Wanafunzi wa shule ya msingi Jomu wakiwa katika maandamamo ya Chama cha Demokaria na Maendeleo yaliofanyika mjini Shinyanga jana huku wakiwa wameshikana na kuonesha alama ya VIDOLE VIWILI.
Wana...
Wana JF,
Kuna habari zinaendelea kunong'onwa chini kwa chini kwamba Edward Lowassa, Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa lazima hivi sasa anatoa support kwa pande kuu mbili zinazopingana kisiasa CCM-...
Mimi nimeshangazwa na Wenyeviti wa baadhi ya Kamati za bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hasa hawa waliochaguliwa majuzi kuongoza kamati za nishati, miundombinu na kamati ya mambo...
Mara hii tuanze na hesabu.M-i=U.
Maana yake ni maandamano kutoa intelijensia ni sawa na utulivu.Ukijibu namna hii umepata. Ukijibu tofauti, umekosea. Usiende kubukua vitabu vingi. Nenda kwa...
Serikali inaanzisha mradi wa mabasi yaendayo kasi kuja katikati ya jiji ili kupunguza msongamano na foleni katikati ya jiji.
Barabara ndo hivyo Mh. John P. Magufuli anaendelea nayo ili kufanikisha...
"Our challenge is not poor policies and intentions. The major challenge is the low level of economic development which has reduced our ability to quickly deal with problems facing us" JK...
Katika uchaguzi ujao, CCM watashindwa Vibaya na watakuwa hawana watu wengi wa kuwasapoti, Utabiri wangu binafsi umeonyesha kwamba.
Mwaka 2015 wazee wengi wanaoisapoti CCM huenda either...
Tuesday, 01 March 2011 21:19
Katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF Seif Sharif Hamad
Joyce Mmasi
HAKUNA shaka kwamba Watanzania ni watu wenye uwezo wa kuona na kutambua mbivu na mbichi. Uzuri ni...
Manji amefungua kesi dhidi ya Kagoda akiidai sh 18.7.
Manji aliyedai kuidhamini kampuni tata ya Kagoda kurejesha serikalini bil 40 iliyoibiwa kutoka akaunti ya EPA, sasa anaishitaki Kagoda kwa...
SHARING IS CARING......
by Alan Morrison
from DiakrisisInternational Website
I have often spoken about the fact that the United Nations is an organization which has been widely...
German Defence Minister Karl-Theodor zu Guttenberg has stepped down after he was found to have copied large parts of his university doctorate.
Mr Guttenberg, considered until recently a possible...
Katika siku za hivi karibuni, wabunge kwa tiketi ya CCM walikutana chini ya wenyekiti wa JK, katika kile walichoita semina elekezi, ili kuweka mkakati wa kuzima jitihada za CDM za kuhimiza...
Pongezi ziwaendee wale wote ambao hawakujitokeza kupiga kura katika uchaguzi mkuu uliopita.
Katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi wa february mh rais kikwete ameeleza vizuri sana kwamba marais...
There is contradicting reports regarding the Healt of Shinyanga RC, i have spoken to a close friend of Balele, he claimed that Mr Balele is still alive
1. ''JK-KIKWETE''
2. ''UDINI''
3. ''....TAARIFA ZA KI-INTELIGENSIA''
Haya maneno yakitatajwa haswa na viongozi wa juu wa serikali najisikia vibaya..siku moja nusu nitapike....
Mnaweza ongezea...
Ccm kama chama wanayo sera nzuri tu ambayo ni kuondoa UMASKINI UJINGA MARADHI.
Badala ya kutekeleza sera hizo kwa vitendo wamekuwa WALIMILA DOLE(anaye lima kwa kidole kwamba leo nitalima pale...
Zaidi ya polisi mia leo walimshikilia kwa muda rais wetu wa moyoni Dr Slaa katika kituo cha polisi kahama.Polisi wanadai eti Rais wetu slaa alifanya mkutano bila kibali,baada ya kutoa maelezo...
Wana jf hapa bukoba barabara zimejaa watu hata magari hayana pa kupita kisa .... Rais wetu slaa na jeshi lake . Watu wamemsubiri uwezi hamini wengi wao. Mwenye simu no. Za pombe ampigie aje apanue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.