Wana jamii, ilinishangaza sana kuona jinsi Spika alivyo fuatilia maombi ya Muheshimiwa sana Sophia Simba kuomba kuchaguliwa kuingia kwenye kundi la wabunge wa SADDEC, it was so interesed jinsi...
Wakuu mara ya mwisho rais kusafiri ilikuwa lini, na nani anaweza kukisia lini tena rais atasafiri, ataenda wapi na kwa sababu gani. Naona safari hii amekaa sana bila kusafiri. Labda safari...
Ibara ya 51 ( 2 ) ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema:
(2) Mapema iwezekanavyo, na kwa vyovyote vile ndani ya siku kumi na nne, baada ya kushika madaraka yake, Rais...
CUF kujifuta, kutangaza kujiunga na CCM
Kuna tetesi kwamba mazungumzo ya sisri baina ya CUF na CCM yamekuwa yakifanyika ili kuungana kwa vyama hivyo.
Muafaka umeshafikiwa na...
Taifa linaelekea utumwani
Ninasema hivyo, kwa sababu hivi sasa watu wachache wenye nguvu ya fedha wanaamua mustakabali wa viongozi kwa maslahi yao binafsi,
Rais aliyechaguliwa kwa uovu, kamwe...
Sofia Simba kupita bila kupigiwa kura wala kuhojiwa kuwa Mbunge wa SADC ilikuwa sahihi?
Ndungai anasema Mnyika alikuwa sahihi kulingana na kifungu cha 5 (2c) cha kanuni za bunge lakini...
Wakati shughuli za Bunge zikiendelea tarehe 16/11/2010 wakati wa kumchagua naibu spika Spika, Anne Makinda, amekuwa akivunja kanuni za Bunge. Kwa kufanya hivyo ametupilia mbali kabisa kiapo chake...
Ndugu zangu Watanzania, sina maneno ya kuweza kutumia ili muelewe mpaka sasa nchi yetu siyo ile tuliyo kuwa nayo wakati wa mwalimu Nyerere! Sasa hivi hii nchi si yetu tena. Nchi hii imechukuliwa...
Source: Tanzania Daima Alhamisi, Novemba 18.2010
Hapa bunge la JYT lilikuwa linachagua wabunge wa Bunge la SADC. Kwa mgombea wa sisiemu kutokujadiliwa, kuulizwa maswali, na hatimaye kupigiwa ni...
Wana JF naombeni msaada mimi ni mmoja wa watu ambao sikumpigia Kura ya ndiyo xkikwete na kutokana na hila zilizofanywa na dola kuhakikisha anaendelea kupigia mswaki ikuru simtambui kama rais...
Unajua kuna tabia ya mtu kuwanyooshea vidole wengine bila kwanza kujiangalia. Nimeangalia thread nyingi zikieleza ukiukwaji wa kanuni za bunge hata kabla halijatimiza wiki mbili.
Kweli spika na...
Msimamo CHADEMA wamtikisa Makinda.
*Ni wakutomtambua Rais Kikwete.
*Awaita Mbowe, Zitto wateta.
Na John Daniel, Dodoma.
SPIKA wa Bunge Bi. Anne Makinda, amewashauri wabunge wa Chama Cha...
na Mwandishi wetu
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Ghalib Bilal, amewataka viongozi wa dini nchini kutochanganya dini na siasa.
Dk. Bilal alitoa rai hiyo jana...
Kila tetesi tunazosikia kumuhusu Rostam zinatimia ina maana ana nguvu gani hata M/kiti wa CCM hapingi na CC ya CCM wanafuata maamuzi yake.Huyu mtu ni nani hasa kwani maamuzi ya CCM na Serikali...
Jamani mwezi septemba nilipita maeneo ya kasulu na kukuta watoto wadogo sana wamebeba kuni bila shaka walikuwa wanaenda sokoni ili angalao waweze kupata mlo.Tunahitaji kutafakari hali hii
Idadi ya wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano, na ukubwa wa serikali binafsi unanipa shida kuoanisha faida yake kisiasa na gharama za kuviendesha hasa ninapofikiri umaskini mkubwa wa mwananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.