Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Leo ni weekend ya mwisho kabla ya kung'oka rasmi kwa CCM
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Navyamini mimi hakuna taifa lililopata maendeleo bila mabadiliko ya kisera na kiutekelezaji wa sera hizo kwani huenda sera zikawa zinafanana ila watekelezaji hawawezi kuwa sawa kwani wanadamu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waheshimiwa na ndugu zangu JF, salamuni popote mlipo, Mnivumilie kwa maelezo marefu kani naamini mtakapomaliza kuyasoma wengi mtafurahi na kuboresha nilicholeta.. Kilio chetu siku zote...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ILIKUWA KAMA SINEMA NDANI YA TBC 1 Walipomuhoji CAG Bw Utouh juu ya madai ya Dr. Slaa kuwa Wilaya ya Bagamoyo ilitumia shs Milioni 700 kwa matundu manne ya choo. Jumla kwa vyoo vyote ni Bilioni 3...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Habari nilizo nazo ni kuwa kadi mpya za kupigia kura Tarehe 31-10-2010, bado zinatolewa kwa wapiga kura ambao sio rasmi( ambao hawatambuliwi na NEC). Lakini pia kuna tatizo kubwa sana,watu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jioni hii BBC wamemsusa dr Slaa hawajatangaza chochote kuhusu yeye. Wameokoteza vitu vya ajabu ajabu ambavyo havina mvuto kufananisha na jinsi Slaa alivyoteka tz Leo
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ndio nitampigia kura Dr Slaa.....
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo BBC imekuwa na mahojiano na mkuu wetu Maxence na ndugu yetu Zitto katika kipindi maalum kinachohusika na uchaguzi mkuu. Hii ni heshima kwa JF kwamba inatambulika kwa mchango wake katika siasa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
WANAJF, MI SINA LA KUFICHA NAHITAJI MABADILIKO YA KWELI KWA HIO KURA YANGU SI SIRI TENA ILA NI KWA DR SLAA, JE NYNYI? DR SLAA NDIO MPANGO MZIMA.:israel:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kura yangu ni siri isipokuwa kwa mgombea mmoja tu..... hili liko wazi wala sio siri tena. 1. Silali usingizi wa kutosha maana lazima nidamke usiku usiku kutokana na foleni. 2. Nikiugua sina...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau hata pale Mlandege amezuiliwa...........
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Katika hali inayoonesha watanzania kuchoshwa na ubabaishaji wa Chama Tawala CCM, Watu mbalimbali mitaa ya Tanga wameendelea kukumbuka machungu waliyofanyiwa na CCM hasa kipindi cha miaka hii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jAMANIN MI MTEMBEZI,Nipo matembezini nikifanya coverage ya uchaguzi.kama wengi mnavyojua jana Dr slaa alitakiwa kuhutubia katika viwanja vya mwembetogwa manispaa ya Iringa lkn hakufanya hivyo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nilikua naskiliza radio WAPO na mojawapo ya habari ni kwamba wananchi wa shinyanga wamebaini majina yao yakiwa yamebandikwa mara mbili katika vituo viwili tofauti; yaani jina lako linaonekana hapa...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
1. Anawaponda wapinzani wenzake. 2. Amechuja kwa kugombea mara ya nne. 3. Alishatumika na Serikali bila mafanikio. 4. Chama chake(CUF) kina makubaliano na CCM huko Zanzibar,wakati CCM...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
baada ya ya post yangu ya vilio na kusaga meno vya tawala ngome ya chadema pale mlimani, kuna watu walidiriki kusema mimi nia yangu ilikuwa mbaya kutoa taarifa ile eti nafurahia watu kukosa haki...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kama kuna mtu anaweza kuikuza ndio itaonekana vizuri ...angalia vizuri watu waliozungushiwa duara wanajirudia
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimepata taarifa kwamba msafara wa Mgombea wa Ubunge kupitia CHADEMA jimbo la Kibakwe wilayani Mpwapwa Kamanda Benson Kijaila Singo umevamiwa na Green Guards wakiongozwa na Kaka wa Mbunge...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Jumapili, Oktoba 31, tunapokwenda kupiga kura kuwachagua rais, wabunge na madiwani tufanye hivyo kwa kuzingatia sheria kuu kumi zifuatazo: Tambua kwamba kura ni silaha takatifu inayokuwezesha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii ahadi ni tusi kwa vijana wetu ambao kwa kuwepo kwao kwenye biashara hiyo si kwa kupenda bali ni mfumo m-baya wa utawala wa serikali ya CCM. Hivi RIZone naye ni moja ya walengwa wa hizo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom