Wakuu mwenye habari za haya majimbo muhimu sana atupe habari zake, nina hamu kuona Kahama na Bukombe yakiwa kwetu, Viva Chadema.
Peoplessssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss!!
Habari toka very reliable and internal source ni kwamba, mgombea wa CCM ameshindwa kwa mgombea wa CUF lakini hataki ku-sign form za matokeo. Ilifika wakati akataka kumhonga mgombea huyo wa CUF...
Dr Slaa,
Kwanza kabisa, Asante sana kwa kazi nzuri uliyotufanyia watanzania mwaka huu. Mafanikio ya vyama vya upinzani katika ngazi za udiwani na ubunge yamechangiwa kwa kiasi kikubwa sana na...
Hatimaye Mnyika atangazwa kuwa mbunge wa ubungo officially.! na kujaribu kuepusha vurugu kutoka kwa wanachama wa CHADEMA waliofurika huko mabibo wakisubiri matokeo hayo.
Mimi napendelea mabadiliko hasa...na pia ninavyotafakari na kuona hali ya wananchi wa hali ya chini....nadhani Tanzania tunahitaji kuona kuwa tunakoelekea ni karibu... Ukaribu huo ni kwa kujiandaa...
Kutokana na Vyanzo nilivyo vipitia hivi punde,, inaonesha Slaa mempiga magepu Kikwete majimbo ambayo Aslisimamisha wagombea wake wa Ubunge tu,, Lakini kwasasa kuna majimbo ambayo Kikwete wagombea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.