Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Tarehe 9 December ni sherehe ya Uhuru wa Tanganyika. Lakini tangu tuungane na Zanzibar Tanganyika itilikufa. Sasa kuna haja gani ya kusherehekea hii siku. Je tunaposherehekea kwa nini huwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
CHADEMA, CUF: Mpinzani halisi atajulikana kesho Na Yusuf Aboud NIMEMSIKILIZA vema Hamad Rashid Mohammed, Mbunge wa Wawi, akizungumza katika mdahalo wa wazi ulioandaliwa na Vox Media...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Adui mkubwa wa CUF na NCCR ni CHADEMA, si CCM!:angry: Imekaaje hii. Hivi hii ni kwa sababu ya njaa kali, kutokuwa na akili au wivu wa kitoto (siblings rivalry?). Inakuaje leo hii vyama vya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Nimekuwa mwanachama wa JF siku nyingi kidogo. Uzuri wa JF ni kwamba wanachama wengi wamesoma angalao kufika form IV. Huwa kila siku nasoma makala na si mimi tu hata maprofesa na wasomi wengi ni...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mbunge wa Jimbo la Ubungo (Chadema), John Mnyika, amewataka wakazi wa Kata ya Goba kuandika barua rasmi ya matatizo yanayowakabili ili aanze kuyashughulikia. Miongoni mwa matatizo yanayowakabili...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Kusini kupitia chama cha NCCR- Mageuzi, anakusudia kupeleka hoja binafsi katika Bunge la Februari 2011, kutaka Serikali iwajibike kwa kuliingiza Taifa hasara kwenye sekta...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
CHADEMA yafungua kesi kupinga matokeo ya ubunge na Stella Ibengwe, Shinyanga CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
EBWANA NAOMBA KUULIZA MASHA AMEPIGANA NA NANI NA KWASABABU GANI MWENYE FULL INFORMATION ATUJUZE:target::target::target::target::target::target::target:
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Najaribu kufikiria sakata zima la wikilink jinsi linavyoendeshwa and then nalinganisha na mfumo wetu wa dola ulivyo hapa kwetu and then najaribu kulink na demokrasia. Assange ambaye ni mmiliki wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna mtindo au tabia za baadhi ya watu maarufu kuamini na kuzani kuwa ukitaka kuwa DIWANI au MBUNGE nilazima ugombee nafasi hiyo kupitia chama tawala CCM, na si vyama vingine vya upinzani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Chama cha Democrasia na Maendeleo ni chama pekee ambacho watanzania wa kawaida, Wasomi, Wanafunzi, Watoto wa hadi miaka 10 wanakiamini kutokana na kuibua mambo ya msingi ambayo hakuna chama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
1. Wametangazwa maraisi wawili kuwa kila mmoja ameshinda; mmoja 54% na mwingine 51%. 2. Kila mmoja amekushaapa kama Raisi wa Ivory Coast. 3. Kila mmoja yuko kwenye harakati za kuteua baraza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari nilizosikia Clouds FM leo zimenipa utata kweli. Eti Dr. Shukuru kawambwa, waziri mwenye dhamana ya elimu Tanzania anasema mimba za wanafunzi wa vyuo vikuu zinashusha kiwango cha elimu?
0 Reactions
32 Replies
5K Views
WanaJF, Nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa chama kikuu cha upinzani kabla na baada ya uchaguzi nimegundua kuwa uamuzi mwingi wa chama unatoka kwenye forum yetu yaani JF mfano. 1.Gari la Azania...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
RSS Home BOOKMARK THIS PAGE Kukemea uovu si udini -Pengo Send to a friend Monday, 06 December 2010 08:39 0 digg Kardinali Pengo Boniface Meena WAKATI serikali ikionyesha hofu ya udini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WANAOONA MH. ZK anawakera wahame wampishe ili wasikereke? Kwanini wakereke na vyama viko vingi? je kwanini kama kuna mtu hawamtaki wasimpishe akabaki na chama chake wao wakatokomelea mbali. Kwani...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mfumo wa vyama vingi hapa Tanzania ulianza mwaka 1992 baada wanaharakati wakisaidiawa na Nyerere kuilazimisha CCM kukubali mfumo huo ingawa CCM ilikuwa imeshinda kwa asilimia 85 -15 ya kura za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je JK anaweza kuibuka mshindi wa tuzo maarufu ya MO IBRAHIM ya USD 5MN mwaka 2016 atakapokuwa amemaliza kipindi chake cha pili katika uongozi wa nchi yetu?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ndugu poleni kwa majukumu ya kila siku. Ningependa kuwasilisha hoja jukwaani kuhusiana na kuelezwa kilichojiri kwenye matokeo ya uchaguzi wa raisi. Na kumbuka Dr slaa alishaandikwa sana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu poleni kwa majukumu ya kila siku. Ningependa kuwasilisha hoja jukwaani kuhusiana na kuelezwa kilichojiri kwenye matokeo ya uchaguzi wa raisi. Na kumbuka Dr slaa alishaandikwa sana kwenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom