Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
KATIKA kile kinachoonekana kama mpango wa Serikali kukabiliana na nguvu za maandamano na mikutano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Waziri Mkuu, Mizengo Pinda leo anatarajiwa kuanza...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Hofu ya serikali kuwa Chadema wana agenda ya kuiondoa madarakani inapaswa kuangaliwa vizuri..Maswali yafuatayo ni muhimu: · Ni kwa nini wananchi wameaua kuungana na CHADEMA kuandamana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimepigiwa simu na rafiki yangu ambaye yupo Mbeya Wilaya ya Mbarali kuwa vikosi vya FFU vimepiga kambi kule baada ya wananchi kuzuia mwekezaji wa mashamba ya mpunga (NAFCO) kuondoa machine ya...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Huyu Rais jamani na hizi hotuba zake! Ni kama Tz hatuna wataalamu wa hotuba kiasi kwamba Rais hajapata mtu wa kumuandikia hotuba za ki-Rais. Zile za kila mwisho wa mwezi ni kama summary ya...
0 Reactions
54 Replies
6K Views
Interpol wanasema Gadaf na watu 15 wanapaswa kukamatwa popote pale duniani-bbc
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mama Nyerere alivitaka vyama vya siasa kushirikiana katika kulijenga taifa la Tanzania, ambalo bado linahitaji umoja. Mama Maria alisema kuwa vyama vyote vya siasa vina lengo la kujenga nchi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
CLICK HIRE YouTube - ‫ Zine El Abين العابدين بن علي
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, kwa maoni yangu na kwa kuangalia upepo wa kisiasa unavyoenda hapa tanzania, ni kama chama shindani dhidi ya chama kinachoongoza serikali (CCM) kimebaki kimoja tu, yaani, Chadema. 1...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
On 28 Feb 2011, we heard HE Hon. Dr. Ustadh President Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete claiming that he cannot solve all our national problems since thare have been a lot of them since independence...
0 Reactions
0 Replies
977 Views
Mimi ni mwanachama wa C.C.M, na kiongozi ndani ya Chama katika ngazi ya Wilaya lakini kwa mara ya kwanza nalazimika kusema ukweli, Malalamiko ya viongozi wetu ngazi ya Taifa kuhusiana na...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Kwa kuwa CDM wanatumia haki yao ya kikatiba kuzunguka nchi nzima kutangaza sera zao na msingi wao juu ya hali mbaya ya umeme, ugumu wa maisha na kadhalika haina budi kwa CCCM na wao kuzunguka nchi...
0 Reactions
102 Replies
9K Views
Jana nilimsikia mchungaji mmoja katika radio moja ya kidini akisema kuwa matatizo ya Tanzania hususan Ufisadi hautakwisha hadi pale kama taifa tutakapotubu na kurejesha mali za watu alizotaifisha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kabla ya kukamata viongozi wa CHADEMA ,serikali iwashugulikie walio tuma SMS za uchochezi wakati wa uchaguzi mkuu uliopita.
0 Reactions
1 Replies
968 Views
Leo kuna lori moja liliharibika opposite na kituo cha daladala Mbezi mwisho kutokea usiku. Lori hilo limesababsiha foleni kubwa sana, kutokea Kibamba foleni iifika Makondekona kutokea mjini foleni...
0 Reactions
81 Replies
7K Views
Nimeona kitangazo kidogo sana kwenye gazeti la leo la daily nyuzi. Jina la kampuni ni ANBEM Limited company, na shareholders wake ni Benjamini william Mkapa na mama Anna Mkapa. Katika searching...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Maggid Mjengwa na Neno La Leo: Afrika Kuku Hachimbiwi Kaburi! Ndugu Zangu, AFRIKA viongozi ni wengi wanaopatwa na vigugumizi wanapoombwa watoe maoni yao kwa kile anachofanya mwenzao Ghadaffi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Polisi wanazunguka na difenda mjini hapa na wakikuta vijana wawili au zaidi wanaongelea siasa wanawakamata na kuwapakia kwenye difenda! Je amani ipo tena tz?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Sidhani kama huu ni wakati wa Rais Kikwete kutaharuki na kuanza kuongelea maswala ya machafuko kama alivyokuwa akisisitiza kwenye hotuba yake. Nadhani suluhisho hapa ni kwa viongozi wote wakuu wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
• Slaa atiwa mbaroni, aachiwa, apokewa kama rais Bukoba na Sitta Tuma na Janet Josiah, Bukoba CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeendelea kuitikisa nchi kwa maandamano na mikutano...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom