Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Baada ya Chikawe kutoa karipio kwa Sitta na Mwakyembe kwa kuzungumza nje ya baraza la Mawaziri kuhusu Dowans ni vyema tukajiuliza; Je Sitta na Mwakyembe wamekiuka kanuni? Je Chikawe ana mamlaka ya...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika tukio la Arusha,tulishuhudia jinsi JK anavyowadharau wananchi,aliwaita mabalozi wa nchi za nje na kuwaelezea tukio zima la arusha,pia kusema haltatokea tena. Hoja yangu hapa ni Jk...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimebahatika kwa nyakati tofauti kujumuika na wote watatu kila mmoja kwa wakati wake, (RA,JK,EL) na hata wewe ukibahatika kuwa nao utagundua kitu fulani ambacho ni common miongoni mwao, they like...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimekuwa nafuatilia maoni ya watanzania wa kada mbalimbali. Wengi wanapinga tena kwa hasira malipo ya dowans. Kiongozi mzuri anazingatia maoni ya watu. Natabiri dowans ikilipwa serikali ya JK...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimetafakari sana baada ya kupitia hoja mbalimbali zinazotolewa na wanaJF. Kwa kiasi kikubwa naona tunajiuliza maswali wenyewe na tunajijibu wenyewe. Inawezekana ujumbe wetu unafika au...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Leo gazeti la Majira lleo imeandika kwa kumnukuu Jaji Mark Bomani akisema kwamba Dowans wasipolipwa kuna hatari mali za nchi hii zilizo nje ya nchi kuweza kukamatwa. Aidha katika mdahalo mmoja wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Juzi niliokuwa nasikiliza Cloud Ifm jioni ktk kipindi maalum nilimsikia mtangazaji anaeitwa Kibonde akiponda sana wandishi wa habari hasa walaivyokuwa wanaripoti matukio ya siasa hasa yale ya...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Zanzibar ni Muungano wa visiwa viwili;Unguja na Pemba kutokana na maelezo hayo ya kihistoria naomba wana JF mnisaidie yafuatayo:- 1.Visiwa hivi viliungana lini kisiasa na kitamaduni mpaka kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kila kukicha, na hata vitu vidogo ambavyo kiongozi mkuu wa kitaifa anaweza kutatua kwa haraka, na matatizo yapo wazi, wala hayahitaji kuwa Genius kutatua, mengine kauli tu ya Rais inatosha, ila...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
TUNGELIKUWA tunafuatilia kwa karibu mantiki katika masuala mengi tungejifunza mengi. Fuatilia suala hili: - Dowans ililetwa kwa sababu ya giza. - Ilitakiwa kuondoa giza. - Dowans ikasajiliwa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Uongozi wa nchi si suala wala jukumu dogo. Ni jukumu la kila mwezi, kila wiki, kila siku, kila saa, kila dakika na kila sekunde kwa kipindi cha miaka mitano!! Utendaji wa kiongozi unapimwa hivyo...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
By Globu ya Jamii Reporter Following is a letter to the Managing Editor of Mwanannchi Newspaper, reporter Hussein Issa and Managing Director availed to this blog today shortly after the...
0 Reactions
122 Replies
12K Views
kuna kitu lowassa alikizungumza ambacho kimeanza kuibua mapya. Makamba wakati wa kufukuta kwa mgogoro wa Arusha kwamba; kwa nini ccm ilikubali kuketi meza moja na cuf ikatae kukaa meza moja na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kitendo kilichofanywa na ccm Arusha kimeleta picha mpya kuhusu chama hiki.Tunaambiwa kuwa Mary Chitanda ana haki ya kuingia katika wawakilishi wa watu wa Arusha wakati yeye alichaguliwa mbunge...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
My wishes 1. President - Sitta 2. Prime Minister - Slaa/Magufuli 3. Speaker - Mwakyembe 4 5 6 7 8 9 10
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa pamoja walifikishwa katika viwanja vya Mahakama Kuu majira ya 8:40 mchana wakiwa chini ya ulinzi mkali, huku Dk Slaa, Mbowe na Ndesamburo wakiwa kwenye gari dogo aina ya Landrover. Watuhumiwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Msiwakamate Slaa na Mbowe, kamateni roho zao Padri Privatus Karugendo Januari 12, 2011 NINAJUA kwamba Rais Jakaya Kikwete ana washauri wake, hivyo sina haja ya kusema ninamshauri; inawezekana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Watanzania walio wengi wameapa kuwa ikiwa patatokea kundi linalojidai kutumia nguvu za umma kumuondosha Raisi Kikwete nao pia watatumia nguvu za Umma kuhakikisha kuwa anabaki madarakani hadi...
0 Reactions
112 Replies
8K Views
Kuna page mpya ya Facebook imeanzishwa inaitwa "President Jakaya M. Kikwete MUST Resign." Less than ten days tangu ianzishwe group hiyo tayari watu 2,800+ wanaunga mkono wazo hili by usiku wa...
0 Reactions
75 Replies
7K Views
Back
Top Bottom