Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
naomba kuuliza wana jamii hivi huyu rais wetu kweli ana mamlaka kamili ya urais? Kama jibu ni ndio kwa nini anashindwa kuwa na maamuzi? Au watu aliowateua kushika nyadhifa mbalimbali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
VIONGOZI na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameomba wanancvhi kutowanyanyapaa na kuwabagua watu wenye ulemavu nchini na badala yake wajenge utamaduni wa kuwasaidia kila...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
unajua nimekaa nkajiuliza kama wiki nzima hivi, hivi maandamano ya chadema yangekuwa hayana mwemko wa wananchi kuna mtu angesema wamevunja sheria ya vyama au kutukana?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau hii nimeiona ktk mojawapo ya mikutano ya cdm,polisi wakikunja ngumi kuitikia salam ya nguvu ya umma,nimekubali pipooos pr ni noma na ndo sababu labda ya serkali nzima kuchanganyikiwa wameona...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuhusu usalama ... .... Serikali iliyoko madarakani iliyochaguliwa kidemokrasia kwa mabavu ni matumizi mabaya ya fursa ..... ........ JK mwenyewe keshakubali kwamba walitumia mabavu sasa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunaomba Mwongozo! Endapo Itajulikana kuwa Rais kawadanganya Watanzania je wananchi wafanyaje? Tulimsikia Mhe. Wassira ( Waziri mwenye Dhamana) Naamini alikuwa akizungumza kwa niaba ya raisi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Stadium mpya dar umejengwa bila mikakati ya kutumia, sitashangaa baadaye kugeuzwa ghala au kijiji cha wanamichezo au shopping centre kama uwanja huu wa Japan This stadium is situated in...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Baada ya cdm kutembelea kgr, pm naye alikwenda huko, kukawa na wasiwasi kama angeweza kuvutia umati kama cdm, am curious kujua yaliyojiri huko mbona hakuna taarifa yoyote au taarifa ndio hiyo?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwanasiasa gani Tanzania anayeweza kuvutia umati mkubwa namna hii bila watu hao kuhongwa?-pilau, kanga, tshirt, kofia, scarf, usafiri wa bure, wasanii wa bongo flava kutumbuiza? Mimi nakumbuka...
0 Reactions
119 Replies
10K Views
Ndugu zangu nauliza Tundu Lisu yuko wapi? hasikiki kwa muda sasa hata kwenye maandamano sijamsikia.
0 Reactions
48 Replies
9K Views
Je Kama Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiamuakubadirika, akaacha safari zisizo na lazima nje ya nchi, akaanza kujishughulisha na matatizo yanayotukabiri kwa dhati kabisa na kujielekeza katika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WATANZANIA 14 waliotekwa na maharamia wa Kisomalia katika meli ya MV Aly Zoufecar, Novemba Mosi mwaka jana, wameokolewa wakiwa hai nchini Madagascar. Watanzania hao ni miongoni mwa watu 28...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
na Hellen Ngoromera MNAJIMU Mashuhuri wa Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein, amemtabiria Rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Dk. Willbrod Slaa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kwa mara nyingine tena mafisadi wameibuka na kuendelea kuisogeza mbele ajenda yao ya urais 2015 kwa kuja na ujumbe mfupi wa maandishi ambao kwa sasa unaenea kwa kasi jijini Dar es Salaam. Ujumbe...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto Mh.Sophia Simba amejikuta kwny wakati mgumu pale alipowalaumu vikali CHADEMA kwa kuendesha maandamano kanda ya ziwa na kusema kua huko ni kuiga Misri...
0 Reactions
110 Replies
11K Views
Nimeshtushwa na kauli za Mh. chiligati kuwa chadema wanahubiri fujo. Chadema wanadai haki za msingi za watanzania na kuomba utekelezaji na haki yake. Na si vinginevyo. Moja ya mambo hayo ni elimu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kweli dunia inaficha mengi kutoka Generali hadi kwa RA hadi kwa Bashe???Kazi ipo!
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Katiba ya Jamhuri ya Tanzania inatamka wazi ya kuwa chanzo cha mamlaka yote hapa nchini ni wananchi. Hivyo panapojitokeza jambo lolote lenye utata chombo chenye madaraka yamwisho katika kumaliza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hapo jana trh 4/3/2011 chadema wamehitimisha awamu ya kwanza ya ziara yao ya ukombozi kanda ya ziwa.watanzania tumeshuhudia uungwaji mkono mkubwa kwa chadema kutoka kwa wananchi kiasi kwamba ccm...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakati wa Kampleni za uchaguzi mwaka jana, TBC1 walirusha kipindi cha mahojiano na DR. Slaa, moja ya swali la kizushi walilomuuliza ni kwamba, Kama akishindwa katika uchaguzi huo atakuwa...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Back
Top Bottom