Matukio ya hivi karibuni nchini hayapaswi kufumbiwa macho ili kulinda mustakabali wa nchi yetu..
.Tumeshuhudia rushwa ikitawala mchakato mzima wa uchaguzi mkuu
.Tumeshuhudia malalamiko ya wizi...
SAKATA LA DOWANS: Sitta afungwa mdomo
Baraza la Mawaziri chini ya JK lamshambulia yeye na Mwakyembe
na Mwandishi wetu
RAIS Jakaya Kikwete amemfunga mdomo Waziri wa Ushirikiano wa Afrika...
Mungu mtakatifu, mwenye mamlaka yote, uliyeumba vitu vyote,vinavyoonekana na visivyooneka,.. Tazama Tanzania yako uliyoibariki,tangu siku za mwanzo za uhuru wake,kwa kuipa kiongozi aliyekuheshimu...
Kutokana na mwenendo wa gazeti hili kuna kila dalili za gazeti hili la kiislam kufutwa au kufungiwa kwani limeonyesha dhahiri bila ya uficho kuwa na mwelekeo wa kichochezi , mwelekeo wenye kuamsha...
Aisee binafsi kwa muda mrefu nimekuwa nikizipenda cartoon za masoud wa Kipanya na pia nilimpenda sana wakati akiwa clouds fm kama mpiganaji. Wanajamvi mnamuonaje kupitia cartoon huyu jamaa si...
Chama Cha Mapinduzi, kwa sababu ya uzito wa historia yake, hadhi ya jina lake, mfumo wa wavu wake, mazoea ya watu, na ubovu wa vyama vya upinzani, kinaweza kuendelea kuchaguliwa na Watanzania...
UVCCM-Mara waitaka serikali itangaze kuwa DOWANS ni kampuni hewa, wahamashishana kama vijana waamke na kuwashauri viongozi wa CCM waibane serikali iwajali wananchi wake na wasitangaze takwimu za...
Mwandishi Wetu
SERIKALI ya Tanzania inalifanyia uchunguzi shirika la utangazaji la Uingereza (BBC), ikilishuku shirika hilo la Serikali ya Uingereza kwamba linafanya shughuli za uchochezi...
Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoani Mara umetaka serikali kutamka kwamba Dowans ni kampuni hewa na kwamba isilipwe hela yoyote. Uamuzi huo umefikiwa baada ya mkutano wa baraza...
Lengo ni kuwanyamazisha viongozi wengine wa upinzani
NJAMA nzito zinasukwa ndani ya Jeshi la Polisi, Chama cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake ili kuhakikisha Dk. Willibrod Slaa anafunguliwa...
Tanzania sasa mambo yanakwenda kombo viongozi wanahaha kunusuru na wengine nahisi wanajuta kwanini walichaguliwa kuwa viongozi.Kuna masuala mengi yanayowaumiza vichwa mara DOWANS,madai ya Katiba...
Najua vurugu za Arusha au Mauaji ya Arusha yamejadiliwa sana. Pande mbili zimejitokeza.
1. Kama polisi wangeruhusu maandamano na kutoa ulinzi vurugu zisingetokea. Demokrasia ingekuwa...
Ndugu zangu habari zenu.
Naomba kuwauliza wana JF; Hivi watanzania tunajua tuendako? Au kunahitajika mjadala wa kitaifa kujadili Mustakabali wa nchi yetu?
mimi naona kuna upendeleo malipo ya dowans. kuna watu wengi wamepata hukumu ambapo serikali imeamrishwa kulipa na pia serikali ilipe riba. mfano mzuri ni valambia ambapo serikali iliamriwa ilipe...
Wana JF nafahamu kuwa kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania polisi hawawezi kuzuia maandamano ya amani na kuwa jukumu lao ni kulinda usalama wa raia na mali zao. Na pia kuna kesi...
Mjadala wa Dowans umezidi kuendelea. Wazungumzaji wamekuwa wengi. Kila mtu anatoa mawazo yake. Kila mtu anatoa msimamo wake. Mtanzania wa kawaida haelewi nini cha kufanya. Mjadala wa wasomi...
Dk Slaa: Vurugu za Arusha zimenifungua macho Send to a friend
KATIBU Mkuu wa chadema, Dk Willibrod Slaa, amesema tukio la vurugu walizofanyiwa na jeshi la polisi mjini Arusha, sasa zimemfungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.