Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Habari za kuaminika muda mchache uliopita aliyekuwa Naibu Meya Arusha AMEJIUZULU. More News to follow na tunasubiri "tetesi" Meya mwenyewe atoe kauli ingawaje yeye ni mbuzi wa kafara labda...
0 Reactions
125 Replies
12K Views
Nimekuwa nikiwasikiliza viongozi wa dini kuhusu maana ya Jubilee na hata kwa utafiti wangu mwenyewe nimegundua yafuatayo. The Fiftieth Year is the Jubilee Year Leviticus 25 describes the...
0 Reactions
2 Replies
10K Views
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya mwanakikao. Zinasema uongozi wa TANESCO wako leo wamekaa kikao wanaandaa waraka wa kuwalipa DOWANS. Ni Mungu tu aingilie kati hali ya nchi hii. Saa chache...
0 Reactions
74 Replies
7K Views
Popote pale duniani sababu kuu ya kuwepo kwa chombo kinachoitwa SERIKALI katika jamii fulani ni kuhakikisha wakati wote kwamba wanawalinda raia wote salama na mali zao kwa usawa. Sasa pale ambapo...
0 Reactions
60 Replies
7K Views
Tunasikia tu raia kuuawa, kudhalilishwa na kujeruhiwa na polisi huko Arusha, lakini hakuna taarifa kama kuna polisi waliojeruhiwa au la. Hata Mkuu wa polisi nchini hazungumzii jambo hilo ingawa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tatizo haoni, hata ujumbe afungue masikio haumfikii!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, Ni ushauri wangu tu kwa hawa jamaa wawili ambao walijitoa kimasomaso kuzungumza hadharani mbele ya vyombo vya habari kupinga kampuni ya dowans kulipwa mabilioni ya fedha zinazotokana na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
• Baraza la Mawaziri chini ya JK lamshambulia yeye na Mwakyembe na Mwandishi wetu RAIS Jakaya Kikwete amemfunga mdomo Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel Sitta aliyeingia...
0 Reactions
64 Replies
6K Views
BBC walikuwa wanajadili kuhusu mafunzo ya Ghasia zaTunisia kwa nchi nyingine. Watawala wa Kiarabu wamesema kuwa Roho za waarabu wamechoshwa na umasikini. BBC wamesema raisi akipewa nchi sio...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hakuna katika wakati mwingine wowote katika historia ya nchi yetu ambapo chombo cha habari kama vile redio Imaan kimeachiwa kufanya uchochezi wa Ki-jinga wa vita vya kidini. Ni katika utawala wa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Polis walichakachua mkanda wa mauaji na kuficha ukweli wa kilichotokea Arusha kwani ukiangalia picha ktk gazeti la Mwanahalisi ya leo Jtano haf ulinganishe na mkanda waliotoa polis,ka kweli ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salaam ndg wana Jf.. Mimi huwa nafikiria mara nyingi sana juu ya hali ya nchi yangu Tanganyika. Rasilimali tele,Watu wema,wacha-Mungu nk. Kweli nishia kusikitika. Kwa upande mwingine masikitiko...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimeshangaa taaluma ya uandishi kwa wanahabari wa magazeti ya serikali. Kichwa hapo juu alichoandika katika moja ya maoni yake siku chache zilizopita niliduwaa sana. Mimi mwenyewe niliposoma...
0 Reactions
172 Replies
12K Views
Habari zilizotolewa na gazeti la Tanzania Daima kuwa kikao cha baraza la mawaziri kilichofanyika jana kiligubikwa na mjadala juu ya malipo ya Dowans zimekanushwa na Bw Luhanjo na kusema kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Philemon Luhanji amekanusha habari zilizoandikwa ktk T. Daima leo kwamba Sitta na Mwakyembe wamezibwa midomo kuhusu suala la Dowans. Katika taarifa yake Luhanji kasema...
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Alichoandikiwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha: Mheshimiwa Mkurugenzi, baada ya Mkutano wa Kwanza kuahirishwa tarehe 17/12/2010 bila kutoa taarifa kwa mujibu wa sheria uliitisha mkutano wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Sorry for this post if will be confusing, toka nianze kufuatilia politics za bongo al the tyme nimekuwa confused all tyme coz wat have realized is that all we ant gov we end up on blaming and...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Yaliyojiri Zanzibar leo (Channel Ten 7pm news bulletin): Mgambo wakiandamana na polisi wamevamia eneo maarufu la biashara la Darajani Zanzibar kutaka kuwahamisha kwa nguvu wafanyabiashara wadogo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nilikuwa naangalia kipindi maalumu(kimeandaliwa na wizara ya habari) kilichokuwa kinarushwa katika televisheni,kilichokuwa kinaelezea tukio zima la maandamano ya wafauasi wa CHADEMA wakipambana na...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Katika kipindi cha miaka mitano ,tumeshuhudia nchi iksambaratika kwa kukosa dira na uongozi kwa hali ya juu.Mifano ni mingi na itaendelea kuja .Tumeona serikali ikikosa kabsa utashi wa kuwatumikia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom