Tangu arejeshwe kwenye wizara yake ya zamani mh. Pombe Magufuliamekuwa akitamba ya kuwa atakuwa akisimamia matakwa ya sheria bila ya kumuonea haya mtu yeyote. Mwishoni mwa wiki iliyopita waziri...
Sijajua Chadema wanadhaminiwa na nani katika kufanikisha maandamano ya wananchi yanayoendela. Naamini Chadema kinahitaji nguvu ya kutosha kufanikisha hili kwa maendeleo yetu na nchi yetu.nadhani...
Wakati wa hotuba yake mwishoni mwa mwezi wa pili Rais alieleza mtizamo wake juu ya kupanda vitu bei. Nasema ulikuwa ni mtizamo wake kwa sababu aliyosema hadi sasa hayajatekelezwa. Hebu tuangalie...
Nionavyo mm hv sasa Tanesco wanakata umeme makusud takrban 24hours ili wananchi walalamike sana wapate kisingizio cha kusaign mkataba na hao MATAPELI wa DOWANS.
Unawezaje kusaign mkataba na tapel...
Kauli ya pinda ya kumzuia magufuli n ya kisiasa na haina msingi wowote, wanataka wapunguze kama c kuondoa munkari unaoweza tokea pale majengo yatakapovunjwa na kuijengea ccm taswira nzuri kwa...
7th March 2011
Asema imeshindwa kudhibiti matumizi mabaya ya rasilimali
Asema Chadema kinapaswa kupongezwa kwa kusema ukweli
Amkosoa Tendwa kwa kauli zinazoonyesha anatumiwa na CCM
Operesheni...
Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?
You are what you are and you are who you are and you cannot change that!!
So believe in yourself and you will soar like an eagle!!
Fight CCM and its corrupt regime until death.
CCM MUST be...
Ndugu wana JF, naomba nivunje ukimya kwa kusema kuwa, Tanzania ni nchi inayokaliwa na watu wenye macho (hivyo wanaona), wenye masikio (wanasikia) lakini pia wenye uelewa (wanaelewa jema na baya)...
Tangu alipoteuliwa kuwa WM kila mtu alimwona ni mtendaji. Tulimshangilia na wengine wakampa majina lukuki tena mazuri tu, mara Mtoto wa Mkulima, mcha mungu, Msafi nk.
Nimekuwa nikimfatilia...
katika kipindi cha television ya INITIATIVE AFRICA leo asubuhi kupitia KBC ya Kenya...............alionekana JK akiwa AU na alihojiwa na waandishi wa habari kama anaona machafuko ya kudai...
Wakati nikiwa mdogo nilishawahi kuambiwa kuwa, "mchawi wako ni wewe mwenyewe" kamwe sijawahi kuelewa maneno yale, lakini kadiri mambo yalivyokuwa yakibadilika kuna siku nililazimika kuamini usemi...
Wakuu jana katika pitapita zangu mto wa mbu niliona watu wengi kuuliza nikaambiwa mchungaji aliyepigwa na kikundi cha waislam na kulazwa hospitali hatimaye alikufa na Jana kulikuwa na mazishi yake...
By Mwinyi Sadallah, IPPMEDIA
Zanzibar Director of Public Prosecutions (DPP) Othman Masoud Othman has said the present form of the Union Government whereby President of Zanzibar is no longer...
Nimeiokoteza mahali... This' a contract that was signed between TANESCO and RICHMOND LLC ambao sasa wameshaamua kuurusha mpira kwenda DOWANS lakini 'kisanii'.
Chukua nakala uweze kunielewa...
Mh. Nyimbo kama Mtanzania ana maoni haya kuhusu hotuba ya Rais kikwete- Soma mwenyewe
WATANZANIA TUNAMATATIZO JIBU ATOE NANI?
NALIKO WAPI?
HOTUBA YA MH: RAIS-FEBRUARY 2011.
Mimi...
Ni miezi miwili imepita watanzania lazima mtaanza kumkumbuka DR.Slaa mtu makini na aliyekuwa na nia ya dhali ya kuibalisha tanzania ki uongozi na kuwakomboa ninyi kwenye wimbi la umaskini na...
Ni ukweli usiopingika kabisa kuwa CUF ni chama kikongwe cha siasa kilichopitia misukosuko mingi sana ikiwa pamoja na viongozi wake waandamizi kuwekwa ndani kwa takriban zaidi ya miaka miwili kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.