kumekucha ss si watu wa maneno ni vitendo
JK akipokea bendera ya CHADEMA, kutoka kwa mwenyekiti wa Wanawake wa chama hicho jimbo la Kwimba, Monika Jimotoli mara baada ya kutangaza kukihama...
Ana mkutano wa kampeni maeneo ya rwamishenye,shughuli mjini zimeathirika kwani mamia kwa maelfu ya watu wamefurika.wadau kwa kweli bkb hapatoshi.kagasheki anaonekana kuzidiwa kabisa.nguvu ya fedha...
Je wajua kwa serikari ya Kikwete milioni mia saba(700 million) zimetumika kutengenezea matundu 8 ya choo cha shule ya msingi? Na ni jumla ya shilingi Bilion 3.2 zimetumika kwa mradi huo kwa...
JK ameshindwa. Hilo analijua.
Kitendo cha kutumia wanajeshi wanafiki kuwatishia wananchi, kimechefua si tu Watanzania bali wahisani ambako huwa anapenda kwenda kufanya umatonya.
Tanzania siyo...
Kumekuwa na malalamiko kwa wanachi sehemu mbalimbali juu ya kutoyaona majina yao toka katika vituo walivyojiandikishia ambayo yamebandikwa katika vituo vya kupigia kura.
Kwa mtazamo wangu kuna...
Kuna a kind of Mdahalo unaendelea sasa hivi live from radio 1 na BBC Swahili. Umelenga wasanii na uchaguzi. Yupo Sugu (Mbunge Mbeya mjini), Kala Pina (Diwani- Kinondoni), Pr. Haroun, Dokii n.k...
WanaJF:
Habari nilizopata sasa hivi kutoka jimbo la Hai ni kwamba Mbowe amefukuzwa jimboni humo na wafuasi wake WanaChadema. Wamemwambia aondoke aende kumsaidia Dr Slaa na wengine katika kampeni...
Watz tulimwita Nduli baada ya kuvamia mkoani Kagera.
Waganda wengi ukiwauliza je alikuwa sahihi kuwafukuza hawa watu,majority wanakubaliana na Idd Amin.Mpaka leo Uganda ,uchumi uko chini ya...
Napata habari hapa sasa hivi kutoka CCM Mbeya ni kwamba JK atakuwa huko tena kwa kampeni Siku ya Ijumaa. Du! yaani kweli jamaa sasa anaweweseka, yaani kusikia Slaa atakuwa huko tayari homa imepanda!
Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni(farao)
siku za mwisho wa kampeni zinavyozidi kwisha ndivyo na wagombea ubunge wasiokubalika kama Dk. Batilda Buriani wanavyozidi kuchanganyikiwa...
Mgombea ubunge jimbo la singida magharibi kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM),bwana Lazaru Nyarandu amepanga kutumia helikopta katika kampeni zake,katika siku mbili za mwisho.Nyarandu amesema...
...... Kikwete aliingia madarakani kwa kuwachafua wapinzani wake akina Salim na wengineo. Alipofika madarakani akahodhi CCM kuwa mali ya familia yake na kuendesha nchi kwa mtindo usioona mbele...
Mkutano wa JK wafunga shule tano
Tuesday, 26 October 2010 21:08
Kizitto Noya, Mwanza
SHULE nne za msingi na sekondari zilizo kwenye Kata ya Nkome wilayani Geita, jana ziliahirisha masomo...
KWa wagombea wote wa nafasi za Ubunge, Uwakilishi na Urais, kwa wanachama wote wa vyama vinavyogombea uchaguzi mkuu 2010, kwa wapiga kura wote waliojiandikisha na watakuwa vituoni wakipiga kura...
HABARI ZA MAGAZETI ZINASEMA Mtu Mmoja kwa jina La Mushi alifanya funjo katika kampeni za uchaguzi jimbo la Kawe kwenye mkutano wa CCM, (obvious hakuwa mwana CCM) mtu huyo ali pigwa na wafuasi wa...
Baada ya kumpata rais mpya Dr. Slaa pamoja na wabunge wapya, ningependa wayafute maneno/lugha hizi:
- mheshimiwa
- serikali iko mbioni
- pamoja na majibu mazuri ya mheshimiwa waziri,,,,,,
- tuko...
Kaazi kweli kweli. CCM wamekaa kimya?
Sasa sijui vyama vingine huko Kawe waandike barua NEC kuwa CCM ni chama cha Vurugu na Kuuwa watu? Utashangaa NEC wamebugia maji mdomoni. CCM na POLISI yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.