Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ndugu wana JF kwa watu ambao tuna uchungu wa nchi hii inauma sana na tuna hamu sna ya kujua hatma ya majimbo ambayo CHADEMA walishinda na kufanyiwa uonevu na uovu wa uchakachuaji wa kura...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika sheria za uchaguzi ni kwamba baada ya matokeo kutoka kila mgombea anapaswa kusaini kukubali matokeo, nauliza iwapo mgombea hakukubali matokeo na kagoma kusaini nini kinafuata. Maana katika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Inasikitisha sana kwamba kuna Waislam bendera-fuata-upepo waliopotoka, ambao walishawishiwa na ule ujumbe uliokuwa ukisambazwa kwamba Kikwete anapaswa kupigiwa kura na Waislam KWA KUWA ni Muislam...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
nimeona hoja mbalimbali toka wanachama wa sisi em kuhusu kuwapa nafas wengine wajaribu nafasi ya uspika hiyo nzuri ila nguvu hizo sikuziona kwenye nafas ya urais ndani ya chama zaid ya kukusisita...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Uchaguzi umepita..! hatuna namna tena zaidi ya kukubali kubeba zigo letu tena- CCM na JK wake kwa miaka mingine 5. Niliwaza kuhama nchi nikakae huko ... mpaka miaka hiyo ipite, lakini baadae...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Katika wiki hii na hasa siku mbili zilizopita nimefuatilia mijadala kuhusu uchaguzi wa Spika wa Bunge kwenye media zetu (TV na Magazeti). Wengi wa waliochangia walikuwa wanaonyesha kwamba Samuel...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa masaa machache sana ambayo nimekuwepo hapa, nimegundua ya kwamba, yule wanaesema WANAMPENDA na kumuamini HAWAMPENDI bali wanambomoa na KUMUANGAMIZA. Kwa sababu kama KWELI WANAMPENDA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwanza nachukua nafasi hii kumpongeza mheshimiwa jakaya mrisho kikwete na chama chake kwa kushinda uchaguzi pamoja na kuwa na kasoro za hapa na pale ambazo ningeshangaa sana kama zingekosekana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watanzania wenzangu, Tanzania hatuna viongozi bali tuna wezi wabakaji wa demokrasia, Mafisadi, Madhulumati, Wanyonyaji, Wasio kuwa na chembe ya Uzalendo na nchi yao. Mkuu pls check hizi data the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Alishabikia CCJ kabla ya kuelekeza nguvu zake Chadema... mbaya zaidi kashindwa kote huko!
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Jamani, jana kwenye sherehe za kumwapisha Mkwere, Bwana Mwai Kibaki nusura asije kabisa hadi mwishoni alipoona kuwa aliyoyatenda kwa Odinga yanafanana ya yale aliyoyatenda kikwete kwa wapinzani...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Gazeti la Majira la leo limeripoti ya kuwa Mwanasheria MKuu Bw. Werema akivisigina vyombo vya habari vya hapa nchini kwa kuwashabikia wanasiasa katika uchaguzi huu bila ya kufanya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Watanzania tuna kila sababu ya kukichukia chama cha ccm bila kujali itikadi za vyama vyetu....Ni aibu sana kumsikia fisi wa ahadi namba 4 akitangaza nia yake ya kugombea uspika wa bunge na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Poleni na vuguvugu wana JF. Jamani mm kuna kitu najiuliza sana kwa nn Prof Lipumba hakuzungumzia suala la yeye au chama chake kwa ujumla kwamba ktk zoezi zima ka upigaji na kuhesabu kura...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
piga kelele usichoke kuwa kuna haja kubwa kwa sasa kuwa na maridhiano ya kitaifa wananchi tumesha jeruhiwa sana kisiasa kiuchumi na kijamii dawa ni MARIDHIANO JK kaanza vizuri kwa kutamka kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Juzi wakati nasikiliza radio WAPO, kuna mmama mmoja kutoka Kibamba, alipiga simu kwa mgombea mmoja hivi akawa analalamika kuwa watamfanyia nini ikiwa atachaguliwa, hasa juu ya suala la Mhindi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Total Population in Tanzania: about 35 M Eligible population for voting: estimates from NBS projections 47% of the population about 16 Million above the age of 18. Those who registered for voting...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwanza nachukua nafasi hii kumpongeza mheshimiwa jakaya mrisho kikwete na chama chake kwa kushinda uchaguzi pamoja na kuwa na kasoro za hapa na pale ambazo ningeshangaa sana kama zingekosekana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mgombea wa uraisi kupitia cuf profesa ibrahimu lipumba amemwambia rais mteule jk ya kwamba ni haibu kwa rais kupata kwa asilimia 27% ya kula zilizopigwa.na kumshauri lazima serikali yake ikae...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Her hands bound and stretched Between heaven and earth Her life almost snatched As her skin torn, in gory She screams and cry In anguish she sustain excruciating pain Her tormentor mercilessly...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom