Eti wataalamu wa cement wameohojiwa leo itv na tbc1 kuhusu bei ya cement kuwa sh 5,000 haiwezekani kutokana na gharama ya usafirishaji kuwa kubwa!
Wana JF, nauliza mbona bei ya soda huwa karibu...
VITA BARIDI-COLD WAR(CHADEMA vs CCM)
Ni Jumapili ya terehe 24/10/2010 saa 5 asubuhi niko mezani najiandaa kuandika makala ya kueleza maoni yangu kuhusu mdahalo uliofanyika jumamosi ya tarehe...
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba CCM wameandaa mikakati michafu kuhakikisha kwamba wanashinda Uchaguzi wa Ubunge jimboni Ubunge kwa gharama zozote. Wamekaa kikao na kukubaliana...
TRA watibua nyongo za Wanzanzibari
Monday, 25 October 2010 07:52
0diggs
digg
Ally Mkoreha, Zanzibar
IDARA ya Ushuru wa Forodha katika Bandari ya Dar es Salaam, imetajwa kuwa mmoja ya...
Nionavyo mimi, ingewezekana kabisa NEC watuwekee link kwenye mtandao wao ili tuweze kuona waziwazi:
1 Majimbo yote ya Uchaguzi katika mikoa yetu,
2. vituo vyote vya kupigia kura vilivyo katika...
Wafanyakazi wote Wizara ya Mambo ya Ndani makao makuu majira ya saa 5.45 leo hii wamepewa pesa taslimu shillingi 30,000 kila mfanyakazi kuanzia mkubwa mpaka mlinzi ili wampigie kura Kikwete siku...
Wengi wa Wasimamizi na makarani wa vituo vya kupigia kura Jimbo la MONDULI kwa uchaguzi utakaofanyika 31/10/2010 ni wahitimu wa darasa la saba. Ni ukweli dhahiri kuwa mhitimu wadarasa la saba hana...
Wakuu,
Kwa wale ambao wapo Dar es Salaam, tunaomba wanaoweza kujitolea na kushirikiana nasi kwenye uangalizi wa uchaguzi tuwasiliane ili tuweze kuifanya kazi hii kwa ushirikiano na kwa ufanisi...
Jana wanazuoni wa Uhazili Tabora walijikuta wakisweka lupango kwa muda wa masaa kadha wa kadha baada ya kinachosadikiwa kumwonyesha alama ya "V" Mama Salma alama ambayo inatumiwa kukinadi...
REDET, SYNOVATE na, wagombea wametugeuza watanzania ndondocha
Wagombea wote watakaoshindwa kutimiza ahadi zao washitakiwe kwa makosa ya utapeli na udanganyifu
Na Juma Kidogo...
Waungwana, ikiwa unakerwa na BBC, tafadhali weka malamiko yako hapa. Nimeongea na mkurugenzi wa world service na ameniahidi kwamba jinsi tutakavyotoa malalamiko ndio jinsi malalamiko yetu...
Jana nilitoa Thread inayouliza ""asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu ni tusi?""
Heading hii ilivuta hisiaza wanajamii wengi sana kiasi kikanipa jib kwamba wanajamii wengi wanaushabiki...
Jenerali Ulimwengu
Oktoba 27, 2010
Jumapili, Oktoba 31, tunapokwenda kupiga kura kuwachagua rais, wabunge na madiwani tufanye hivyo kwa kuzingatia sheria kuu kumi zifuatazo:
1) Tambua...
Nimefuatilia khali ya mambo inavyokwenda wakati tunakaribia kupiga kura nimeona dalili sio nzuri kabisa maana kuna kasoro nyingi mno ambazo ni riskfactors kwa vurugu hapa nchini. Nyingi ya kasoro...
Penye ukweli uongo hujitenga..........
Naomba mods musiifute hii post kwani hata serikali inaruhusu udini kujadiliwa ndiyo maana, al huuda,al nuur, habari leo au rai hawawezi kuchukuliwa...
Tembea tembea yangu kwa vidole nimejikuta niko kwenye uwanja unaitwa Uturn.Katika kutakasa macho na mapambio yaliyoko huko ni kavutiwa na habari inayo muhusu January Mkamba na mipango yake ya ku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.