katika pita pita yangu,,,,,,. nimekutana na artical hii ya kimtazamo, imenigusa , nikaona niilete humu jamvini, kwani tunaweza kupata mawazo zaidi, kwani tunakoelekea ni kugumu zaidi....
THE...
Ndugu wana jamvi,mimi bado najiuliza hili swali kila siku juu ya hawa polisi wetu wa tanzania hivi wapo ktk hiyo kazi kwa maslahi ya nani?
kwani kila kukicha jamii inalalmika juu ya hawa polisi...
Kuna taarifa kutoka kwa polisi wenyewe kwamba wanaona aibu kuonekana kwa kuhofia macho ya watu au hata kuzomewa. Ambao hawawezi kukwepa ni traffic polisi na wale wanaolinda benki na majengo ya...
Nikiwa nimelala. Joto kali. Umeme hakuna. Nimeoga maji ya chumvi. Ya kunywa nanunua ndoo sh.600. Kero.
Mara napokea hii crap kutoka kwa namba ambayo ata siijui:
"WANANCHI TAFADHALI...
ni wazi kuwa viongozi na wanachama wa chadema wanaombea nchi isitawalike, uchumi uharibike, mambo yaende vibaya ili waseme ccm wameshindwa na baadae waje ku claim ushujaa. This is wrong and very...
Maaskofu wa madhehebu ya Kikristu mkoani Arusha wamemkemea Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba, kwa kuitumia Biblia takatifu kuhalalisha uovu; wakamtaka aache tabia hiyo mara...
Hi wana JF, nimekutana na habari hii mtandaoni ikanisononesha sana kuona serekali imeshindwa kufwatilia habari za Dowans kupata info hizi badala yake wamekua wepesi kukubali kushindwa na kuridhia...
Nakosa maneno mazuri ya kumwelezea IGP Mwema, labda wenzagu mnaweza kunisaidia kuitazama historia yake.
wale mahabusu 17 waliokufa kwa kukosa hewa baada ya kufungiwa kwenye chumba kimoja kidogo...
Arusha si shwari hata kidogo, kumekuwa na series ya events tokea kura za maoni, kampeni, uchaguzi mkuu, matokeo kutangazwa, uchaguzi wa umeya, maandamano na mwisho mauwaji. Tukae tukijua dunia...
Mkuu Magufuli una reputation nzuri sana katika jamii ya Tanzania kwa utendaji kazi wako mzuri sana ambao hata mimi pia nausifu sana. Jana nimekusikia ukielezea masuala ya bumps bara barani jambo...
Niijuavyo gov ya ccm, neno mchochezi kwao ni simple kulitamka na kumkabidhi mtu ambae yupo kinyume na wao.
kwa mfano maalim seif baada ya kutoka ccm alipata misuko suko na hatimae kuishia jela kwa...
The core characteristics of good governance are participation, rule of law, transparency, responsiveness, consensus orientation, equity, effectiveness and efficiency, accountability and strategic...
Waungwana, nina kipande cha taarifa kilichonifikia punde kikionyesha kuwa hali ya UVCCM bado si shwari na safari hii uongozi wake uliopo Zanzibar umempiga barua Katibu kilaza Makamba ili...
Tanzania haina dini bali wananchi ndio wenye dini,hivyo katiba inawaruhusu wote kuabudu pasipo kuvunja sheria.Uislam uko wazi pia hivyo msiojua tuulizeni tuwafundishe.Uongozi katika Uislam...
First of all,i would like 2 thank jamii forums administrators for initiating a wonderful website where we can critically express our views...my concern is the political atmosphere that we have in...
watu mtaani wanashaangaa uamuzi wa chadema kumtimua zitto u naibu bungeni, wananchi walio wengi wanajua zitto kavuliwa uongozi wote mpaka u naibu katibu wa chama
wananchi wameanza kukosa imani...
Taarifa kutoka ofisi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam zinaonyesha kwamba gari mpya kabisa aina ya land cruiser ya CCM mkoa wa dsm imepata ajali na kupinduka na kuwa write off wakati ikiwa safarini...
kesho jumamosi professa Issa Shivji na Jenerali Ulimwengu watakuwa na kongamano endelevu juu ya katiba mpya katika ukumbi wa nkurumah chuo kikuu kuanzia saa nne wote mnakaribishwa hata kama sio...
MFANYABIASHARA maarufu nchini, Mustapha Sobodo ametoa Sh10 milioni kwa familia mbili ambazo vijana wake waliuawa kwa kupigwa risasi na polisi Jijini Arusha wiki iliyopita.
Hatua ya mfanyabiashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.