Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
The East African (Nairobi) January 30, 2007 Posted to the web January 30, 2007 Wilfred Edwin, Special Correspondent Nairobi The concenssioning of the ill-fated Tanzania Railways Corporation...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
MBUNGE wa Mpanda Kati, Said Amour Arfi (CHADEMA), ametaka mkataba wa ukodishaji wa Shirika la Reli nchini (TRC) kwa Kampuni ya RITES ya India uliosainiwa mwaka jana baina ya serikali na kampuni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Govt comes to TRL aid, again 2008-10-27 12:43:25 By Joyce Kisaka The government announced yesterday that it would facilitate a USD 83 million loan (equivalent to 99bn/-) to bail out the...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wananchi Tumeona Polisi Wakipiga Risasi Wananchi Arusha na Leo Hii JK na IGP Mwema Wanafanya Njama za Udanganyifu na Kugeuza Sinema. Maswali Mengi Yanakuja, Kitu Gani Wananchi Hawajui Mpaka Sasa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Viongozi wetu wa dini, tuwaombe msitujengee uadui kati ya watu wa dini na dini eti sisi tuone watu furani ni bora kuliko wengine!. kumbukeni sisi sote ni ndugu kwakuwa kwasasa karibu kila familia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya sakata la kususia hotuba ya Rais Bungeni na mpasuko uliojitokeza huko, hivi sasa kuna mambo kadhaa ya ndani ya Chadema yanayo ashiri kuisambaratisha Chadema. 1) Kususia Hotuba ya Rais...
0 Reactions
166 Replies
13K Views
Baba mzazi wa kijana Ismail aliyepigwa risasi na kuuawa na polisi huko Arusha, katika mapambano kati ya Jeshi la polisi na wafuasi wa CHADEMA amesema kuwa hakukuwa na shinikizo lolote kupeleka...
0 Reactions
67 Replies
6K Views
mgombea ubunge katika jimbo la maswa magharibi (chadema), john shibuda, amemtaka mgombea urais kupitia ccm, rais jakaya kikwete, kuachana na harakati za kuwania nafasi hiyo na badala yake ampigie...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wana JF naomba mnieleweshe kuhusu waislam wa tanzania kudai maslahi yao, Hivi wanamaanisha nini? Je ni umeme kwa waislam, maji, sewage system mijini ili waislam wasiishi na mavi kwenye makazi yao...
0 Reactions
123 Replies
10K Views
Nisaidieni tu, maana najiuliza wanashauri nini? Ni akina nani hawa yawezekana wanakula kodi yetu hivihivi? Nisameheni, nimeshapata jazba siwezi tena kuendelea?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mkapa tutamkumbuka kwa yafuatayo 1 Daraja la Mkapa la kuunganisha mikoa ya kusini 2 Uwanja wa michezo wa kisasa 3 Maji ya ziwa victoria kwenda Shinyanga na Kahama 4 Mabarabara mengi yalijengwa kwa...
1 Reactions
245 Replies
25K Views
  • Closed
OMBI MAALUM: Je unamfahamu Anayedaiwa Kubakwa na Makamba? Wenye busara zao wanatuusia kuwa pindi ukiwa unaishi kwenye nyumba ya vioo then sio wazo jema ku-entertain kurusha mawe.Mantiki ya...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Jamani naomba nianze kwa kuwaomba msamaha wale wote ambao kwa namna moja ama nyingine watakwazwa na haya maneno nitakayoyaandika humu. Nidhahiri kwamba wote tunajua kuwa tulikuwa na vita kuu ya...
0 Reactions
46 Replies
9K Views
Ifuatayo ni hukumu kamili ya jaji wa Uingereza inavyo onesha jinsi Vithlani alivyogawa rushwa kwa vigogo wa serikali ya Mkapa (Chenge, Idris Rashidi, na wanajeshi) ili wapitishe dili la radar. SFO...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
UKIMSIKILIZA mtu anayeitwa Yusuf Makamba, katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), huwezi kukwepa kufikia hitimisho kwamba madaraka ndani ya chama tawala yamerahisishwa sana. Kurahisishwa huko...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau wa JF kunatetesi kuwa Rais wetu Dr. Slaa amelazwa toka juzi jumamosi kwa tatizo la mkono kuwa kafanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Muhimbili kitengo cha Mifupa(MOI). Tunaomba mtujuze kama...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Hodi hodi great thinkers. Ninashangazwa sana na mfumo wa kisiasa ulioanza Tanzania.Inakuwaje tunakwenda kinyumenyume kwa mambo mengi siku hizi? Mtu anayelaani ufisadi na kuwalaani mafisadi kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama polisi hawana utu mie napendekeza tupandikize mbegu ya chuki miongoni mwa jamii tuwatenge , tuwafukuze kwenye nyumba zetu walizopanga , maana wameuwa arusha na jana wameuwa Mbalali
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Hiki ni kichekesho. Mtamchunguzaji waziri aliye bado kashikilia wadhifa wake. Anaweza kutumia kuwepo kwake pale wizarani kuvuruga ushahidi Karamagi achunguzwa SAKATA LA BUZWAGI na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom