Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Binafsi nimekuwa najiuli, hivi kwa nini serikali, na wachambuzi wengi walikuwa kinyume na hatua ya wabunge wa cdm kususia hotuba ya rais pale bungeni. Tena, hata hatua yao ya kutoka wakati wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kama ulikua ujapata ona kilichotokea arusha katika video inasikitisha kwa kweli polisi anaweza kushambulia hata gari lililopakiwa bila sababu jionee mwenyewe www.lifeofmshaba.com...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
NCCR MAGEUZI kuanzia kesho wataanza ziara Kigoma ya kueneza elimu ya raia kwa wananchi. Source TBC1 1600 NEWS Je ni kweli kueneza elimu ya raia au wametumwa na CCM kuharibu kazi ya CDM?
0 Reactions
2 Replies
995 Views
Nipo Njiani kuandika kitabu cha jinsi gani unaweza kuwa na theory au mitzamamo na jinsi gani hiyo mitazamamo inavyoweza kwenda au kuzuia maendeleao katika Nchi na pengine kwa watu wengine bila ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni ukweli usipingika kuwa asilimia 100 ya uendeshaji vyuo vikuu vya Serikali inatokana na fedha toka Serikalini kuu. Kwa hali ilivyo sasa na huko tuendako hii ni hali ya hatari na inayofaa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndio mnaweza kuifuta chadema katika madaftari yenu ya usajili,....lakini hamtakuwa mmemaliza matatizo ila mtakuwa mmeleta matatizo makubwa kwa Tanzania! Yawezekana kabisa vijana wengi wasio na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KAULI za Rais Jakaya Kikwete, Waziri wake, Steven Wassira na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi, John Chiligati, Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa, wapambe wake Augustine...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Leo nimefanikiwa kutazama kwa kifupi DVD ya matukio ya kisiasa na Mauaji ya Arusha, ikiwa imeandaliwa katika mfumo wa Documentary.. Sijafanikiwa kuwajua walioandaa, lakini ni kwamba...
0 Reactions
66 Replies
7K Views
Firs,let me remind dr slaa that CDMs constitution supports free market.Free market is controlled mainly by forces of demand and supply. Having said that,I find it weird when you criticize the...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Kwa jinsi Bunge letu linavyoendeshwa kibabe i see a scenario of this sort is to happen in the near future! Tumeshuhudia Arusha na kinachofuata ni Dodoma in that high law making chamber that is so...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wana JF... Tembelea hii wizara ya miundombinu (Government of Tanzania - Ministry of Infrastructure Development) ujionee uozo wa wataalamu wa IT waliopo wizara hiyo.Taarifa ni zile za zamani enzi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Any similarities? Any Differences?
0 Reactions
59 Replies
8K Views
Katika pita zangu nimekutana na picha hizi katika Facebook Welcome to Facebook - Log In, Sign Up or Learn More
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wazanzibari watakiwa kutodharau mchakato Na Juma Khamis WAKATI asasi za kiraia zilizopo Zanzibar nazo zikiungana na za Tanzania Bara katika mijadala ya katiba mpya, Mhadhiri mstaafu wa Chuo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
People's power movement and our political Barometer It's obvious the current patriotic maneuvers that have taken CHADEMA to the Lake zone regions have cold feet CCM and found them in an impasse...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chadema imekuwa ikitumia sana msemo wa nguvu ya umma. Kwa tanzania bado haijatokea umma ukatoa malalamiko kwa serikali kwa njia ya maandamano. Kilichotokea Misri ni nguvu ya umma bila ushawishi wa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wapendwa wanaJF tunakumbuka mojawapo ya jambo alilozungumzia mheshimiwa JKikwete katika hotuba yake ya mwisho wa Februari 2011 ni kuwa maandamano ya Chadema yanaleta uvunjivu wa amani Tanzania...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mgombea wa CCM JM Kikwete jana alitoa ahadi ya kutoa bajaj 400 kwa wajawazito huko Chunya ili ziwasaidie kuwawahisha hospitalini mara tu atakapoingia madarakani. Source: Radio Maria Sungura
0 Reactions
90 Replies
9K Views
We strongly need to question after revisiting the powers by registrar of political parties to cancel registration of the same political parties. This is far as yesterday political sentiments...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Hawa jamaa wapo kimya kinoma baada ya kupata uwaziri wamefungwa midomo kabisa, afadhali wajiuzulu nyadhifa zao za uwaziriri ili waweze kuhoji vizuri malipo ya kampuni hewa ya kufua umeme ya DOWANS.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom