POLITICS IN THE WORLD ARE DIVIDED INTO TWO MAJOR SIDES THE LEFT AND THE RIGHT
CCM-POLITICAL RIGHT-WHAT IS IN THE POLITICAL RIGHT OF THIS PARTY
AUTHORITY-CCM assumed that they have the right to...
katika maisha yangu nimepiga kura hii mara ya nne lakini mara zote tumeshuhudia watanzania wakijitokeza kupiga kura na hasa huwa karibu wakuwepo watu wanapiga kura mpaka sa vituo vinafungwa...
Gazeti la Nipashe limeripoti ya kuwa Madiwani wateule wa Chadema wameandamana hadi kwa DED kupinga uonevu ambao Manispaa hiyo ya Moshi imekuwa ikiwaonea wamachinga..................
Nilifikiri...
Matokeo ubunge Bunda ni kama ifuatavyo:
CCM wamepata kura 27305
Chadema wamepata kura 12572
Kwa hiyo Stephen M. Wasira ameshinda jimbo la Bunda kwa asilimia 68
Habari ndio hiyo!
Kwa hakika vichwa vilivyo kwenye CC ndio vinaweza kuiua CCM au kuifanya iwe kweli chama cha mapinduzi... meaning changing with environment and time...
Binafsi naamini uwezo mnao na uzoefu kwa...
Sheria ya nchi inakataza mtu au kikundi cha watu kufungua kesi ya kupinga matokeo ya uraisi hata kama kuna ushahidi thabiti kuhusu kasoro za uchaguzi. Lakini katika hali isiyo ya kawaida CCM...
Naomba kujua wajameni, Obama amemtumia Kiwete salamu za pongezi mbona kuna vacuum ya pongezi toka balozi nyingii za Western World? je wamejua kilichotokea tayari au?
Wote tumeiangusha CHADEMA kwa uzembe ambao hampendi ujadiliwe kwa kina kila unapoletwa kama si makusudi.
Tume ilitangaza matokeo ya urais, ubunge na udiwani vituoni kote kwa kuyabandika hukohuko...
Ndugu zangu watanzania uchaguzi umekwisha tunachongoja ni matokeo ya jumla ya urais.Nifuraha yangu kuona upinzani umeongezeka bungeni,kwani hii itasaidia kupunguza makubaliano ya miswada ambayo...
Siku zote binadamu dhamira mara nyingi huenda tofauti na matendo.Haya yalishamkuta mfalme Suleiman yule binadamu anayesmwa kwenye vitabu vitakatifu kuwa na hekima sana, hata siku moja akasema...
Nawaomba Watanzania Wenzangu Upitie Web Site ya NEC The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage Soma Matokeo ya Uraisi na Utapata Hasira na Mtanzania Yeyote Anae Fuatilia Siasa na...
Ikiwi idadi kamili ya wabunge wa Chadema bado kukamilika, lakini kwa hesabu cha chap-chap na kutokana na mishahara ya wabunge, Chadema itategemea kutengeneza around 2mil Tsh per day!
Ingekuwa...
Ndugu wana jamii kuna jambo limenishtua kdogo ktk sherehe ya kuapishwa rais mteule wa NEC, mh jakaya kikwete, had najiuliza hiv ndege za kivita ni za nini ktk sherehe kama ile?
Baada ya uchaguzi wa Rais,Wabunge na madiwani 2010 uliotawaliwa na kila aina ya mizengwe toka chama tawala CCM.Sasa zimezuka kauli za kulinda amani na usalama wa nchi yetu,chama tawala...
Nimesikitishwa sana na kauli ya Mzee Mwanakijiji ya tarehe 5 November, 2010 saa 3:05 asubuhi: "Angalizo kwa wana JF - Lugha ya matumizi ya nguvu haina nafasi" ambayo katumia muda mwingi kujaribu...
wanasema ukila na kipofu usimshike mkono...hii sisiem wamewashika mkono watanzania wengi mno na hakika dhambi hii haitawaacha milele.. iko humu humu Jf ni kuhusu mkutano wa la cairo. hutaamini...
Kitendo cha "mzee wa vijisent"kuchukua fomu ya uspika ili kulinda maslahi ya mafisadi bungeni,ni mtego mwingine kwa serkali ya kikwete na wabunge wake baada ya ule wa kikwete kupita majimbon...
Mafanikio ya chadema katika uchaguzi huu makubwa na yanastahili kupongezwa na kila mtanzania anayeitakia mema nchi hii. Hakuna kificho kuwa Chadema wamedhulumiwa ushindi; hata sisi wanaccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.