Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mimi nawashangaa sana wamarekani kila kitu wao wanakiweza na wanakijua lakini hawa sio watu wazuri na kamwe hawa hawawezi kupenda Afrika iwe na hali nzuri. sasa hivi hawa wanafiki na majizi ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeshuhudia mwenyewe kwa macho yangu, mji wa kahama ulisimama huwezi amini
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Kwa mtu mwenye maono ya mbali na busara aliyefuatilia kwa makini uongozi wa JK tangu mwaka 2005 hata kama mtu huyo ni mkereketwa wa kutupwa wa CCM kama mzee Msekwa,Kingunge nk. atakuwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Inasikitisha kuona mkuu wa nchi anaanza kuhangaika na Katibu mkuu wa chama cha siasa CDM ambaye yuko katika kutekeleza majukumu alipangiwa na boss wake(chama chake) Huyu ni mtendaji wa kila siku...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Nimeshangazwa na kauli ya Waziri mkuu Mizengo Pinda kuwa "pamoja na matatizo ya umeme nchini lakini uchumi wa Tanzania haujatetereka hata kidogo...na ndio maana hata viongozi hawatetemeki kuelezea...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Nashindwa kuelewa kwamba ni uzembe au ulevi wa madaraka au ndio uwezo wake wachambua mabo ulipofikia. Pinda anawezaje kuwambia watu haohao, siku hiyo hiyo, wakati huohuo na sehemu hiyo hiyo, kauli...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani muheshimiwa kasema si lazima serikali inunue mitambo ya DOWANS hata mtu binafsi anaweza kufanya hivyo na kukodisha! jamani hii sio janja kweliiii?
0 Reactions
1 Replies
892 Views
Kukosekana kwa umeme kwa muda wa siku kadhaa hilo ni janga la kitaifa. 1. Huduma nyingi za muhimu zinakuwa zimesimama k,m, theater hata kama kuna mgonjwa mahututi atakufa mnaangalia kwa kukosa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
IPC Acquisition of Dowans Power Plant in Tanzania IPC today announces that its Cyprus based affiliate, IPC Independent Power Corporation (Cyprus) Limited has entered into an agreement to acquire...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu wanaJF nimeiona ile post kwamba mr Sugu atapokea maandamano ya mbeya ya wana tucta...this is a nyce movie! kuanzia sasa napendekeza kuwa katika shughuli zetu zote za kitaifa na za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WAFANYAKAZI wa sekta za taasisi na mashirika mbalimbali ya umma na binafsi mkoani hapa wamemkataa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, John Mwakipesile, kupokea maandamano yao ya amani ya kupinga ongezeko la...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Nimesikia kwamba mtoto wa kiranja mkuu a.k.a "mtoto wa mkulima" anasoma shule ya 17,000,000/= kwa mwaka (St Consta iliyopo Arusha), wakati akaunti yake alisema ina 20,000,000/= Naomba...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Ni wakati muafaka sasa kwa wanachama,wapenzi na viongozi wa CCM kutambuaa hatari ya kuwa na Mkiti/mwanachama wa aina ya Kikwete ndani ya chama chao. Hali ya kisiasa nchini inaonyeshaa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwa kuwa rais wetu ni mtu wa kusafiri safiri sana, nilikuwa na wazo la kujengwa uwanja wa ndege mdogo,ambao ungetusaidai hata na sisi watumiaji wa barabara kuepukana na msongamano mkubwa wa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Rais Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kutoa mada juu ya umuhimu wa shughuli za uziduaji na uwazi katika mapato ya madini katika mkutano wa Kimataifa wa Tasnia ya Uziduaji, (Global Extractive...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wale wakazi wa A-town na wapenzi wa kujua ukweli wa maandamano ya Arusha tarehe 5- Januari wanitafute. Hii ni kwa manufaa yao na ya kizazi kijacho kuthibitusha kuwa enzi ya uchakachuaji haina...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Source: Raia Mwema page 3. "taarifa zaidi zinaeleza kuwa vikao kadhaa rasmi vya chama hicho, vikiwamo vilivyohusisha baadhi ya makatibu makini wa mikoa na wilaya vimebainisha kuwa uongozi wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamvi?binafsi natatizwa sana na tafsiri nzima ya neno Mwanaharakati kwahiyo nilikuwa naomba msaada wenu 1.Nini maana ya mwanaharakati? 2.Ni sifa/elimu gani anatakiwa awe nazo...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
WanaJF. CHADEMA inaendelea na Maandamano Kanda ya Ziwa na leo tuko Mkoa wa Shinyanga.Maandamano ndio yameanza na watu ni wengi mno.Barabara zimefunga msafara unaenda kwa taabu sana.Karibu...
0 Reactions
131 Replies
19K Views
Back
Top Bottom