BAADA ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, Chadema imeibuka kidedea kwa nafasi za ubunge katika majimbo mawili ya Maswa Mashariki na Maswa Magharibi Mkoa wa Shinyanga ,viongozi wa CCM wilayani humo...
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu sasa na kuzidi kuchanganywa na jinsi tunavyozipambanua awamu za uongozi, hasa urais katika nchi yetu.
Mfano Baba wa Taifa Mwalimu JK Nyerere tunamwita Rais wa...
Mkurugenz wa NEC amekubali mwenyewe kwamba shughuli ya uchaguzi ya mwaka huu wamechemka,, Habari za uhakika zinatoka kwenye Gazeti letu la the Citizen leo zina sema Mkurugenzi Rajabu Kiravu leo...
Tuwe makini. Humu ukumbini wameingia watu "virus" ambao nia yao ni kuona Chadema wanafarakana. Wapo watu wanaoshabikia na kusambaza sumu, kwa mfano kutabiri Zitto kutaka kugombea uongozi wa...
Wadau hivi chadema wamepata viti maalumu vingapi bungeni?pia nimesikia kwenye magazeti ya kuwa chadema kupata viti maalumu rasmi,nimeshindwa kuelewa hili coz ninachojua hivi huwa anapewa nafasi...
Nafikiri ni vema kwa Chadema kuendelea na uongozi wake wa juu kama ulivyokuwa kabla ya Uchaguzi; kitendo cha kujaribu kubadilisha NEC kwa sasa na kuingiza wageni ni hatari ila kama taratibu...
Sioni Kama Kuna Umuhimu wa Viongozi wa CCM, Kikwete na Mawaziri Watakaoteuliwa Kutambulika Duniani. Hii Iwe Moja Wapo ya Initiative ya Nchi Zingine Kuadhibu Vyama Vyovyote Vinavyo Wakandamiza...
BAADHI yetu hatuna kawaida ya kuunga mkono wanasiasa kwa kiwango tunachoonyesha sasa kwa Dk. Wilbrod Slaa.
Wanasiasa ni vigeugeu; wengi ni wasanii na mafisadi. Watakutumia leo, watakutupa...
Katika awamu hii ya uongozi ccm kupitia maamuzi mbalimbali ya vikao vyake na utendaji wa raisi Kikwete na serikali yake inaweza kujikuta inafanya "blander" nyingi katika kujaribu kukabliana na...
ALIYEKUWA Spika wa Bunge la Tanzania lililomaliza muda wake, Samuel Sitta, ana hamu ya kuliongoza Bunge lijalo hivyo anatarajia kujaza fomu kesho kukiomba Chama Cha Maja sorry Mapinduzi (CCM)...
Ivi kwa nini tunaita huu WIZI wa kura UCHAKACHUAJI? Ni kwa ajili ya kupunguza makali ya ukweli wa jambo au vipi? Kwa nini tusiuite kwa jina lake sahihi - yaani WIZI? Tunataka kugeuza huu wizi kama...
Ndugu zangu nimeambatanisha report ya waangalizi wa Ulaya kwenye uchaguzi wetu, jamaa wangu mmoja ambaye alikuwa anafanya kazi nao kaniambia jamaa walikuwa disappointed sana na mambo mengi kwenye...
Tanzania is still a backwater compared with its Kenyan neighbour to the north
Oct 28th 2010 | BUMBULI
Makamba (right) networks on the mount
THE parliamentary campaign in Bumbuli, a...
nimekuwa nikifuatilia hesabu za kura katika jimbo la Karatu, Kwenye website ya Tume ya Uchaguzi hakuna jimbo la Karatu lakini Kwenye Mwananchi Dr. Slaa alipata kura 147 (0.2%) Jk alipata kura...
Unapoona maraisi wa tano tu kutoka Afrika wamekuja kushiriki katika hafla ya kumpongeza JK na ushindi wa mezani basi ujue mabadiliko Afrika bado yana safari ndefu................
Maraisi hao ni...
Great Thinkers
Lets assume Katika New cabinet ya JK anakuambia chagua decision making Position utakayotaka atakupa.
Sasa tuelezane
Post au position gani ungependa kupewa na kwa nini...
Wana JF naomba mnijuze kama kuna uhusiano wa kuanza kupanda kwa bei za bidhaa mbalimbali madukani na matokeo ya uchaguzi. Au ndo tunaanza kurudisha gharama za t-shirts na mabango? sioni any...
Sanamu inaweza kuwa ni picha, kinyago,kikaragosi au kitu tuu kinachofurahisha, kukonga moyo na hata kujenga imani ambayo huwa ni vigumu kubadilika.
Nawaangalia Watanzania wengi waliopoteza haki...
Nawaaminia wana wa Rock city,ni dalili nzuri kwa maandalizi ya 2015.Mkwere ana kazi kwelikweli na mafisadi wenzie!kupingwa hadharani?????Big up Rais wangu DR.SLAA!Wamekubania mwaka huu,subiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.