Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ndugu zangu nimeshitushwa sana na matangazo ya Redio uhuru siku ya jumatano tarehe 2 mwezi 3 mwaka 2011, muda saa 2 mpaka saa 3 usiku. nikiwa naugulia mgao wa umeme huku nikiwa na kiredio changu...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
WAKUU. kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa nikilinganisha mienendo ya chama kikuu cha upinzani hapa bongo CHADEMA na chama tawala CCM katika nyanja mbalimbali kama vile utawala, fedha ,rasilimali...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Makinda: Bunge halikuwa na agenda nyingine na Bakari Kimwanga SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda, amefafanua juu ya hisia zilizojengeka miongoni mwa makundi ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Joto la kisiasa nchini limepanda na kufikia degree za juu sana, nadhani liko between 41 - 50 degree. Hii imepelekea CCM na Serikali yake kuwa very unstable, yaani ile group organization haipo...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Akiwahutubia maelfu ya waandamanaji katika mji wa Biharamulo leo Mh. Mbowe amesema, wamiliki wa mitambo hewa ya Dowans wamejitokeza wakimshawishi kumpatia fedha kwa njia ya rushwa ili Chadema...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Swali: Mheshimiwa Rais je unawajua wamiliki wa kampuni ya Dowans? Jibu: Nasema mimi sijui, ni kina nani sijui, Wanatoka wapi sijui, walifikaje sijui, Kama nawafahamu sijui, kama wananijua...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Jamani msaada wa haraka wahitajika Gongolamboto mvua kubwa sana
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Bandugu katika pita pita yangu ya kujisomea nimeona mada nzuri inayojieleza. Any similarities? "Grand corruption is defined as corrupt acts, "committed at a high level of government that distorts...
0 Reactions
1 Replies
928 Views
Mmiliki wa Kagoda akwama kutokea kortini Ni katika kesi iliyofunguliwa na Manji Kesi iliyofunguliwa na mfanyabiashara wa Dar es Salaam, Yusuf Manji dhidi ya kampuni tata ya Kagoda...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau wapenda maendeleo nipo ktk mji mdogo wa katoro mpakani mwanza na kagera hali ni ya mashamsham utafikiri anakuja cjui nani maana hata rais huwa cio hivi,muda mfupi ujao kutakuwa na maandamano...
0 Reactions
110 Replies
11K Views
Wakuu, Habari!!! Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7...
0 Reactions
227 Replies
27K Views
Kasi ya chadema imewatisha baadhi ya vyama, wingi wa watu kwenye maandamano na kukubalika hasa na vijana, hali ngumu ya maisha, na machafuko yanayoendelea dunia. Kumeitia hofu serikali na chama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mimi ningekuwa rais ningejari shida za wananchi na ningetimiza ahadi zangu zote pia nisingetoa ahadi zisizotekerezeka wakati wa kampeni,ili kuwa na kazi rahisi wakati wa urais wangu na pia wakati...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa UDP amemshauri bwana Rostam kuachana na siasa na kufanya biashara kwani upepo wa kisiasa nchini kwa upande wake ni mbaya mno, amemshangaa kukaa kimya licha ya tuhuma lukuki...
0 Reactions
71 Replies
7K Views
Dozens of people have been killed and many more injured after the army opened fire on protesters in the Libyan city of Zawiyah, according to reports. source: www.lifeofmshaba.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wandugu, Maandamano ni njia mojawapo ya kuonyesha kutokuridhika na mambo fulani. Kwa muda sasa CDM imeweza kufanya maandamano makubwa kwenye mikoa kanda ya ziwa. Ni suala la msingi kuangalia...
0 Reactions
60 Replies
5K Views
Wana jf, wananhci wote mawaziri wote, wabunge Raisk JK wananchi wote samahni sijafuate protocol. Leo najiskia kuandika gazeti Sakata la mtatizo ya Nishati tanzania linaibua mswali mengi kila...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Viongozi wetu wa Afrika hasa Tanzania wanaichukulia dhama ya kujiudhuru kama matusi hii nina sikitisha sana mbona mzee wetu mwinyi alijihudhuru na hii ikampa nafsi ya kukaa pembeni kujijenga upya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeshindwa kujizuiz leo baada ya kuiona hii ya Hayati JK wa ukweli alipoongea 1995!, Tumekwishaaaaaaa!
0 Reactions
88 Replies
9K Views
Hili nalo neno... MGAO WA UMEME... Uchumi wayumba * Taifa lapoteza sh. trilioni 1 kwa mwezi * Hofu yatanda maelfu ya vijana kukosa ajira * Ukali wa maisha wawaacha Watanzania hoi * Serikali...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Back
Top Bottom