya damu yanafanya hofu kuongezeka kwani tatizo linaonekana kuwa kubwa sana
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, Salaam! Jana nilikuwa kwenye maandamano katika Wilaya ya Chato nyumbani kwa Maghufuli ambako kulikuwa na umati mkubwa wa watu. Maandamano yalikuwa ni ya Kilometa nane yaliyoshirikisha...
0 Reactions
70 Replies
13K Views
Kutokana na watz wengi kutoipia CCM kura kwenye uchaguzi wa 2010, wamebuni mbinu ya kuwakomoa watz kwa kutolipa mishahara ya watumishi wa umma, umeme na bidhaa muhimu kupanda bei mara dufu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kama watanzania tumeweza kuvumilia taabu zote zinazoletwa na serikali ya ccm kama umeme wa mgao miaka yote,mfumuko wa bei, umaskini uliokithiri, dowans nk,bila kuchukua hatua za msingi kwa kigezo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Licha ya kuwa heading ya kiingereza imefutwa lakini ni vizuri tuone hawa wamiliki wa vyama kama wakijitoa itakuwaje.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Pinda aingilia kati katika mchakato mzima wa Bomoabomoa uliokua unaendelea akisema usimamishwe ili tathimini ya nchi nzima ifanyike kwanza. Pinda alisema hayo jana akiwa Chato Mkoani Kagera...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mnaojiita wanachama wa ccm sisi kama wananchi tumechoka kugombana na hawa wakina Kikwete, Mkapa, Rostam, Lowasa, Pinda na Mafisadi wenu mjitahidi kuwadhibiti au kuwafukuza. Kama mmeshindwa fungeni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa amejibu mapigo ya Chama cha Mapinduzi(CCM) na kusema kuwa Chama chake hakitasitisha maandamano yanayoendelea katika...
0 Reactions
117 Replies
10K Views
Back
Top Bottom