Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Majuzi tu alipokua akikanusha tuhuma za kwenda marekani kuweka sawa dili ya dowans,RA alisema yeye ni mzalendo na kwamba hivi karibuni alikuwa nchi kadhaa za uarabuni kushawishi wawekezaji...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Inawezekana isha wekwa jamvi. ila si vibaya kujikumbusha
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Dhuruma ya CCM waliyoifanya Arusha, wanatofaiti gani yale ya Comoro and Ivory Coast? CDM wataomba majeshi wapi kumg`oa dmeya huyu?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF naomba kuuliza kama kuna chuo cha uadilifu duniani tuwapeleke hawa viongozi wetu nao wakapate hiyo dozi ili wabadilike kwani wao wanajifanya wanhubiri utawala bora lakini watamkayo siyo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
NI NANI WA KUKEMEA HAYA AKASIKIKA AU KUOGOPWA? Ndugu wana JF naomba kuuliza hapa tulipofikia ni nani wa kukemea haya maovu yanayojitokeza watu wakamwelewa na kuogopa kauli yake '' nani mwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
cdm imempeleka mbunge wa viti maalum anna maulida komu kwenye halmashauri ya jiji la arusha Mama huyo mkongwe na mkomavu kisiasa aliripoti ijumaa kwa mkurugenzi wa halmashauri hiyo. Soc...
0 Reactions
156 Replies
14K Views
Ndugu wana JF, mada hii ya mauaji ya Arusha imejadiliwa sana hapa jamvini na tumepata kujua mengi ambayo tusingeyajua kwani serikali na baadhi ya vyombo vya habari havikujaweka hadharani. Ila...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
BABU HATA NUSU MAKA AJAMALIZA ASHAANZA KUTATAKA HIVI MWAKA SIJUI ITAKUWAJE JISHEHENESHE SHENI,YETU MACHO WAKO NTOTO WA PWANO
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Korti yaamuru Mzungu kucharazwa viboko kumi Send to a friend Wednesday, 19 January 2011 21:52 0diggsdigg Phinias Bashaya, Bukoba MAHAKAMA ya Wilaya ya Bukoba, imemhukumu Robert Maintland (42)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Dear Ben Ali, Tunisians don't see the Great Leader in you anymore By JENERALI ULIMWENGU Posted Monday, January 17 2011 at 00:00 The genome of oppressive regimes the world over and down the ages...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Wadau wana JF, Habari za majukumu. Naomba mwenye list nzima na anwani ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano kwa 2011 anisaidie. Nina shida nazo sana. Asante
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Mwandishi Wetu KAMATI Kuu (CC) ya CCM leo inakutana jijini Dar es Salaam, huku chama hicho tawala kikikabiliwa na mtihani wa kutanzua baadhi ya...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
20 na 15 wadanganyika waliobaki kwenye uchaguzi wa mwaka 20 na 10 watapenda mabadiliko pia! PEOPLE POWER, leo tunafanya harambee kujenga uzio wa UDSM na mabweni hivi vyuo vingi duniani vina uzio...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimefatilia mapokezi ya rais wa china pale white house,wakati shughuli ikiendelea mtaani watu wanaandamana kupinga ziara hiyo kutokana rekodi mbovu ya china ya haki za binadamu,hata spika wa...
0 Reactions
0 Replies
889 Views
Ndugu zanguni wanaJF naona kuna mjadala mkubwa umeibuka tangu yalivyotekea mauwaji ya Arusha, binafsi sijapendezewa mtu kufa kwenye kadhia ile na kila mmoja anawajibu katika kifo kile kuanzia...
0 Reactions
46 Replies
16K Views
WanaJF, Kuna mdau mmoja amenihabarisha kwamba hali ya kifedha serikalini hususani kwenye mawizara na idara ni mbaya kupita kiasi. Inasemekana tangu bajeti ya mwaka huu wa fedha ilipopita mwezi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari za kuaminika sasa hivi wabunge wote wa CCM wameitwa Dodoma kuandaa na kuweka mkakati wa pamoja juu ya Dowans. Nia ni kuzibwa midomo na imetamkwa kwamba DOWANS ina masilahi gani na kila...
0 Reactions
79 Replies
7K Views
Siyo kama ilivyo sasa............... yaani mimi nisizungumze kitu. ninyamaze: "nikuangalie wewe(Rais), nimuangalie mkeo, nimuangalie mtoto wako.......... " Source: BBC Dunia Yetu Leo Jioni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wananchi tumefika sio pazuri kama taifa mshikamano haupo tena hivyo basi napendekeza yafuatayo; Ziundwe kambi maalum za kufufua uzalendo na mshikamano kitaifa Viongozi wote waandamizi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu, Mzee Sitta amejibu mapigo ya waziri wa utawala bora Mathias Chikawe kwa kueleza bayana kwamba kamwe hatanyamaza kupiga kelele kuipinga DOWANS. Chanzo cha habari: Gazeti la Nipashe Tarehe...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom