Ndugu wanajamii, katika viongozi watendaji Lowassa yupo.
Tuaangalie shule za kata; hii ilikuwa ni wazo la Lowassa ili watoto wetu wasome karibu na nyumbani, baada ya kuondoka shule hizo za kata...
..........Dk. Shein katika hotuba zake amekuwa akiahidi kupambana na rushwa, tatizo ambalo limeathiri sana wananchi wa Zanzibar hasa wenye kipato cha chini.............. :: IPPMEDIA
Huku haya...
CHADEMA IMEPANIA KUTUMIA IBARA YA 46 YA KATIBA YA JAMHURI KUMUONDOA JK MADARAKANI IBARA HII INASEMA
""Bila ya kujali masharti ya ibara ya 46 ya Katiba hii, Bunge linaweza kupitisha azimio la...
Boris Yeltsin came to power with a wave of high expectations. On 12 June 1991 he was elected president of the Russian Soviet Federative Socialist Republic with 57% of the vote, becoming the first...
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 18 NOVEMBA 2010
Mheshimiwa Spika...
Ukweli binafs naamini wananchi wengi ha2na elimu ya URAIA,hvyo inapelekea wengi wasiojua umuhmu wa kupga kura hawapgi kura.je katiba inasemaje kama cc 2kiamua kwenda na kutoa elimu juu ya umuhmu...
tetesi zimesambaa na zinadaiwa kuwa za uhakika kwa asalimia 75 kwamba aliyekuwa waziri kiongozi wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar shamsi vuai nahodha ndiye atakayekuwa waziri wa mambo ya nje na...
Baada ya Nahodha kuteuliwa kuwa mbunga wa JMT atakuwa anapokea mishahara mitatu au posho tatu kila mwezi. Posho au mishahara hiyo ni mshahara wa bunge la JMT, Mshahara wa baraza la wawakilishi ZNZ...
Niko namsikiliza nisiyemtambua na kumpenda. Simkubali na kumjali. Namsikiliza huku nakitamani kurushia chupa hii TV. Kweli zama zenu CCM ziko ukingoni. Sasa na huyo mama Spika alikuwa ananikera...
Inashangaza sana kumsikia mkuu wa nchi akigeuza jumba la Bunge kuwa eneo la mipasho.
Rais anasema yeye ndiye Rais, nasi tunajua hilo, anamtaja makamu na Rais wa Zanzibar, hao wot e tunawajua. Ni...
Madiwani vihiyo ni wengi sana pamoja na mameya wanaochaguliwa. Mfano, madiwani na meya wa Mbeya mjini wengi hutokea pembezoni mwa mji matokeo yake wanafikiria ukabila na kuendeleza maeneo yao ya...
nimeona jinsi wabunge walivyokuwa wanapata shida kujieleza walipokuwa wanagomembea uwakilishi wa SADEC nimecheka kupita kiasi kwa watu walikuwa wanatumia nguvu kupita kiasi ili waweze...
Mh. Mizengo Pinda anaonekana TBC1 sasa hivi akiwa anaongea na mama yake mzazi kuhusu changamoto za kilimo kwanza. Mama yake anaonesha wazi wasiwasi juu ya utekelezaji na kufanikiwa kwa mpango na...
Hotuba iliyotolewa na JK leo 18 Nov 10 itajadiliwa kwa kirefu na Bunge litakapokutana mwezi Feb 2011. Je Wabunge wa Chadema watakuwepo bungeni wakati wa kujadili?
Nimeamua kuwataja nyie kwa vile naelewa mnaweza kunifikishia ujumbe wangu kwa viongozi na wana Chadema wote.
Kwanza nianze kwa kuwapongeza na kuwashukuru kwa kazi nzito mnayoifanya, pili ujumbe...
Wakuu heshima mbele,
naomba kama kuna mtu anakumbuka jina la bendi au wanamuziki
wale kutoka Congo walikuja na style ya "zipompa pompa" ile miaka ya kati ya tisini
hawa jamaa walivuma sana...
Awali niliwahi kupost tamko la kutomtambua JK kama rais halali wa JMT na kumtambua DR.SLAA kama rais mteule wa JMT.
Leo ninakuja na hoja tofauti na pia ni ombi kwa wanachama wenzangu wa CHADEMA...
Ndugu zetu wa Zanzibar hawataweza kuendelea kwa sababu serikali yao ni kubwa sana ukilinganisha na idadi ya watu. Zanzibar ina budget ya $400 million tu na watu wasiozidi 1,500,000!. Zanzibar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.