Kupanda kwa gharama za maisha, ufisadi na mgawo wa umeme ni kero kubwa
Hivi sasa, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kipo kwenye ziara ndefu inayowakusanya maelfu ya wananchi kwenye...
Wakati huu siyo waziri Mkuu pekee bali hata Rais amelidanganya Taifa (na wana-CCM wenzake)
Hii ni kwasababu zifuatazo:-
1) Rais alimjua mmiliki wa DOWANs ila akwambia wana-CCM wenzake huko...
KONA YA MCHOCHEZI: Naomba Watanzania wahifadhi maneno ya uchochezi huu!
Mohamed Bouazizi ni chanzo cha serikali ya Tunisia kuangushwa.
Ukitaka kumjua zaidi kijana huyu ni kwamba alikuwa ni...
"Transparency and even more importantly accountability in the use of natural resources is what you need for people living in those countries to get the benefit of those national resources...
....wanaJF, nimekaa nikatafakari kuhusu kile chama cha CCJ kilichoibuka from no where wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu mwaka jana, kiliibuka ibuka tu na ikasemekana ni watu waliojimega kutoka...
Nilikuwa naangalia nchi zenye machafuko (unrest) na maandamano huko Mashariki ya Kati na Afrika nikakutana na article hii ya CNN ambayo imezitaja nchi na vyanzo vya machafuko hayo. Nimepata...
Waislamu nchini wameonywa kutokushiriki katika maandamano ya CHADEMA kwani yanahatarisha amani ya nchi.
Source: Radio Imani
My take:
Wana JF ktk nchi yetu huwa siwaelewi waislamu (baadhi) kwa...
Zitto: Kuna njama
na Mwandishi Wetu
Tanzania daima
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe, amesema chama hicho kimegundua kuwapo kwa njama mahususi...
kwa sababu CCM watafanya lolote wawezalo ili kulinda maslahi yao kwenye katiba, na hata CHADEMA ikiingia madarakani, kama wao wataongoza mchakato wa kutengeneza katiba mpya, basi watalazimisha...
Mimi nimekuwa nikifuatilia habari na hasa kwenye magazeti ya hapa nchini!kwa bahati nzuri kuna Gazeti la RAI nguvu ya hoja nimekuwa nikishindwa kulielewa hasa kwa kipindi hiki cha takribani miezi...
kama serikali kila tatizo (mikutano na maandamano ya CHADEMA, wamachinga etc) lita suluhisha kwa kutumia polisi (FFU etc), kuna umuhimu gani wa mahakama?
kwa nini kama kweli wanakiuka utaratibu...
Kufuatia hotuba ya Amiri Jeshi Mkuu, JK, ya 28/02/2011, kuhusiana na maandamano ya cdm kanda ya ziwa chini ya viongozi wake wakuu, ni dhahiri kuwa polisi wamefyata mkia na kuacha maandamano hayo...
Wadau kumekua na tatizo la usafiri na watu wameteseka sana. Wanye daladala wanadai kupandisha nauli. Ndg zanguni kila kukicha afadhali ya jana. Sasa cjui tuende kwa nani. Huko Paris nako wakuu...
Naomba sana, bila ushabiki, hasira, tuichambue kwa kina Hotuba ya Raisi ya mwisho wa Mwezi wa pili. Mimi nitaanza halafu wengine kufuatia.
Kwa ujumla hotuba ilikua ina mapungufu mengi sana...
serikali inapoteza muda wake kutishia UMMA/CHADEMA.
Wassira amesema
"Ibara ya 20 ya kifungu cha Katiba inampa nafasi na haki kila mtu kukutana na yeyote na kutoa mawazo lakini si kutumia nguvu...
Viongozi wengi walopata mafanikio katika uongozi wao sehemu mbalimbali Duniani hawakuacha kusema maneno haya kwenye hotuba zao:- "......for the future Generation/...... kwa vizazi vijavyo"...
Wana JF tumekua tukijadili masuala ya kitaifa ya muda mfupi, matatizo ya kitaifa ya kiuchumi na kijamii, lakini kwa wakati huu hatujui nchi yetu itakadi gani au ni ipi political style itakayo...
Madai yangu makubwa ni kupata expenditure za Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu kwa mwezi. Naweza kupata wapi hizi data? Na je, Bajeti zao kwa mwezi ni kiasi gani? Ninataka expenditure zao za...
Juzi nilipokuwa namsikiliza mh. rais ktk hotuba yake alikuwa akisikitika na kulalamika sana kuhusu kupotea kwa silaha nyingi ktk kambi ya Gongo la mboto, na akasema pia kambi hiyo ndiyo sehemu kuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.