Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
In a news conference at London's Frontline club, Swiss banker Rudolf Elmer gives what he says are details tax evasion by the rich and famous to WikiLeaks founder Julian Assange, before flying home...
0 Reactions
0 Replies
888 Views
Wadau, Katika vyombo vya habari leo kuna habari kubwa mbili, uzinduzi wa shule iliyojengwa kwa msaada wa serikali ya China na nyingine ni ile inayohusu mgodi wa makaa ya mawe Mchuchuma. Naona...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jana TBC walionyesha uzinduzi wa shule mpya ya Msoga, kwakweli ni shule nzuri yenye majengo bora sana. Na JK ndio alienda kukabidhiwa shule hiyo, shule hiyo imejengwa kwa msaada wa serikali ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mtazamo wangu tena finyu hiki ndio kipindi ambacho uongozi wa nchi umefeli kabisa. The president kama kichwa cha nchi can't hold things together! Nabaki najiuliza "what is the president...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nafasi za kazi Nurses – 8 posts at Kagera Sugar Hospital (Closing date 03rd Feb 2011) Registered Nurses – Nafasi 4 Enrolled Nurses – Nafasi 4 Mahali – Kagera Sugar Hospital Mshahara mzuri, Nyumba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifuatilia kwa umakini siasa za Makamba nikagundua Anapwaya kwenye madaraka yake!!Sasa najiuliza kwanini anakuwa anatapatapa??Kabla ya kumaliza jambo yeye tayari amaisha shika hili??Je...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamani ati naskia huko jimboni kwake Mramba anazomewa kwa madai hakushinda kihalali mwenye data atueleze hapa na kama kuna uwezekano tupatiwe video ya hamaki ya wanavijiji huko
0 Reactions
45 Replies
7K Views
kuna kajamaa kaligombea udiwani iringa mjin hapa kaibuka na uhma et mbunge wa iringa mjini REV peter Msigwa amechangia kushindwa kwa madiwan hapa iringa hivyo kampa siku 7 ajiudhuru yeye kama nani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna habari mawakili wa Serikari na Tanesco walilipwa kabla ya kwenda kwenye kesi si chini ya Milion 800. Pia kuna makubaliano yaliwekwa kabla ya kesi kuanza kusikilizwa na walikubaliana hakuna...
0 Reactions
100 Replies
9K Views
Kwa hili najua wengi mtauliza source. ANGALIA WARAKA WA MSAJILI WA HAZINA KUHUSU MISHAHARA. Kuna ubaguzi wa makusudi unaofanywa na serikali kwa kutoa mishahara tofauti kati ya wahadhiri wenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nilihuzunika sana Mzee kama Ndesamburo kutoa malalamiko kama yale mbele ya kadamnasi. Si kawaida kwa mtu mwenye uzee kama wa Ndesamburo kulalamika vile. Alifikia hatua ambayo si ya kawaida...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wana-JF: Hii habari bila shaka itawafanya baadhi ya Watanzania kupata tumbo la kuendesha. Tungoje wiki mbili na tuone majina gani ya viongozi wa dunia wamo katika CD hizo mbili. PHOTO: AP...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
ndugu katika jf, nadhani linafahamika kuwa majimbo mengi ambayo wabungewake ni mawaziri, yanamaendeleo zaidi kuliko yale ambayo siyo. na ikitokea nafasi tuijuayo kashika mtu wa kweno hapo ndo...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Tamko la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Juu ya Mauaji ya Wananchi wakati wa Maandamano ya Amani yaliyofanyika Arusha tarehe 5 Jan, 2011 UTANGULIZI Tumekutana hapa leo hii kwa...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Na Peter Twite WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Shamsi Vuai Nahodha, amesema kuna dalili za kutoweka maadili miongoni mwa jamii jambo linalotishia kuwepo machafuko yanayoweza kusababisha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Katika hali inayoonyesha wasiwasi halisi alio nao JK na utawala wake kuhusu hali iliyoikumba Tunisia kwa umma kuchukua madaraka ya nchi kutokana na utawala mbovu, maisha magumu pamoja na rushwa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Makinda akuna kichwa kukabili hoja ya Dowans Spika wa Bunge, Anne Makinda Ramadhan Semtawa na Fidelis Butahe Spika wa Bunge, Anne Makinda amesema ofisi yake itapokea hoja ya mbunge wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1. 04-02-2006 - Mifuko ya plastiki marufuku Source Bofya hapa Serikali imechukua hatua kali na za haraka kudhibiti uharibifu wa mazingira nchini. Katika hatua hizo, serikali imepiga marufuku...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Excerpts from the article... "Picture this, Uwezo's study found that nearly 10 per cent or 75,000 of the 746,000 children who sat for the standardised test offered to 13-year-olds in Kenya at...
0 Reactions
0 Replies
817 Views
Nimepata taarifa leo kutoka kwa mtu aliye karibu na Rostam Aziz kuwa fisadi huyu aliyechonga dili zima la Richmond/Dowans sasa ameandaa timu ya viongozi mbali mbali wenye ushawishi kwenye jamii...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Back
Top Bottom