Dk. Slaa afanyiwa njama kufungwa
Lengo ni kuwanyamazisha viongozi wengine wa upinzani
na Edward Kinabo
NJAMA nzito zinasukwa ndani ya Jeshi la Polisi, Chama cha Mapinduzi (CCM) na...
Habari nilizozisikia hivi punde kutoka hazina zinasema:-
mshahara wa mwezi ujao huenda usitoke kabisa kwa kuwa serikali haina hela.
Hii ni aibu kubwa kabisa kwa mtanashati na handsome boy kama...
Dah, wana JF wenzangu; kwa kweli hii hali ya maisha ya Mtized wa kawaida inazidi kuwa ngumu kama vile hatukupendelewa na Mwenyezi Mungu nchi yenye neema ya mali asilia na utulivu uliokuwepo toka...
Among the more costly gifts given to Mr Obama were:
From Tanzanian President Jakaya Kikwete, a three-foot tall carved ebony sculpture, $6,000
List of 2009 Obama gifts revealed by state...
Kutokana na jinsi nchi inavyokwenda inaonesha watawala hawana akili,na wameweza kuwafanya watz pia kuwa hawana akili,wajione wasio na akili wala utamaduni,hata values mbele ya uso wa dunia.
Swal...
Rais wa China yuko Marekani kwa ziara rasmi na jioni hii rais Obama atamwandalia dhifa ya kitaifa, hii itakuwa ni mara yake ya tatu tangu aingie madarakani kufanya hivyo. Viongozi wengine wote...
List of 2009 Obama gifts revealed by state department
President Barack Obama, Italian Prime Minister Silvio Berlusconi and Russian President Dmitry Medvedev Many of the gifts were given at...
Jamani, nchni inaenda wapi? Petrol Bei bado ipo juu zaidi, Umeme bei juu na haupo, Kodi zote zimepanda ya Duka ndio husiseme, Kodi ya nyumba inazidi Mishahara, mchele na nyama bei yake ni zaidi...
Taarifa za "kiintelijensia" zilizonifikia punde zinadai kuwa RA hakufurahishwa kabisa na kitendo cha Radio ya Mzee Mengi kum-attribute baba wa Ismail na kuripoti ukweli.
Pamoja na kwamba taarifa...
Petrol bado bei juu, umeme hali kadhalika, kodi ya nyumba balaa, mchele na nyama ndo usiseme, starehe nazo bei juu yaani bia, wine, soda na juice bei juu. eti kilimo kwanza wakati malori marufuku...
Ndugu wana JF, Salaam. Leo mchana nikiwa pale Benjamin Mkapa tower,(mafuta house) zilipo ofc za TPDC zilifika taarifa kuwa kuna computer iliyokuwa ikitumia kama data base yenye info zote za...
Umoja wa vijana wa ccm mkoa wa mara umekitaka chama hicho kuitangaza kampuni ya dowans kua ni kampuni hewa kwa sababu kitendo cha ccm kukaa kimya kunazidi kukiweka chama hicho mahali pabaya na...
Kuna wakati tulikwisha sema ya CCM na mafisadi wake lazima watatumia mbinu za kivita kuishambulia CDM na wanachama wake ilimradi kujiami, kama nilivyo bashiri awali kwamba uenda wakatumia Weapons...
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitafakari jambo wakati alipotembelea moja ya chumba cha wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma kujionea matatizo yanayowakabili wanafunzi wa chuo hicho.
katika hali isiyo ya kawaida mh mkubwa kutembelea marekani na katika pita pita akaona ghorofa moja halina umeme mala akasema na huku kwenu kuna mgao akajibiwa kua ni ofisi za ubalozi wa tanzania...
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinaandaa mikanda ya video itakayoonyesha matukio yote yaliyotokea wakati wa vurugu zilizozaa maafa wakati wa maandamano ya wanachama wa chama hicho...
Ndg. wana JF,
This email was sent to me yesterday. I have realised it would be worth to share this with you Great Thinkers. (Ukichukulia maanani nimesoma post moja kuwa Tanesco wamekaa kikao cha...
*Wasema Hoja zake zimezingatia sheria si porojo za siasa
*Wakerwa na wasomi wanafunzi kubeza maoni yake
Na Mwandishi Wetu
SIKU moja baada ya waliojiita wanafunzi wa kitivo cha Sheria Chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.