Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wadau, hebu mwenye data zaidi aweza kuzimwaga, maana nimekutana na hii taarifa, je, ina ukweli wowote wandugu? Ni haramu kuilipa kihalali kampuni haramu! La Dowans ladhihirisha namna Tanzania...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwenye Kampeni za Urais mwaka jana JK alipokea simu katikati ya hotuba yake ya kampeni pale Manispaa ya Iringa. Baada ya kuongea na Simu aliwaambia wananchi kuwa Balozi wa marekani amemhakikishia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chadema wanauongozi hivi karibuni ulionenekana kufanya maamuzu yasiyo na busara kama vile kutomtambua JK kama raisi wa TZ baadae wakabadili mawazo na hivi karibuni kukaidi amri ya wanausalama, kwa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Baraza la mawaziri kivuli Z`bar lafutwa Na Mwinyi Sadallah Baraza la Wawakilishi Zanzibar limetangaza mabadiliko makubwa ya muundo wake ikiwemo kufuta baraza la mawaziri kivuli na...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Baada ya kujua wenzetu wamarekani wanafanya nini katika balozi zao, nianza kijiuliza sana na kungudua kuwa moja ya malengo yao ni kutawala dunia, nivyo inawalazimu washington kujua kila...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni lini tutapata matokea ya review ya mikataba ya madini kama tulivyoahidiwa?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeona Tangazo TBC kwamba kutakuwa na kipindi Maalumu saa 2:30usiku kuhusu kilichotokea Arusha. Naamini ni habari wanayotaka kutulisha baada yakufanya editing yakutosha ili kuhalalisha Mauaji...
0 Reactions
190 Replies
18K Views
*Ni kwa kutetea malipo kwa kampuni ya Dowans *Wasema, kama hakurubuniwa, anazeeka vibaya Na John Daniel SIKU moja baada ya aliyewahi kuwa mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Mark Bomani, kudai...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, Kuna jamaa hampendi Rostam kiasi cha kulinganisha hatari yake kwa nchi yetu na Osama Bin Laden. Jamaa amefikia kiwango cha kusema kwamba Rostam ni hatari zaidi kwani ugaidi wake...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mechi hii ya fainali ya mpira wa miguu kati ya Mafisadi Stars (pro-Dowans) na Wapambanaji United (anti-Dowans) inachezwa mbele ya umati mkubwa sana wa Watanzania wapatao milioni 40.7. Timu hizi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutokana na Vituko na Maamuzi ya Serikali Hivi Karibuni Tunaona IGP Mwema Ndio Alihusika Kutoa Order ya Mauaji Arusha na Kila Leo Anaendelea Kutoa Maamuzi ya Kupiga Risasi Raia wa Tanzania...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
By ABDULWAKIL SAIBOKO, 16th January 2011 DAILY NEWS FOREIGN petty traders at Kariakoo market in Dar es Salaam are going on with business as usual despite a recent order by the Deputy Minister...
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Pale Kalimjee ndugu zetu wa Dini ile wamesema wamechoka kunyanyaswa na wanataka mgawanyo wa madaraka nusu kwa nusu, bila kufafanua hii nusu kwa nusu ni Pamoja na Wapagani, Wahindu, Rastars...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
NINGEPENDA TANZANIA YA HIVI: Elimu bora, makazi bora, miundombinu bora, huduma bora za afya, fursa nyingi za ajira za kuajiriwa na kujiajiri, viongozi waadilifu, Uzalishaji viwandani na kuuza nje...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kv habari nilozipata hivi punde kutoka chanzo cha uhakika ni kuwa jumamosi hii 22.1.2011 wabunge wa ccm wanakutana karimjee dar es salaam kuandaa mkakati wa kupambana na chama kubwa chadema...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Zipo tetesi kuwa hukumu iliyotolewa na mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai (ICC), haikotolewa ktk makao makuu ya mahakama hiyo yaliyopo The Heague Uholanzi, bt mahakama ilihamia hotel ya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Inasemekana kutoolewana kwa wabunge wawili (CCM) wa jiji la Mwanza kumechangia kwa kiasi fulani kushindwa kwao. Nasikia mmoja alimwaga mboga, na mwingine akamwaga ugali. Nyepesi zinasema...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama ni mkweli kila mbunge hupokea Tsh 500,000 kwa mwezi kwa ajili ya shughuli za jimbo ikiwemo kununua vifaa vya ofisi ya mbunge, iweje yeye na wenzie waondoke na vifaa vyote hadi picha na vitasa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nadhani Polis ikubali kosa kwa mauji ya Arusha. kwanini dk slaa na wenziwe wasishtakiwe kwa kosa la Kutaka kuvamia kituo na kupora silaha ili watz wanaipenda nchi yao waamni? lkn pia mbona yule...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifuatilia sana swala la Membe kutaka kuombwa radhi na baadhi ya magazeti kwa kumnukuu vibaya eti yeye hakusema kuwa polisi walikiuka maadili ya kazi yao kwenye maandamano ya amani hapa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom