Hivi ni kwanini Serikali isinunue Magari haya wanayopenda direct from
Japan brand new kwa bei ya max of up to $80,000 tu plus $3000 transportation, na bado wakinunua mengi Kiwanda cha Toyota...
Gazeti hili na hasa makala ya Johson Mbwambo ni za chuki za wazi kwa JK imekuwa ada kwa makala za Mbwambo kila wiki kumsema,kukejeli na kumkosoa vibaya JK.kwa muda mrefu sana hali hii inatia...
Fighting corruption in developping countries
Brussels, Belgium Corruption is endemic in the developing world and is so prevalent it often goes unnoticed, according to Word Bank Group...
Nakumbuka Kipindi kile kilichoileta RICHMOND nchini ulianza Upuuuzi kama huu unaoendelea wa kuwekwa gizani kama mwezi hivi, Matokeo yake EL akaenda THailand kutafuta mvua ya kutengeneza, Baadaye...
AHADI YA ELIMU BURE MPAKA FORM SIX NDANI YA MIAKA 5 , HUDUMA ZA AFYA BURE KWA WAZEE NA KUPUNGUZA BEI YA SEMENTI.
Kwa muundo wa sasa wa nchi yetu, yaani serikali mbili hili jambo lingewezekana...
MWENYEKITI wa chama cha Tanzania Labour (TLP), Agustine Mrema (TLP), amemvua madaraka Mwenyekiti wa Kijiji cha Kyala, Kata ya Marangu Magharibi, Agustino Fabiani kwa madai ya unywaji wa pombe...
GreaTtHinkers!!!
ONeni Kamchezo mimi nimekachungulia Je hakana Ukweli wowote hapo???
Inawezekana tulipigwa changa la macho????
Wezi wa mifugo yetu ni wale wale ila jina la Bucha ndiyo...
Na Juma Duni Haji
Mawazo ya jumla waliyonayo ndugu zetu wa Tanganyika ni kwamba Wazanzibari wanafaidika zaidi na Muungano na hivyo malalamiko yao hayana msingi zaidi ya tabia mbaya ya...
Tanzania and its major donors meet for three days in Dar es Salaam starting today to assess the effectiveness of aid given directly to the government amid concerns of the authorities about...
Finance and Economic Affairs
Public Accounts
Social Services
Social Welfare & Community Development
Constitutional, Legal and Public Administration
Standing Orders
Parliamentary Privileges, Ethics...
SILINDE, MKOSAMALI WAMETUPA FUNZO KUBWA WASOMI
Uchaguzi Mkuu uliomalizika hivi karibuni ambao mchakato wake ulitawaliwa na vituko kibao tangu mchakato wa kura za maoni mpaka uchaguzi mkuu umeacha...
Safari kuelekea umoja wa vyama vya siasa vya upinzani kwa masilahi ya umma bado ni ndefu. Nini mtazamo wenu wanaJF na umuhimu wa ushirikiano wa pamoja kwa vyama vya upinzani nchini.
Natanguliza...
Mimi mwananchi wa kawaida kabisa ninayeishi kijijini
Tatizo kubwa tulionalo ni umasikini tunaoishi nao
Tunategemea kilimo sana (kilimo ndio uti wa mgongo) I use to hear
Lakini ki ukweli...
Slaa alikuwa anapata taabu kweli.
Zitto hakuwa na wakumzuia kushinda jimboni kwake, kwa nini hakumsaidia Slaa kupiga kampeni mikoa ambako Chadema kilikuwa na ushawishi mdogo.
Yeye (Zitto) si...
Najua na kufahamu kuwa Tanzania kuna newspapers nyingi sana kutoka
kampuni tafauti,na yote yanauzika na kusomwa kila kona ya Tanzania yetu na hata nje.
Lakini utafiti niliyoufanya pindi...
By PIUS RUGONZIBWA, 5th December 2010 @ 12:00, Total Comments: 0, Hits: 22
KASULU South MP (NCCR-Mageuzi) David Kafulila, intends to table a private motion in the National Assembly in February...
Juzi juzi nimeona tumekuwa informed nafasi ya january makamba imezibwa. Binafsi sioni kazi ya January makamba kama ilikuwa nyeti au muhimu sana kulingansiha na watu wengine ambao hata media...
Hivi kitendo cha Kikwete kuongeza ukubwa wa Baraza lake la mawaziri, ndiyo kusema kaanza kutekeleza ahadi yake ya kuongeza ajira? Tamko la Mizengo Pinda wakati akihutubia alipoteuliwa kuwa Waziri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.