Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Pamoja na kuwepo watu kiduchu waliohudhuria mkutano wa waziri mkuu uliofanyika wiki iliyopita kwenye viwanja vya uhuru platform mjini Bukoba, maarufu kama mayunga, Bwana pinda alishindwa kutoa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Urithi wa Kikwete na haiba iso sababu Binadamu kwa kawaida hupenda kukumbukwa, hususan kukumbukwa kwa mazuri, au yale wanayotaka yaonekane kuwa mazuri. Nimekuwa nikifikiri kuhusu uongozi wetu...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Jamani ndugu zangu watanzania, naomba sisi wenyewe tuamue, tutoa maamu ya msingi ya namna ya kumfanya huyu raisi kikwete aliyetufikisha hapa tulipo, nyie kama watanzania mnaoona athali za mambo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NITAYAINUA MACHO YANGU NITAZAME MILIMA, MSAADA WANGU UTATOKA WAPI? Mbona simuelewi mheshimiwa Nape?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tanzania ni nchi moja duniani imebahatika kua na kilakitu ambacho tunapaswa kujivunia na hapa juzi tu tumepata mkombozi wa kutukomboa na hali za afya za wananchi wa taifa hili ambaye ni BABU yuko...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Pinda ameingia kwenye record ya dunia kwa kulia hadharani bila sababu za msingi akiwa waziri mkuu. Anaendelea kulalamika hadharani kwa mambo ambayo anatakiwa kuyatolea maamuzi... anataka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo nimeshangaa sana Waziri Mh. Membe kusema kuwa kwa kuwa Egypt imesaidia Tanzania, sisi hatupaswi kusema chochote juu ya utawala usiokubalika kidikteta ulioondolewa na wananchi wa Misri. Mh...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba mtu yeyote mwenye soft copy wa Water Resources Management Act, 2009 na regulation zake anisaidie. Zikipatikana mapema nitashukuru sana wapendwa. Nataguliza shukrani na mbarikiwe wote.
0 Reactions
0 Replies
925 Views
Leo nimefuatilia Bunge japo Kidogo kile Kipindi cha Jioni, Nimesikia Michango ya Wabunge wawili John Shibuda ( CHADEMA) John Cheyo ( UDP). Kile Nilichokiona leo katika Nyuso za Wabunge hawa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Fensi ya bunge mjini Dodoma iko barabarani tena karibu zaidi, kwa nini isivunjwe? Au sheria hapa zina semaje. Namshauri Magufuli aivunje ili hata wananchi wa Dodoma waone kuna ulazima wa kubomoa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Uchaguzi umeisha lakini kuna kesi mbalimbali zimefunguliwa kupinga matokeo ya baadhi ya majimbo. Moja ya majimbo ambayo CCM ilitumia nguvu za wazi na kunyang’anya ushindi (si Kuchakachua) ni jimbo...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Written by administrator // 07/03/2011 // Habari, Sauti // 10 Comments...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
katika kile kinachoweza kujulikana kama ni kuzidiwa na madaraka, mbunge wa jimbo la tabora mjini Alhaj Aden Ismail Rage leo ameumbuka katika kikao maalumu cha chama cha mpira wa miguu mkoa wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nakumbuka wakati wa kampeni moja ya matusi ya CCM kwa vyama vya upinzani walisema ni vyama vya msimu wa uchaguzi tu, baada ya hapo vinalala Sasa Chadema wameamua kuwa chama cha muda wote CCM...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
VIONGOZI ACHENI KUMSINGIZIA MUNGU Mwandishi: Happiness Katabazi Tarehe: 6:54 PM | Kiungo Mahususi Na Happiness Katabazi LEO Machi 8 ni Siku ya Wanawake Duniani. Hivyo wanawake...
0 Reactions
0 Replies
957 Views
Chadema kimepanga kuanza kuanza ziara ya Operesheni Sangara katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Bunge la April. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
John Shibuda, ameibuka na kutetea maandamano yanayofanywa na chama chake, huku akionya CCM kuacha kufanya kile alichokiita mchezo wa kugeuza polisi kuwa ‘ICU ya kutibu maradhi yake ya siasa...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Nilisoma jana thread ya kilichomtoa Kikwete Monduli,Mwandishi wa thread hiyo alionesha hisia zake kwa kile alichokiita kuwa aliondoka kwa aibu kubwa kutokana na kumchongea bosi wake. Mimi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
He was a politician of principal,devotion and dedication.He left while we still demanded him to build our nation. May God rest his soul in eternal peace.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wandugu, Nimepokea email kutoka kwa rafiki yangu mmoja inayohusu sababu za Bara la Afrika kuwa nyuma kimaendeleo. Kimsingi, zipo sababu nyingi zinazotufanya waafrika tuwe nyuma kimaendeleo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom