Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mwendesha mashitaka wa mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai (International court of criminal- ICC, the Hagu, Netherlands) bwana Luis Moreno-Ocampo, amesema kiongozi wa Libya Gaddafi pamoja na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Siku za sasa kuna upoteshaji mkubwa sana wa hali halisi ya uongozi katika Taifa wetu unafanywa na makada wa CCM na/au watu fulani wenye imani ya dini ya Kiislamu kwamba Watanzania tunapoelezea...
0 Reactions
0 Replies
997 Views
Kuna tetesi nimezipata kutokea kule Butiama nyumbani kwa muasisi wa taifa hili la bongo marehemu baba wa taifa Mwalimu Nyerere kua ile siku viongozi waandamizi wa chama cha demokrasi na maendeleo...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Baada ya watanzania kuelekea kukombolewa na CHADEMA basi wapambe na wapambanaji wenye tambala jeusi machoni, wameanza kusema eti CHADEMA inataka kuleta vita na kuvunji amani. Kuna kosa gani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ikiwa Chadema imeshindwa na ustaarabu bora Msajili akifute Chama hiki,chama ambacho kinashindwa kujidhibiti na kuwezaa kufuata mkondo wa kisiasa,kwa nini hawaiangalii CUF wapi imetoka na wapi ipo...
0 Reactions
173 Replies
13K Views
Najua wapo watakao shtushwa na kichwa cha habari na kudhani mm ni kilaza kwa kuuliza swali ambalo lipo wazi. Nimeuliza maana nimeshindwa kumuelewa John Shibuda aliyekuwa kada wa CCM na baada ya...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Ndiyo hivyo jamani! Wenzetu huduma zote hizo ni bure na bwerere lakini bado wanaingia mitaani kwa maandamano. Kwa upande wetu pamoja na kutokuwepo kwa uhakika wa upatikanaji wake, huduma hizo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mji mzima wa Omurushaka na Kayanga shughuli zimesimama kabisa. Watu wametoka vijiji vya mbali kuja kuwaona wakombozi wao. Naenda kwenye maandamano, nikirudi nitaweka picha. Natumia pc ya rafiki...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mshahara wangu umepanda kwa asilimia 12 kuanzia mwezi January mwaka huu, bei za bidhaa mbali mbali ni kama ifuatavyo: Jul-10 Feb-11 Ongezeko % Mchele 1,100 1,750 650 59% Mafuta ya kupikia (Korie...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Tafuteni muislam vocal hata wakununua. I smell trouble. Nina ndugu yangu ustaadh ni mstaarab na mpole sana ila mambo aliyoniambia yaliyoko kichwani kwa waislam wengi ni hatari kwa taifa. Uongozi...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Sakata la Dowans, nani alaumiwe ? Sakata la Dowans, nani alaumiwe ? Rais Jakaya Kikwete 9222 (77.2%) Baraza la mawaziri 803 (6.7%) Wanasheria na Mawakili 770 (6.4%) Shirika la Umeme...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tumeshuhudia kama mara mbili tatu hivi baadhi ya mawaziri wakiikosoa serikali hadharani au kupitia media. Tuliona katika sakata la Dowans jinsi ambavyo Mh Mwakyembe na Sitta walivyotoa opinions...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Hii ni mitambo ya nini hapa getini kwa Songas muda huu saa tisa mchana iko mitatu kwenye gari tatu kubwa....au mgao karibu kimbia zake!!!??? Source;Kibonde
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Siyo sawa hata kidogo kuchochea ghasia ati kwa nia ya kuiondoa Serikali madarakani. Ni kinyume cha Katiba na ni kuiingiza nchi katika mgogoro usiokuwa wa lazima. Tutasababisha umwagaji wa damu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na Dr.Harith Ghassany Wanaotamani kuivunja Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) Zanzibar ni sawa na wale wenye kutaka kuendesha gari kwa kutumia kioo cha kutizamia nyuma kila wakati. Watu wa namna...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
soko la mahakama ya ndizi lililopo Manzese DSm hivi sasa linavunjwa. Risasi na mabomu yatumika kutawanya wafanyabiashara, barabara yafungwa. Chanzo: Radio One
0 Reactions
63 Replies
6K Views
Ndugu wanaJF naomba kuuliza swali " kwa nini siku hizi watangazaji wa STAR TV na Redio Free Africa hawalisomi gazeti la TANZANIA DAIMA katika kipindi cha watanzani tuzungumze magezeti cha saa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kila nikiiangalia picha hii kwa kiongozi wa upinzani kumsalimia JK kwa ishara hii nashindwa kupata picha halisi!
0 Reactions
33 Replies
3K Views
http://www.worldmapper.org/posters/worldmapper_map150_ver5.pdf Wana Jf Ebu pitien Hapo muone hali ya nchi ilivyokuwa. Ni data za 2006 na nadhani hali ni mbaya zaidi sasa hivi!
1 Reactions
0 Replies
936 Views
Kila kifo Gongo la Mboto fidia Sh.8.5m Na Muhibu Said 3rd March 2011 Kila aliyekufa kutokana na milipuko ya mabomu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Serikali italipa...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom