Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hivi hii kama sio laana ni nini? Wakati serikali yetu iko bize kutaka kuilipa Dowans kwa kisingizio eti " Inafuata utawala wa sheria" Angalia inachofanya kwa wananchi wake wenyewe iliyowaathiri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Inasikitisha sana. JK aliwakilishwa na nani katika hili? JF UTA TOA TENA NA HII POST?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Sitta: Sikukejeli vielelezo vya Dk Slaa kuhusu BoT *Asema hakuvionyesha vyote kwenye televisheni *Ataka wabunge watoe hoja hata kama ushahidi wao si asilimia 100 *Slaa asema propaganda za...
0 Reactions
53 Replies
7K Views
Petrol/Diesel bei juu, umeme (18%) increase - bili ilivyopanda kana kwamba unakiwanda cha kufufua umeme hapo kwako, kodi nyumba juu (nimepandishiwa), mchele kilo kana kwamba unanunua jaruba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WHY AFRICA IS 25 YEARS BEHIND THE DEVELOPED WORLD..... AFRICAN LEADERS Abdulai Wade age 83 Hosni Mubarak ( Egypt )...
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Nimeona ni vizuri tukaleta mpambano huu wa kuona ni nani zaidi kati ya hawa maktibu wawili wa vyama CHADEMA (Dr Wilbroad Slaa) na CCM (Yusuph Makamba). Je kwa muono na mtazamo wako ni katibu yupi...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Message, Messenger and Mode of Message
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Chama cha Wananchi (CUF) kimewapiga marufuku mawaziri wake wanaounda Serikali ya Umoja wa Kitaifa kutumia magari ya Serikali kwa shughuli za kisiasa za chama hicho kwa madhumuni ya kulinda misingi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
"Kama serikali wameamua kutuvunjia heshima, basi wasimame kwenye majukwaaa kutetea uovu wao, na sisi tutasimama kwa ajili ya kupinga uovu wao, tuone Mungu atamsikia nani.” Askofu Laizer -...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana (12/01/2011) yamefanyika mazishi ya wahanga wa mauaji yalilyofanywa na polisi bila ulinzi wa polisi na hapakuwa na uvunjifu wa amani. Kama wananchi waliweza kufanya shughuli zao bila ushiriki...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wednesday, 12 January 2011 Na Hussein Issa SIKU moja baada ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kuwasilisha pingamizi Mahakama Kuu kutaka serikali isiilipe Kampuni ya Dowans...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mheshimiwa Saidi Mwema Mukuu wa jeshi la polisi Tanzania ninajua hata kama sio member lazima utakuwa unasoma jamii forums ninakufahamu vizuri tangu ukiwa Bank kuu, Police Hq, OCD osyterbay, Rco...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
HESHIMA KWENU WANA JAMVI. TUMESHUHUDIA NA YALIYOJIRI ARUSHA NA KUSABABISHA KUPOTEZA ROHO ZA MASHUJAA WETU KUTOKANA NA UBABE WA SERIKALI YA CCM. KITU KIKUBWA NINACHOJIULIZA NI KWAMBA, SHIRIKA LA...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ndugu wana jamvi nimejitahidi kutega sikio nisikie angalau salamu za rambirambi kutoka serikalini lakini hadi msiba unakwisha sikusikia chochote, ina maana serikali imesusia raia wake...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
DOWANS kuvunja Baraza la Mawaziri • LHCR wamuunga mkono Sitta, Wafungua kesi kuipinga Dowans na Nasra Abdallah na Betty Kangonga SAKATA la malipo ya fidia kwa Kampuni ya kufua umeme wa...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Am just curious......hivi BAKWATA wanaweza kutoa tamko la kulaani mauaji yaliyotokea Arusha???
0 Reactions
364 Replies
29K Views
taarifa zilizonifikia hivi punde kuna ushawishi mkubwa kutoka NEC juu ya Makamba kutoendelea na wadhifa wake wa Ukatibu Mkuu! Mkutano wa NEC ulio mbioni kufanyika huenda utamtema kutokana na...
0 Reactions
81 Replies
7K Views
Politicians with legal problems Tom DeLay is the latest politician to face the judicial system. Read about his case and more politicians who have had legal battles. Office:DeLay held the No. 2...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Chadema wanatupeleka ile sehemu ambayo kila Mtanzania atakuwa anajua anaelewa kuna nini ndani ya nchi yake na kinachotaka kifanywe ni kitu gani ,ujumbe ambao Chadema wameufikisha si mdogo ni...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom