Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Activists Urge Tanzania To Clean Gold Trade, Exclude Conflict Link DOW JONES NEWSWIRES Rights activists said Wednesday that Tanzanian, Africa's fourth largest gold producer, must impose...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, KWA WANANCHI, 28 FEBRUARI, 2011 Ndugu Wananchi, Kama ilivyo ada naomba kuanza kwa kumshukuru Mwenyezi...
0 Reactions
526 Replies
46K Views
Jana usiku kulikuwa na kipindi TBC1 KIPINDI MAALUM.KUIJADILI HOTUBA YA KIKWETE Nilipokisikiliza sikuona mjadala juu ya Hotuba badala yake WAZIRI WASIRA alikitumia kipindi chote kuisema vibaya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
Na Agnes Mwaijega UMOJA wa Wainjilisti wa Kikristo Tanzania (UWAKITA) umesema kutokana na vurugu ambazo waislamu wamekuwa wakiwafanyia katika mikutano yao watahakikisha wanajibu kila tamko ambalo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tanzania's main opposition party Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Democracy and Development Party - DDP) is carrying out what it termed as the "demonstrations and rallies against corruption in...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Wakati huo huo, Chama cha Uzalishaji na Maendeleo Tanzania (TAMADA) kimesema kutokana na serikali kuwadharau wafanyabiashara wadogo wadogo wako tayari kufanya maandamano nchi nzima kuishinikiza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NAHISI KAMA KUCHANGANYIKIWA KUNA THREAD NYINGINE HUMU INAONYESHA KAFULILA KAIPONDA CHADEMA NA HII JE? MBUNGE wa Kigoma Kusini David Kafulila (NCCR-Mageuzi) amemshangaa Rais Jakaya Kikwete...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kumekuwa na mijadala mingi juu ya katiba mpya tanzania pamoja na zanzibar,lakini mimi nitakosoa kidogo,kukiangalia hapa lazima kutakuwa na matatizo ya muungano,kwanini tanganyika wajadili katiba...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninawashauri ccm na wale wanazi wa ccm kuacha kupiga kelele na badala yake na wao waandamane kushawishi wananchi na kuhamasisha katika hoja zao ambazo wao wanaziona kuwa zinafaa kama cdm...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amesema hasara ambazo taifa limepata kutokana na mikataba mibovu ni matokeo ya kasoro zilizopo katika mfumo wa utoaji wa elimu nchini.Sitta...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Akizungumza na waandishi wa habari jana katika eneo la tukio, maarufu kama ‘Big Brother’, Mwenyekiti wa Soko la Urafiki Mitumba, Idd Toatoa, alisema kuwa bomoa bomoa hiyo ilifanyika juzi majira...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa umoja wa wanawake ((UWT) bi Sophia Simba ameweka hadharani upungufu wa chama cha mapinduzi(CCM) na kukisifia chama cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa mfumo walionao wa kisasa...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
wanahojiwa na polisi kwa kuendesha mkutano jana. Cha ajabu jeshi la polisi lilikuwepo wakati wa mkutano kutoa ulinzi. Radio one UPDATE: baada ya kuhojiwa kwa muda na polisi Kahama, Dr Slaa na...
0 Reactions
113 Replies
12K Views
Nadhani tubadilike kidogo na kutomtupia Rais wetu lawama kwa kila jambo. Nchi inaundwa na wizara na taasisi lukuki zenye watu wenye majukumu mbalimbali ya kumsaidia Rais, directly or inderectly...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Ngawaiya, Kaborou, Lamwai, Hizza. Hawa jamaa enzi zile ndio walikuwa vichwa vya upinzani, nahisi wangekuwa bado upinzani tungekuwa mbali sana......sijui nini kiliwabadili mitazamo!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
tunataka kusikia viongozi wetu wanasema nini na wananchi wenzetu huku wanakopita kuwaelimisha basi andaeni documentaries halafu mtuuzie sisi tuatanunua kwa mfano hii ya arusha hadi leo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa yeyote anajua kuangalia siasa na kupima mienendo ya CHADEMA katika siasa ya sasa anaweza gundua mambo mawili 1. Chadema inajenga umaarufu wa kupata watu wengi kwa mtaji wa 2015 2.Chadema...
0 Reactions
56 Replies
4K Views
Amewapa raia uhuru wa kuzungumza. Hii ni tofauti kabisa na Gaddafi wa Libya ambaye hataki kusikia raia au paparazi anasema au kuandika chochote bila 'ruhusa' ya vibaraka wa Gaddafi. Raia wa Libya...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Ndugu wanajamii kwanza tupeane pole kwa tatizo la upungufu wa chakula linalolikabiri taifa letu. Nijambo la kushukuru Mungu kwa kuwa hata JK analitambua na kalipa uzito wa kuliweka kwenye hotuba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
JK Huyooooooo
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom