Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kaka wa hayati njuguna mkenya alieuwawa na polisi arusha,kisha kumbatiza George waitara,amejitokeza katika mazishi ya Denis huko rombo
0 Reactions
6 Replies
2K Views
TAMKO LA CHADEMA - GEITA KULAANI UTUMIAJI WA NGUVU ZA ZIADA KUDHIBITI MAANDAMANO YA TEREHE 05.01.2011 MJINI ARUSHA Ndugu watanzania na wapenda Amani wote. Uongozi wa Chadema na jumuiya zake...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Makamba utaona mwisho wako ni Segera unapo elekea kwenu Bumbuli Uking'aza pua Moshi mpaka Arusha utajuta. Heko machalii ujumbe kaupata.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
They appoved the said payment to the former customers of Ponzi scheme which was led by Mr Madoff. Source: REUTERS
0 Reactions
0 Replies
775 Views
mambo yalianzia mt. meru hosp.hadi viwanja vya NMC
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naona wengi mnapotea na kupoteza muelekeo wa kisiasa ,jeshi la polisi ni kitengo au ni chombo cha dola,sasa inapotokea migongano na raia kunakuwa na mivutano.Hivyo napenda wengi wenu mfahamu kuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni hukoo mbeya,wametumia risasi za moto kuzuia vurugu. wawili wamefariki,mmoja risasi kichwani. Sababu,......?tusuburi wanahabari watwambie Source:wapo radio
0 Reactions
13 Replies
2K Views
habari za kuaminika baada ya kujua kua chama cha kijani jana kisingekua na wafuasi baada ya wanamapinduzi wa nhi na sisi wana arusha kua tuko katika majonzo na wao walikua wafanye maandamano ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Yaliyotokea Arusha ni kulipiza kisasi kwa Kikwete na CCM? KUNA mfanano wa hali ya juu kati ya mauaji ya Zanzibar mwaka 2001 na ya Arusha yaliyotokea wiki iliyopita. Kila kitu kinaelekea kufanana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba mwenye taarifa atujulishe huyu mama yuko wapi baada ya kutema kwa kutochaguliwa tena viti maalum baada ya bunge lililopita kwani CUF ilimchakachua Pension yake kwa ahadi kumpa ubunge tena...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna machangudowa wa kisiasa ambao sisi kila siku tunasema Mkwere alikuwa anatakiwa aishie kwenye cheo cha UDC walidhani tuna chuki binafsi, sasa angalieni picha hii halafu toa maoni yako. na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Do I need to give a reason? I dont think so... it's all there in black and white! Sasa nisaidieni kwa mnaojua....for an ordinary citizen like myself nianzie wapi? I mean.... nifanye nini ili...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Wakuu, Ni ajabu na kweli. . Nimetumiwa ujumbe na taasisi ya Arusha-Mambo kuwa Mfanyabiashara Sabodo ametoa tshs 5M kwa familia ya Ismail, na tshs 5M kwa familia ya Denis, kama rambirambi zake kwa...
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Kama kweli serikali ilikubali kutoa hiyo hati na kama kweli Chadema au wafiwa wanayo hiyo hati mkononi na imeandikwa sababu ya kifo kuwa ni kwa kutobolewa na risasi, basi kwa kutumia hati hiyo...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Yaliyotokea Arusha ni kulipiza kisasi kwa Kikwete na CCM? KUNA mfanano wa hali ya juu kati ya mauaji ya Zanzibar mwaka 2001 na ya Arusha yaliyotokea wiki iliyopita. Kila kitu kinaelekea...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Tuesday, 11 January 2011...
0 Reactions
184 Replies
16K Views
Wana JF Hivi siasa sii ajira? inakuaje watu wengi ambao ni matapeli, wahuni, wavivu, wanaopenda easy life, dhuluma, na pesa za chapuchapu ndo unakuta ni wenyeviti na makatibu wa ccm? Ina maana...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndg wana JF, Huyu mama ajulikanaye kwa jina la Mary Chitanda (Kiswahili Kitanda) naona anazidi kuwa katika wakati mgumu kutokana na matamshi yake ya utata. Ikumbukwe kuwa mama huyu ndiye hasa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Binafsi! Siungi mkono muafaka wa Cuf & CCM. Sura ya nzima ya sherehe ya mapindunzi jana, imenipa twasira pana juu ya huo muafaka. Sijui wewe mwana JF, Unauanaje Muafaka.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba tuwalinganishe hawa makatibu wa vyama hivi tuone nani zaidi kwa vigezo vifuatavyo:- 1:Kiutendaji 2:Ujenzi wa hoja 3:ufafanuzi wa hoja 4:Uwajibikaji 5:Usimamiaji wa haki za wanachama na...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom