Juzi nilikwenda kununu umeme wa sh 30000'sasa kitu tanesco wanatufanyia sijui ndo kuilipa dowans maana wamekata kama kawaida yao tax sh 4807.48 hii kwa ewura kuna kitu fixed amount 2738 halafu...
Hivi kweli Shivji na wenzake wanaamini kabisa kwamba Mkwere atakubali kitu wanachopendekeza – cha Katiba kupatikana kwa njia ya midahalo nk? Na kwa nini hawajaweka time-frame – kwamba...
Wananchi wataka mwekezaji aondolewe
Gordon Kalulunga, Mbeya
SAKATA la vurugu zilizojitokeza katika eneo la Ubaruku, Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya limechukua sura mpya baada ya...
Ben Komba/Pwani-Tanzania/Monday, January 10, 2011/22:11:41
Chama cha demokrasia na maendeleo mkoani Pwani kimevunja mkutano wake wa hadhara uliokuwa ufanyike katika kiwanja cha Maili moja mjini...
Nahodha summons police Saturday, 15 January 2011 08:13 digg
Minister for Home Affairs, Mr Shamsi Vuai Nahodha
By The Citizen Reporters
Dar es Salaam. The minister for Home Affairs, Mr...
source: majira
Na Peter Mwenda
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo amesema kitendo cha polisi waliopewa dhamana ya kulinda wananchi kuua watu wasio na...
Takribani maoni ya Wazanzibari walio wengi mtandaoni na hapa nyumbani basi huhubiri Zanzibar kujitoa ndani ya Muungano.Suali hili kwa sasa limekuwa ndio uradi wa Wazalendo walio wengi. Kwa ufupi...
Kutokana na maruweruwe ninayo yaoni imefikia mahali ninajiuliza hivi JK alipokuwa ana bid for presidential post alijua na kudhamiria kuwatumikia watanzania au alitaka tu kuwa Celebrity ndani ya...
Waendesha kipindi maalumu cha maandamo YA ARUSHA kilichodhaminiwa na wizara ya Habari kupitia Idara ya Habari maelezo kulisafisha Jeshi la polisi na kuichafua CDM.
TBC MNI WAHUNI!!!! siku ile baada ya kutoka Zanzibar kwenye maadhimisho ya mapinduzi yao wakarudisha studio na kuweka mapicha ya shida za wakimbizi. WAKATI HUO HUO MASHUJAA WETU WALIKUWA...
Ukiona kiongozi au nchi inaingia katika kuongelea suala liwe la udini au ukabila, basi ujue kiongozi/serikali iliyopo imeshindwa kazi, sasa katika kutapatapa ndio hutafuta jani,tawi, au mti wa...
Wandugu,
Kwa jinsi mambo yanavyoendelea nchini kisiasa, kijamii na kiuchumi, je, tunaweza kukiri mbele ya mataifa mengine kwamba nchi yetu ina uongozi??? Binafsi sioni dalili ya uwepo wa uongozi...
Ndugu zangu ni dhahiri sasa kuwa,kutokana na maisha kuendelea kuwa magumu,ambayo ni matokeo ya kuendelea kuichagua ccm,nchi yetu inaelekea pabaya,lakini hatuna budi kuelekea huko ili kuiponya...
Nimesoma barua ya Saidi Mwema kwa Waandishi wa habari ya Januari 13, 2011 siamini kama ni Mbumbumbu kiasi hicho;
Hivi kweli Jeshi nyeti kama hilo linaweza kuongozwa na mtu hasiyejua hata ABC...
Ndg wanajf swali hili limekuwa likinitatiza,tangu nizaliwe damu yangu haipatani na hiki chama;ni wapende kwa lipi? 1.ni karibu nusu karne sasa lakin maisha ya mtz ni zaid ya duni,anaishi under...
Imenichukua muda sana kutafakari kwa kinana kwanini spika sitta alikosa sifa za kuendelea kuwa spika na kuwa spika wa muda mfupi zaidi tanzania.
Sikuwahi kupata majibu, kwani nilitarajia pengine...
Wananchi wang'ang'ania wakabidhiwe polisi aliyeua kwa risasi
Saturday, 15 January 2011 09:08
Mwananchi
Baadhi ya Wananchi wa Ubaruku Wilayani Mbarali Mkoani Mbeya wakiangalia Gari pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.