Controversy over the two Tanzanian electoral commissions and alleged Special Branch involvement on the side of the ruling party in the just ended general election, deepened last week with...
Kuna tetesi kwamba mafanikio waliyopata chadema mwaka huu kwenye uchaguzi ni juhudi binafsi na mvuto aliokuwa nao aliyekuwa mgombea wa uraisi kupitia chama chao...inasemekana amekiweka chama...
Nilikuwa Pemba wakati wa uchaguzi. Mvua ilikuwa ikinyesha wakati wa kupiga kura. Lakini akina mama hawakuondoka kituoni na kila mmoja alikuwa na hamu ya kumpigia kura Maalim Seif. Nilishangaa...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imesema majina ya wabunge wa viti maalumu yatatangazwa wiki hii kwa ajili ya kuapishwa pamoja na walioshinda kwenye majimbo, ambavyo vitaamua ni chama kipi...
Ili uchaguzi uwe huru lazima wapizani wapiganie watanzania wawe na national id yaani kila Mtanzania awe na kitambulishe cha taifa .
Wakati wa kuandikisha wapiga kura liwe ni shart kuu la...
Ungependa wananchi wakukumbuke kwa yapi?
"Wanikumbuke kuwa nilikuwa rais niliyewatoa hapa nikawapeleka pale"
Kuna msemo mmoja katika vitabu vya dini unaosema kuwa "pasipo maono watu uangamia"...
Kuna watu wanasema sana juu ya Dr. nina maana Dr. wa kweli "SILAHA" juu ya kwanini hakuhudhuria kwenye mahafali ya "Rahisi" hata tarehe ya kumtangaza na kumwapisha "Rahisi". Vox ninasema...
RAIS Jakaya Kikwete ametakiwa kuangalia uwezekano wa kupunguza ukubwa wa Serikali yake kwa kuweka watu makini, wazalendo na wachapa kazi na
wenye kusimamia haki ili aweze kutekeleza ahadi...
Hivi karibuni usalama wa Taifa, Rostam na Lowassa waliongea na vyombo vya habari na kukanusha kuwa hawakuhusika na uchakachuaji wa kura wakati wa uchaguzi. Rostam na Lowassa wakatoa vithibitisho...
Huyu mchungaji kabla ya uchaguzi alikuwa mpiga debe mkubwa wa mgombea mmoja wa upinzani sasa sijui ameishia wapi!!
Uchaguzi wa mwaka 2000 alimpigia debe lyatonga mrema, 2010 ni slaa, sasa sijui...
Katika kipindi kilichorushwa na ITV tar 30 October,Ephraim Kibonde alimtupia swali ni vp ataweza kutufikisha kwenye malengo ya millenia,kwa masikitiko makubwa hakuna chochote cha msingi jamaa...
Inasemekana na Zenji, maalim Seif Shariff Hamad alikuwa ameshinda kiti cha urais akalazimishwa kukubali matokeo na JK na jeshi ndipo akaanguka saini kukubali ye ni wa pili, kuepusha usalama wake...
Some aspects which might be relevant to the struggle ahead:
1: Election into Chairmanship Dr Slaa
2: Mabere Marando or John Mnyika to become Secretary General. Others??? Wanawake??
3: Party...
Labda ni macho yangu lakini ile gari ni mil-grade kweli? Mi nadhani nimeona a customized Nissan Patrol.
Hii imekaaje? Tumekosa gari mil-grade la kumbeba prezidaa wa nji hii kweli? Mpaka kwenye...
Ukiangalia Demographic Strong Hold ya Vyama Vya Kisiasa Tanzania, Utaona CCM Imebaki Nyuma Sana na Kupitwa na Vyama Karibu Vyote. Jambo ni Kwamba Kuna Hawa Viongozi wa CCM Hawawajui Wananchi na...
Tanzania ina watu milioni 42 na raisi amechaguliwa na watu milioni 5 ambao ni sawa na asilimia 12% ya watanzania wote.
Chama cha mapinduzi kina wanachama milioni 5 kwa nchi nzima.Kimahesabu...
Wapinzani walisema ccm ni chama cha mafisadi watu wapenda RUSHWA
lakini mpaka sasa hakuna mgombea yoyte amekamatwa akitoa rushwa
bravoo takukuru bravooo jk bravoo ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.