Kama Dr. Slaa angeshinda katika kura za urais serikali yake ingekuwaje kwa kufuatana na katiba iliyopo sasa?? Kama kuna mwana JF alikuwa na fununu basi ajimwage hapa. (Maana ingebidi achague...
Baba mzazi wa kijana Ismail aliyepigwa risasi na kuuawa na polisi huko Arusha, katika mapambano kati ya Jeshi la polisi na wafuasi wa CHADEMA amesema kuwa hakukuwa na shinikizo lolote kupeleka...
Kwa Mwanza wanasiasa wamewekana kati hii si lugha ya editorial labda gazeti ni la wahuni. Kilichozua tafrani Arusha ni hatua ya Chadema kutomtambua Mary Chatanda, kaka unafahamu kwamba haka ni...
Yule hayati mzee wa butiama aliwaona walivyokuwa na uchu siku nyingii....
akamwambia mamvi we ni mwizi kaa kando,leo mkasahau mkamkaribisha ndani,kawakomba! nani alaumiwe?
Kumcheki Mkwere...
Kwa utamaduni wa wengi wetu (hata humu ndani)inahitaji ujasiri kutoa mawazo haya ,lakini kwa kuwa hapa ni mahali huru nitaendelea kusema!
Nilianza kusikia ufisadi wa EPA wakati wa bunge la bajeti...
Dar es Salaam. Tanzanians spent a staggering Sh555 billion ($396 million) on telephones in three months, according to a new report by the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). That...
Naitaji kuwa mwanachama hai wa CHADEMA ikiwa pamoja na kupata card za chama..na pia card ya uanachama wa vijana..shida niko nje ya Tanzania sasa sijui mtanisaidiaje..ili niweze kuwa mwanachama...
Nakumbuka enzi za utoto wetu ilikuwa lazima upigane ili kuonyesha na wewe umekuwa na hutaki mtu akuonee. Ishara ya kujua kuwa umeshinda ni lazima umtoe damu ya pua adui yako. Katika ugomnvi ule...
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya mwanakikao. Zinasema uongozi wa TANESCO wako leo katika kikao wanaandaa waraka wa kuwalipa DOWANS. Ni Mungu tu aingilie kati hali ya nchi hii. Saa chache...
Huyu jamaa aliyefulia kisiasa ameandika hivi kwenye facebook page yake haya...
"As Tanzanian's we need to seriously consider what it is we want and how. Irregardless of political party or faith...
Kama ni kupewa nyota tano basi Chadema wapo katika mstari wa kuweza kutunukiwa Nyota hizo tano na kuwa 5Star political party katika Taifa hili la Tanzania.
Hii ni kutokana na kufanikiwa kwa...
Naungana na wana Jf wenzangu akiwemo kaka Rev.Masanilo na mzee Mwanakijiji kuwa gazeti la Habari Leo lifunguliwe kesi mahakamani ya madai, kwa kuandika habari za uchochezi na za uongo kuhusu...
Kwa Mwanza wanasiasa wamewekana kati hii si lugha ya editorial labda gazeti ni la wahuni. Kilichozua tafrani Arusha ni hatua ya Chadema kutomtambua Mary Chatanda, kaka unafahamu kwamba haka ni...
Sina hakika kama unatembelea jukwaa hili, lakini naomba kama upo, au kama kuna mtu mtu nazo namba zake au email yake, please aiweke hapa, au aniPM, nataka nijadiliane nae mambo machache juu ya...
Wana Jf jana wakati nasoma Gazeti Mahili la Mwanahalisi ktk kichwa cha habari ROSTAM NDIYE DOWANS nilipambana na maoni ya watu ambao kweli wanauchu na hasira juu ya Rostam Azizi na Raisi...
Chuo kikuu cha dodoma ni moja ya chuo serikali ukitumia kueleza mafanikio yake ktk kujenga vyuo Tanzania. Ila kilichopo ndani serikali huwa hawakisemi ila ni kujivunia majengo yaliopo na kwa...
sio siri mzee ni very commited afu si kwanini tuko wagumu kiivi hawa wazee wana data za kutosha tunasubiri nini kuwaumbua wezi. Am sure ukimpa media coverage ka wiki yule mzee surely mafisadi wote...
GOVERNMENT REVENUE COLLECTION...Kikwete sets 500bn/- target
By ThisDay Reporter
11TH JANUARY 2011
BUT WHERE WILL THE MONEY GO? LARGE-SCALE CORRUPTION,
MISUSE OF PUBLIC FUNDS DRYING UP...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.