Kauli zinazotolewa na mawaziri na hasa kuhusu Dowans linaiaibisha serikali. Ngeleja ameshasema vya kwake, Sitta tumeshamsikia na hatimaye Chikawe naye amezungumza hivi karibuni. Katika suala la...
Minister deplores purchase of luxury motor vehicles
By The guardian reporter
10th December 2010
Natural Resources and Tourism minister Ezekiel Maige declared on Wednesday that...
Kiongozi na Mwanafalsafa nguli wa itikadi ya ukombozi wa bara la Africa, Kamarade Amilcar Cabral aliamini kuwa mafanikio ya mapambano ya ukombozi yatategemea sana nidhamu binafsi (Personal Moral...
heheheh nadhani Polisi watatafuta pa kutokea kama wakileta zile za Arusha maana nina uhakika tifu la kina Mura si mchezo ni patachimbika iwe Mara au Tarime! Kidole na jicho vijakazi wa CCM...
JK alishinda uchaguzi TZ. Keshaapishwa kuwa Rais. Nchi zote zinamtambua kwamba ni Rais wa TZ.
Watanzania tuache majungu yasiyo na msingi. Siasa za vijiweni hazijengi nchi, Let's Move On.
Ni...
WAZIRI Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya amezungumzia sakata la Kampuni ya Kufua Umeme wa Dharura ya Dowans akieleza kuwa mpaka sasa hafahamu kwa nini Tanzania inapaswa kuilipa fidia kampuni hiyo ya...
Waombolezaji wenzangu, tungefarijika kama mngetuhabarisha shughuli ya mazishi ya mashujaa wetu inavyoendelea hapo Arusha kwani saa 4 asubuhi imekaribia.
MSIBA: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman...
Wana JF,
Nchi imeuzwa, nimeamini sasa. Huko Mbarali, barabara ilifungwa, cha kushangaza tenka la mafuta likapita. Kisha wakaandamana kwa nn linapta. Polisi wakapga risasi wa2 wawili. Sasa...
JK akipokea ujumbe toka kwa Rais Mwai Kibaki wa Kenya leo Ikuku Dar uliowasilishwa kwake na Mwakilishi wa Rais Mwai kibaki Bwana Githae ambaye pia ni waziri
IGP Mwema amepotoka (amepotoshwa) na kukosea kwenye mambo mawili;
1. Mamlaka ya kusitisha maandamano au mkusanyiko wa watu yapo kwa OCD na sio IGP. Hoja ni kwamba ameingilia mamlaka ya OCD.
2...
Jamani wana JF na wana jukwaa la siasa naomba kuuliza.
Je ofisi ya makamu wa rais imehamishiwa kwenye mbuga za wanyama siku hizi??...Maana tangu mwezi wa 12 mwaka jana vyombo vya habari vinaripoti...
Sheria inayotumika kuhusiana na maandamano au mikutano ni the Police Force and Auxiliary Services Act, Cap 322 ambayo inapatina online kupitia www.policeforce.go.tz
The law under section 43...
Katika mambo mwengi huyu mchungaji mtikila toaga mawazo yake ikiwa ni pamoja na kuishtaki mahakamani, vipi il la arusha hajatoa tamko lolote? au ndo anaangalian sheria inasemaje ili ajipange...
Tusidanganyike na watu wachache wanaoishi vizuri mijini tukadhani hayo ndio maisha ya mtanzania halisi, Hizi picha zinaonyesha umaskini halisi wa mtanzania. Umaskini ambao Rais na PhD zake za...
FemAct yataka meya Arusha ajiuzulu
Na Gladness Mboma
SERIKALI imetakiwa kuufuta uchaguzi wa Meya Arusha na kuitisha uchaguzi mwingine huru ili wananchi wachague meya mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.