Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kuna taarifa za uhakika kwa 100% kuwa serikali imeshindwa kukidhi kulipa madai ya malimbikizo ya mishahara ya wafanyakazi katika hospitali ya taifa ya Muhimbili.Malimbikizo hayo yametokana na...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya bunge lililopita na kukutana na kauli sa spika akitaka mawaziri wajibu maswali kwa kifupi sana na hata kuzuia maswali ya nyongeza kwa kisingizio cha muda hautoshi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ukisoma gazeti la Tazama utacheka. Gazeti zima linaitetea Dowas na Lowassa. Mtanzania na mengine ya Rostam yanaitetea Dowans na Lowassa pia. Hii inaondoa mashaka kuwa Lowassa na Rostam ndio wenye...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Jk wakati Nec imekutangaza rais,ulitwambia kuwa chadema na wapinzani ni vyama vya msimu. Uliwaagiza baada ya kampeni na baada ya kura wawe na utamaduni wa kutembelea taifa zima,ulienda mbali...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kitendo cha Kikwete kuishambulia Chadema kinaonesha ni kwa jinsi gani rais alivyozidiwa kisera/ujanja na Chadema, hivyo kubakia kujihami (defensive mechanism) kwa kile ambacho kinaweza kumtokea...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Chadema’s Defence By Frederick Katulanda, The Citizen Reporter, Dar es Slaam, Tanzania, Tuesday, 01 March 2011 Kahama - The Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) came out fighting...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kijana wangu kikwete unanipiga mabomu? Nina kadi ya TANU ,tulidai uhuru kwa mkoloni hatukupigwa mabomu! Moto huu wa Chadema huuwezi!! This Sad Words must pay the price
0 Reactions
95 Replies
9K Views
Ametabiri Leo kwamba kutakuwa na machafuko makubwa tz, siri za serikali zitavuja, uchumi utasambaratika, utawala utasambaratika! Source: clouds FM saa 12 jioni leo
0 Reactions
79 Replies
7K Views
TOKEA MBUNGE WETU MHE JOHN MNYIKA AANZE KUTUTETEA WANANCHI WAKE WANAONYANYASWA NA MAMALAKA ZA BARABARA, WATUMIAJI WENGI WA BARABARA HIYO YA KLA SIKU WAMEKUWA NA MAONI TOFAUTI KUHUSU UAMUZI WAKE...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri Mkuu Jana alitangaza kuwa Mitambo ya Dowans itawashwa. Baraza la Mawaziri limetoa baraka zote kwa Tanesco kuingia mikataba mingine ya gharama kubwa ya kuzalisha umeme. Sitta na Mwakyembe...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Habari zenu Watanzania wenzangu, (munaopenda maendeleo ya nchi na musiopenda pia) Leo ninacho cha kushare na nyinyi kuhusu mwenendo mzima wa nchi yetu ya Amani na upendo, nimeamua kushare hivi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mchezo wa chemsha bongo: Nani anafuatia? Kutokana na mkondo wa historia tunaweza kuona kwamba mabadiliko makubwa ya kijamii na kisiasa kwa kawaida huambukiza nchi moja baada ya nyingine (domino...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Chanzo Mwanahalisi Nyerere, katika moja ya hotuba zake alisema, ikulu ni mahali patakatifu. Alitumia neno ‘takatifu’ si kwa bahati mbaya. Kamusi inazungumzia neno hilo kama kitu kisichokuwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Katika kutalii kwangu, nimepata kuitembelea nchi moja iitwayo kusadikika. Katika hiyo nchi, wananchi wanamlaani rais wao. Wanamuombea laana ya milele rais huyu wa ajabu anayetawala nchi kama yuko...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Muda si mrefu Mwenyekiti wa CDM kamaliza kuhutubia wananchi wa Masumbwe akitokea kahama, na tayari kaondoka kuelekea Bukombe 80km ambako pia watu wanmsubiri kwa kwa hamu kubwa, Masumbe kafungua...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mpaka sasa sijaona kosa la kikwete alilolifanya toka ashike hatamu ya uongozi wa Tanzania, kuna kasumba tu zimeanzishwa na wafuasi wa chama cha chadema na viongozi wao ili wapate kumchafua JK na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF tujikumbushe kidogo. IPC Acquisition of Dowans Power Plant in Tanzania IPC today announces that its Cyprus based affiliate, IPC Independent Power Corporation (Cyprus) Limited has...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ni punguani tu ndiye anayeweza kupoteza muda kulinganisha kiongozi aliyekuwa na maono na kiongozi aliyekiri waziwazi kuwa hafahamu kwa nini nchi yake ni maskini. Watakaokwazwa na thread hii...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimeshangazwa sana na Mh. Rais na waliomwandalia hotuba yake, ukiacha upupu mwingine mwingi, jinsi walivyoikweza sukari hata kuifanya kama topic inayojitegemea kwenye hotuba yake. Hivi sukari na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
DOW JONES NEWSWIRES, Tuesday, 1 March 2011 The Tanzanian president said late Monday that the country's opposition is organizing protests across the country in a bid to topple the government by...
0 Reactions
0 Replies
802 Views
Back
Top Bottom