Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mauaji ya Kinyama yaliyotokea katika Jiji la Arusha hayawezi kupita bila Watu fulani kuwawajibisha Watu kadha wa kadha 1: OCD wa Arusha: Huyu alipaswa kuwajibishwa Mapema kabisa kwani alihusika...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tokea Jana Usiku tumeshuhudia Jeshi la Polisi likituonesha picha za video kuhusu tukio la Arusha, Januari 5 mwaka huu ambapo Mtangazaji wake anaonesha umma kwamba CHADEMA wanahitaji kulaumiwa kwa...
0 Reactions
68 Replies
6K Views
SAKATA la malipo ya kampuni ya kufua umeme ya Dowans, limeingia hatua mpya baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utawala Bora, Mathias Chikawe, kusema mawaziri wawili waliompinga Waziri wa...
0 Reactions
183 Replies
15K Views
Ni wiki chache zimepita tangu huyu bwana awe anaongoza kwenye vichwa vya habari vya magazeti. Nakumbuka alisema kuwa hauna haja ya katiba mpya, na dowans lazima walipwe. Mkuu wa kaya alivyosema...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
1: Alianza Chagonja na Mkwara wake huku akiongea kwa kukunja Sura kama anakata Gogo kwa kutoa Kauli za Vitisho bila kuushirikisha Ubongo wake 2: Jeshi la Polisi na Lenyewe likaja na Mkanda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati mwingine unaweza kusema maisha haya si ya kuwalaumu wanasiasa wetu tu, pengine tumuombe na Mungu atufungulie neema zake, kwani hali ya maisha ni ngumu sana kwa wanachi wengi wa vijijini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana jf hebu tujikumbushe enzi za huyu jamaa na ubeberu alioufanya
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hebu watz wenzangu 2jadiliane kuhusu ongezeko la bei ya umeme,mi nadhani ongezeko ni 50%,kwanini nasema hivyo,kabla nilikuwa nikitoa elfu kumi ya tz,nilikuwa napata units 64 kwa mwezi(hapo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Imesemwa na padre anayeingoza misa ya mazishi ya Denis Shirima muda mfupi uliopita huko Rombo Moshi.
0 Reactions
35 Replies
3K Views
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli, amempa miezi sita mkandarasi kukamilisha ujenzi wa barabara ya Nyamwage-Somanga, yenye urefu wa kilomita 60. Dk Magufuli alisema mkandarasi huyo hana sababu ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni mtazamo tu, mi ni 1 wa wale tulioona lile kongamano la kuhusu katiba yetu mpya.Nimesikia michango mingi tu ya wanazuoni,wanasiasa na wananchi wa kawaida. Nilichokigundua wanasiasa wanadhan ishu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naiona Tanzania mpya inakuja,....yenye viongozi wanojali maslahi ya taifa na wananchi kwa ujumla.viongozi wasiozibwa midomo panapokuwa na jambo nyeti la kulitetea. MAWAZIRI Mwakyembe na Sitta ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mabomu ya machozi, risasi za moto na hata vifaru barabarani. Vyote havikusaidia kuurudisha umma nyuma. Tunisia na Watunisia wameandika tena historia Afrika kwa kumfukuza Rais wao madarakani kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
0diggsdigg Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisisitiza jambo katika mkutano wa usuluhishi baina ya wahadhiri wa chuo kikuu cha Dodoma UDOM na utawala. Kushoto ni mkuu wa mkoa wa Dodoma Dk James...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu Zangu, ZAMANI kwenye Radio Tanzania, moja ya vipindi maarufu kilikuwa ’ Mazungumzo Baada Ya Habari’. Ni moja ya nyenzo za Serikali kufikisha ujumbe kusudiwa kwa umma. Ni kupitia...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Case for two stage method of new constitution quest By Ani Jozen 15th January 2011 Before President Jakaya Kikwete has nominated or otherwise appointed a knowledgeable jurist to...
0 Reactions
1 Replies
759 Views
Wana JF najua ni wengi wanajiuliza maswali mengi juu ya uhalali wa uchaguzi wa meya wa jiji la Arusha ambao umekuwa mjadala mpaka leo. Swali wengi wanalojiuliza je uchaguzi ulikuwa halali au si...
0 Reactions
148 Replies
11K Views
Wazanzibar ni haki yetu kuulizwa kuwa Muungano tunautaka au vipi.Makubaliano ya Father K nikuwa Muungano ni wamuda mfupi tu. Yani miaka 10 tukiona una faida au hauna faida nilazima tulizwe...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wasalaam, Kumekuwa na wimbi la uundwaji wa serikali za Umoja wa Kitaifa kwa nchi za Afrika siku za karibuni. Serikali ya Umoja wa Kitaifa siyo kitu kigeni ila kilicho kigeni ni sababu mpya ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Dakika chache zilizopita serikali ya Kenya imefuta leseni ya kampuni ya 6969 ambayo imekuwa ikiendesha shindano la SMS ambapo watu wanatuma SMS kwa nambari hiyo na kuahidiwa kushinda milioni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom